Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Kwa wale walio karibu na Mikoa ya Mbeya au Songwe na una miliki Mtambo wa Solar power basi nahitaji tafadhari. Kama ni unahama kwenda Mkoa mwingine au una shida tu kidogo. Basi mteja nipo hapa...
0 Reactions
4 Replies
739 Views
Chaji masaa 4 For business or private Bei 60000 0710599055
0 Reactions
8 Replies
431 Views
[emoji3532]Mashine ya kuchaji ya kunyolea KEMEI [emoji3532]Chaji masaa 4 [emoji3532]For business or private [emoji3532]Bei 60000 [emoji3532]Airpod F9 [emoji3532]Base and sound good...
0 Reactions
10 Replies
516 Views
Habari Njema toka Kim's Real Estate Agency...Sasa viwanjwa vya Chanika tumeshusha Bei...toka 2,500,000/= hadi 1,500,000/=....hii ni kumaanisha kuwa kwa 1.5M to unajipatia kiwanja..Ni offer ya...
0 Reactions
455 Replies
103K Views
Wadau kuna ndugu yangu amepata tatizo la usikivu,ni baada ya kuumwa sana maralia. hivyo ni nauliza humu bei elekezi ya hivyo vifaa vya kumsaidia kusikia na jinsi atavyo vipata nawasilisha.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Nauza kifaa hiki chenye kusaidia kuongeza uwezo wa kusikia. Hii inatumika zadi kwa watu wenye uwezo hafifu wa kusikia. Kifaa hiki kidogo ni chepesi sana ukivaapo sikioni, na unakuwa na uwezo wa...
0 Reactions
29 Replies
11K Views
PHONE:TCL 30 XE 5G MPYA HAINA KIPENGELE TSH 250,000/= GB 64 RAM GB 4 INTERNET 5G BATTERY 4500mAh MEMORY CARD SLOT[emoji736] FINGER PRINT[emoji736] MPYA KABISA Call 0713579248
0 Reactions
1 Replies
317 Views
Habari wakuu.. Ninaimani mpo njema mkiimalizia weekend.Ningependa kuchukua muda huu kushare a.b.c juu ya mfumo wa kisasa wa masoko wa digital marketing.Mfumo ambao unaaminika kila mfanyabiashara...
13 Reactions
34 Replies
6K Views
Habari! Mimi ni kijana mjasiriamali wa kitanzania, ninajishughulisha na uuzaji wa dagaa kwa ajili ya kutengenezea chakula cha kuku/mifugo, hivyo natafuta mteja/wateja wa dagaa hao. Dagaa hao...
1 Reactions
0 Replies
316 Views
Wakuu natumai mko njema kabisa. Kwa wakazi wa Dar es salaam nawasogezea huduma hii adhimu kabisa. Natoa huduma ya kuuza maziwa ya ng'ombe halisi kabisa, ni maziwa ya ng'ombe OG. Namanisha kuwa ni...
14 Reactions
34 Replies
2K Views
Habari waungwani, wafanyabiashara wa viatu,ninampango wa kuanza kufanya biashara ya simple shoes za kike Kwa anayeweza kunipa diteliz za uhakika namkaribisha Wasapu 0673817130 tufanye biashara pamoja
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Mfukoni (actually ni kwenye account ya TigoPesa) nina milioni tano taslimu. Natafuta kiwanja upande wa kuanzia Ubungo kwenda Goba, Salasala, Tegeta, Madale, hadi Bunju. Lakin pia Ubungo kwenda...
11 Reactions
115 Replies
15K Views
NYUMBA ionekanayo pichani inaizwa TSH 15,000,000 (milioni kumi na tano) mazungumo Yapo -vyumba 2 vya kulala kimoja máster -Sebule -jiko -publick toilet NYUMBA ipo Mbagala Dar es Salaam maji...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
J & J Power Professionals ni wataalam wa umeme ambao wanatoa huduma kwenye majengo ya Serikali na watu binafsi Tunahusika na: -Wiring ( domestic na industrial) installations - Umeme jua (Solar...
0 Reactions
0 Replies
399 Views
Ninafanya utafiti wa bei ya Ardhi dodoma kwa ujumla wake viwanja ukubwa kati ya square meter 600-1500 Mahitaji eneo la Ilazo na maeneo ya Jirani kiwanja kilichopimwa na pia skwata iliyo rasimishwa...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
AirTags zilitangazwa katika hafla ya uzinduzi wa Apple mnamo tarehe 20 Aprili 2021. Zitatolewa tarehe 30 Aprili, lakini unaweza kuagiza mapema wakati huo sasa. Maagizo ya mapema yalianza tarehe 23...
0 Reactions
0 Replies
397 Views
Je Umekuwa ukitafuta web Hosting ya Gharama nafuu na Umekosa, hapa ndo penyew pata web Hosting Bora na Nzur kwa Kazi zako sasa, niko na Offer hapa Plan 1 2 - 4 GB RAM and 2 CPU CORE Linux...
0 Reactions
4 Replies
526 Views
Hello GT , nahitaji IT wa kunitengenezea website ndogo , Awe ARUSHA na bei iwe rafiki , Asante sana ,
0 Reactions
7 Replies
375 Views
KITABU CHA KUPUNGUZA GHARAMA ZA UFUGAJI KIMEPEWA ISBN 978-9912-41-699-4 ( MAKTABA YA TAIFA ) Furaha yangu ni kuambiwa kwamba uandishi wangu ni Tiba, Uokozi na Ujenzi wa Taifa, nimepata furaha...
0 Reactions
4 Replies
453 Views
Last Friday nimepata uzoefu kidogo wa soko la nguo za wadada Ilala japo wanunuzi wenzangu na wauzaji walijua kabisa mimi ni mgeni pale. Nilinunua magauni matatu kwa wale wanaonadi kila gauni kwa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom