Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Naitwa Sanctus Mtsimbe na naomba niungane na wana JF wengine waliojitambulisha kwa majina yao halisi na kuomba tuweze kuungana na kufanya mambo ya kimsingi katika kuleta maendeleo ya nchi yetu...
1 Reactions
333 Replies
34K Views
TUNABADILI VIOO ORIGINAL VYA IPHONE 📱 ☎️+255 718 604 980 call/sms/whatsapp 🕹️KARIAKOO
0 Reactions
0 Replies
219 Views
Tunawakaribisha watu wote kwenye hii fursa
1 Reactions
0 Replies
209 Views
Kisiwe mbali na lami, yaani isizidi 3km. Ukubwa usipungue 30×35 au around hapo. Kiwe tambarare. Pesa ipo kwenye mfuko wa shati. (Kama bei itakuwa reasonable).
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Sifa za chumba Kiwe kidogo Kingae, I mean kipya kipya na vigae chini. Wilaya ya ubungo au kinondoni Mazingira kidogo ya rami (isiwe uswahilini sana) Umeme masaa 24 (labda mpaka tanesco wakate)...
0 Reactions
5 Replies
515 Views
Tunahusika na uuzaji wa magari mapya kutoka mataifa mbalimbali. Tunauza kwa bei ya mnada.Bei zetu ni nzuri na nafuu sana.zifuatazo ni baadhi ya picha za magari tuliyo nayo,kwa maelezo zaidi piga/...
1 Reactions
16 Replies
755 Views
Habari wapendwa, vimebaki vifaa vichache vya stationery, nauza kwa bei nafuu. 1. Epson L3150 (Imetumika miezi mitatu tu, hata wino haujawahi badilishwa na bado wino upo mwingi sana na ina box...
1 Reactions
42 Replies
4K Views
Details with Specifications and pictures are attached- In addition:500 GB Reason of selling it:- Double Gifts and is almost new Price: Tsh:700,000 Net Include:- (Laptop+Power Supplies+ Bonus LTE...
0 Reactions
1 Replies
261 Views
1. Spea ni genuine zimetolewa kwenye gari kama yako iliyotumika Dubai 2. Gari zikizotumika Dubai ambayo tunauza vifaa vyake nyingi watumiaji wake walinunua zero km na ndiyo maana vifaa vyake...
2 Reactions
5 Replies
593 Views
Nauza chombo Toyota hilux Mwaka2011 Bei 47milion 0715 378899 Chombo kipo temboni 0715 378899 kwa picha zaidi
2 Reactions
13 Replies
772 Views
Habarini wandugu, Naomba mwenye account ya bolt na haitumii aje pm tuongee. Nina ndugu yangu amepata gari ila mwenyewe amegoma kuibadili plate number hivo haiwezekani kuwa na account. Hivyo...
1 Reactions
6 Replies
733 Views
IPO IPHONE 14 PRO MAX COPY KWA 170,000 TU,RISITI YAKE IPO NA INA CRACK KWA NYUMA VINGINE VIPO FRESH SANA,INATUMIA ANDROID ,STORAGE 512GB IPO USED AQUAS 701SH KWA 50,000 TU,RISITI YAKE IPO HAINA...
0 Reactions
0 Replies
479 Views
P. Mashine yangu imeeandika error 000733000 na NImeambiwa kuwa Dc controller imeungua hivyo wenye spare hiyo au duka linalouza tuwasiliane. Maexpert wote karibuni kwa ushauri.
0 Reactions
2 Replies
634 Views
Napata wap
0 Reactions
3 Replies
288 Views
Taa ya kuua Mbuu Na Wadudu mbalimbali Ni Ya Kuchaji Inaua Mbuu Na Wadudu mbali Kwa Shoti Maalumu Haina madhara kwa binadamu, Ikishachajiwa na kuwa full chaji inaweza tumika masaa 48 haina gharama...
4 Reactions
46 Replies
4K Views
Habarini za leo wakuu? natafuta nyumba ambayo naweza kuifanya office Sifa za nyumba, iwe inajitegemea, iwe barabarani(iwezwe kuelekezeka, na iwe wilaya ya kinondoni(kawe chini, Mbezi Beach...
0 Reactions
3 Replies
453 Views
VIWANJA, VIWANJA. viwanja vinne vikubwa vinavyouzwa katika eneo la Turiani, Morogoro vyote vipo block b karibu na barabara kubwa,Viwanja hivi vina ukubwa wa square meter 1150, 1270, 1149, na...
1 Reactions
0 Replies
552 Views
Habari wadau, Nauza simu yangu kwa mtu anayetaka kuinunua hapa Dar es Salaam. Nakupa na chaja yake bure. Simu ipo rooted na unaweza kutumia line 2 za simu. Kama utataka nikufungulie social media...
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Mashine ya kukamua na kuchuja juisi ya miwa inauzwa Ipo Mbeya Mjini popote inatumwa Bei yake: 1.6 M. 📞📞 & Whasap 0757687358 Whasap & call 0757687358 Specification zake 1.size...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…