Wapendwa kimfaa mtu chake nauza heka zangu zote 3 zipo Bagamoyo karibu na plot ya Bakhresa. Ni mali yangu halali nauza kwa sababu nipo mbali.
Piga kwa maelezo zaidi 0715160365. Ni mali yangu...
Habari wana jamvi,
Samahani naomba kuuliza kama ninaweza kupata wauzaji wa tiles aina ya Twyford kwa eneo la Chanika kwa bei ya jumla.
Maana mimi ninaishi Msongola na kwenda Kariakoo barabara...
Jipatie movie zilizotafsiliwa kiswahili na zisizotafsiriwa kwa kiswahili kwa bei ya shilingi 250 kwa movie moja.
Movie tunakutumia kwa njia ya email
0756362924
0766016411[emoji616] [emoji616]...
Nahitaji nyumba ya kununua iwe imekamilika umeme na maji au banda la uwani ambalo lipo sehemu nzuri kwa biashara.
LOCATION:D Uga, Mwakidila, Mwahako, Mwang'ombe.
0766445858
Honda crossroad
Year, 2008
Engine 1790cc
83000 km
7 seats
Grey in color
Tail spoilor
Alarm security
With full service oil
Price: 19m
Location: Dar es Salaam
Call: 0698235368
1 year insurance
Habari. Jamaa yangu anauza Nissan Xtrail kaisajili mwezi November last year. Haina shida yoyote kama uko interested njoo DM nikupe contact zake
Features
2003 make
Axis Model
Locally used 3months...
Heri ya mwaka mpya 2024.
Pikipiki yenye namba za usajili MC 903 CCU aina ya TVS inauzwa.
Mahali: Dsm
Bei: 1,200,000
Hali: Nzuri sana
Mawasiliano: 0746929412
Haina udalali.
Pikipiki ina nyaraka...
Habari zenu wajumbe.
Inahitajika gari aina ya Noah, ikiwa NOAH box itakuwa poa sana kwaajiri ya matumizi ya kuzungusha wafanyakazi vituo vya kazi siku za kazi kuanzia jumatatu hadi jumamosi...
WALE WENYE UDHOEFU MSAADA PLS
TUMEVAMIWA NA VICHECHE WAMEKULA KUKU WANGU WAKUBWA MPAKA.UNAONA HURUMA YAANI SAIZI YA KATI WAKISUBIRIA KUTAGA
SIJUI ANAEJUA DAWA YAKE AMANI AIPO TENA HATA NJE...
OFFER OFFER OFFER
CCTV CAMERA KIT AND INSTALLATION
Pata huduma bora ya kufungiwa Cctv Camera kwa Bei nzuri , tunafanya kazi mikoa yote karibuni.
Camera zetu zina rekodi picha yenye rangi masaa...
OFFER OFFER OFFER
ELECTRIC FENCE INSTALLATION
HUGE OFFER 20,000/= per meter
fungiwa electric fence kwa 20,000/= kwa mita moja, gharama iyo inajumuisha vifaa vyote vinavyotumika na ufundi...
Subaru Forester inauzwa
Bei: 20.5m
Model, 2010
Engine size 1990cc
Kilometer 72366
Five seats
5 doors
Tire, wheelspaner
FM radio, DVD jack, spare.
Inapatikana Dar es Salaam
Kwa maongezi zaidi piga...
Wakuu habar za mwamko?
Nahitaji machine ya kuvunia mpunga Kwa ajiri ya kazi ya kuvuna mpunga msimu huu kuanzia mwezi4.
Nahitaji kujua aina ya machine iliyo bora na upatikanaji wake wa spears...
Hello bosses and roses...
Nauza Apple iPhone XS Max Gold kwa 500k tu. Nimeitumia kwa miezi miwili tu, battery health ni 87%.
Bado ni mpya kimwonekano hata kimatumizi.
UPDATE.
========
SOLD
Kwa wanaotaka viwanja dodoma, follow Widechance real estate:
Tuna viwanja
1.Nala IFM(km 14 from city centre) Milion 2.5 - 5 kwa kiwanja kutegemeana na ukubwa wa sqm 500-1000
2.Nala karibu na...
VIWANJA VIPO UWANJA MPYA WA DODOMA - MSALATO UPANDE WA KITELELA, NA INAPOJENGWA BARABARA YA MZUNGUKO RING ROAD BEI KUANZIA 1,000,000 MPAKA MIL 2 UKUBWA NI KUANZIA SQM 500 HADI 1,600 MAWASILIANO...
Habari,
Ninauza hizi tractor mbili. Zote ni 2WD. Mtumba kutoka Uholanzi bila jembe/trailer.
MF135-46Horsepower
MF158-63 Horsepower
Zimesajiliwa na kila kitu kinafanya kazi vizuri kabisa(Engine za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.