Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

TUNATENGENEZA FLAT TV ZOTE TUNABADILI TAA TUNABADILI CARD TUNATENGENEZA PLASMA TV LCD TV TUNAFUNGA GPS KWENY TV YKO TUNABADILI VIOO TUNAUZA POWER SUPPLY ZA TV MBALI MBALI TUNAFUNGA AIR...
0 Reactions
6 Replies
517 Views
Jamani natamani sana hizi nguo za cowboy; Hapa Dar au Tanzania naweza kuzipata wapi full complete na kwa bei rafiki?
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Kwema wana JF. Kama kuna mtu yupo humu,anaefanya kazi Busweru wilayani,au ana mtu wake huko,naomba anisaidie namba tafadhali. Kuna mtu namtafuta huko,na namba alokuwa akitumia haipatikani kwa mda...
0 Reactions
2 Replies
398 Views
Kama heading ilivyo. Nipo Kahama. Nahitaji kununua TV used. Budget yangu ni 350,000/= Kama unayo naomba ukuje inbox
0 Reactions
3 Replies
513 Views
Habari za mchana wakuu. Mimi niko ukerewe-Nansio. Natafuta wafanyabishara wa nafaka wa jumla walioko jijini Mwanza. Nafaka ninazotaka ni kama vile maharage, karanga, kunde, dengu, choroko n.k...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za humu wana jamii, Kuna duka moja la nguo na vitu vingine vya kıume lilikikuwa mtaa wa ZANAKI mjini Dar es salam limehamishwa/ kufunhwa naomba kujua anaefahamu wamehamia wapi au duka...
1 Reactions
1 Replies
572 Views
Habari ya majukumu wakuu. Ninahitaji mbuzi wawili (jike) wa maziwa. Sina uzoefu hasa wa majina ya breed zake lakini itoshe kusema kuwa wawe ni wale wa kisasa ambao wanatoa maziwa kwa wingi. Kama...
1 Reactions
2 Replies
501 Views
Ubalozi wa Marekani Dar es Salaam unapenda kutangaza kuwa itauza mali mbalimbali katika mnada utakaofanyika tarehe 10 Februari 2024, kuanzia saa 3 asubuhi. Mnada huu utaendeshwa na kufanyika...
4 Reactions
44 Replies
4K Views
Kizinga technician Tunatoa huduma za utengenezaji Tunangeneza TV Tunangeneza Monitor Tunatengeneza Desktop Tunatengeneza Laptops Tunatengeneza projector Tunatengeneza printer Tunapatikana...
0 Reactions
0 Replies
186 Views
Habari za hasubuhi ndugu wazazi pamoja na walezi.Kama una mtoto wako ambaye ni mzito au hata kama sio mzito lakini unahitaji asome (Home schooling au Home Tuition) huduma hyo inapatikana Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
390 Views
Ndugu yangu NATAFUTA mwenye Uwezo wa Kupata Fly Ash kwa Ajili ya Ujenzi. Nahitaji Kiasi cha Tone 40,000 Kwa Yeyote ambae anayo naomba Tuwasiliane kwa Namba hii 0715-011022
0 Reactions
2 Replies
289 Views
Uchaguzi wa Njia ya usafirishaji hutegemea mambo yafuatayo - 1. Thamani ya mzigo - 2. Ukubwa wa mzigo Mizigo yenye thamani kubwa na midogo chini ya KG 2, safirisha kwa njia ya EMS - Ni hakika na...
2 Reactions
23 Replies
9K Views
Habari karibu CHAMPION PAINT SHOP ni wauzaji wa rangi za nyumba, pia tuna mashine ya kuchanganya rangi mbalimbali Kwa kutumia kompyuta, BEI ZETU ni nafuu sana tunapatikana Mwenge-Lufungira Karibu...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
GPS TRACKING SYSTEM NI NINI Ni mfumo ambao unawezesha chombo cha moto ambacho kimefungwa kifaa hicho kuweza kutoa taharifa mbalimbali kwa muhusika. Mfano ---- Sehemu chombo kilipo ----...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Karibu Tairiyako General Enterprise Call/WhatsApp :+255621560797 Tunapatikana Arusha na Dar es Salaam EMAIL:Tairiyako@tairiyako.com obedimollel20@gmail.com
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza Viwanja kwa bei nafuu . 10 kwa 10 ml 1500000 15 kwa 10 ml 2500000 Hivi vipo karibu na barabara ya huko sio lami Ndani kwa ndani Ml laki 1 unapata 10 kwa 10 20 kwa 20 ml 7 mpaka 10ml Heka...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari wana JF, Kwa wakazi wa Dodoma nina Dagaa aina ya uwono kutoka Tanga. Kwa anayehitaji au anayejua wapi ninaweza kupata wanunuzi wengi basi naomba anifahamishe ili tuwasiliane.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Anae jua nitapata wapi hii machine pamoja na bei yake anijulishe tafadhali. With much thanks in advance
0 Reactions
1 Replies
461 Views
Back
Top Bottom