Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Karibu!! karibu!! NIT TUNAFUNGA GAS KWENYE MAGARI ya petroli kwa mkoa wa dar es Salaam TU kwa utaalamu wa hali ya juu unaofanywa na wahandisi wa magari na kuifanya gari yako kutembea bila gharama...
1 Reactions
3 Replies
894 Views
Hii kadi niliiokota maeneo kaloleni Arusha nyuma ya kanisa la pentecoste kaloleni Kama una mfahamu naomba umjulishe nimejaribu kulitafuta hilo kwenye mitandao sijalipata Nimeenda pia wanapouza...
3 Reactions
7 Replies
435 Views
Salaam Inahitajika haraka Madini ya chuma,shaba, lithiamu, risasi ya zinki. Muhimu Umesajiliwa Brela Unalipa kodi Una lessening ya biashara Uthibitisho wa uwezo wako wa ku supply Nipigie...
1 Reactions
0 Replies
159 Views
Wakuu habari za majukumu, Mimi ni muuzaji wa duka LA vipodozi, nahitaji msaada kwa anaejua maduka yanauza spray kwa bei rahisi nanpafyum maana ninazo uziwa naona kama ni ghari sna. Nataka...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari Wakuu. Kwa wale wanaonunua bidhaa masoko ya China hasa Yale yanayouza China tu (domestic) hukumbana na changamoto za njia ya malipo. Wachina wengi njia yao kubwa ya malipo ni Alipay na...
6 Reactions
44 Replies
5K Views
Habarini wadau. Nauza cement grade 42.5 kampuni ya Camel kwa bei ya 15,000 kwa mfuko. Eneo ni Tabata Saanene. Bei ni nafuu kwa kuwa ninafunga biashara. Imebaki mifuko 200 tu. Wahini sasa. Risiti...
6 Reactions
14 Replies
2K Views
Kampuni ya simu ya TECNO katika kuendeleza kutoa bidhaa zilizo bora na zinazoendana na technologia ya kisasa, tunakuletea lile toleo la kubwa Zaidi kwenye mtiririko wa PHANTOM ambalo watumiaji...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Viwanja vizuri kwa makazi vinauzwa block 19, Kibada wilaya Kigamboni. Viwanja hivi vina sifa zifuatazo: 1. Vipo katika eneo zuri kwa makazi vikizungukwa na makazi yaliyopangiliwa na yenye kuvutia...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Karibuni wote tunauza mashuka bei zinatofautuana. Tunauza cover za sofa na za bed cover. Tunauza mapazia kwa bei nafuu karibuni wote ni ukitaka kujua bei ya chochote hapa. Nipigie 0699 227942...
5 Reactions
22 Replies
756 Views
Offer. Kwa yeyote mwenyewe pikipiki ya umeme zile ndogo (electric scooter) used anayeiuza au hana uhitaji nayo kwa sasa na anaiuza hebu anicheki hapa nahitaji kwa matumizi ya nyumbani...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Boxer bm150 Haina tatizo lolote unapiga starter unaondoka Nzuri sana kwa wenye maduka makubwa ya jumla kwa ajili ya usambazaji bei Tsh 680,000 0658643636 Mbezi Magufuli stand
1 Reactions
4 Replies
559 Views
Habari wakuu, kwa mahitaji ya viwanja Dar , karibu uhudumiwe na ABC properties, kwa malipo ya cash au kidogo kidogo, kuna viwanja vya Mbagala mvuti cash ,sqm 1=13000 miezi 18, sqm 1=15000 miezi...
0 Reactions
63 Replies
7K Views
Habari wana JF naulizia anaeuza ubuyu mweupe kwa jumla kuanzia debe. Pamoja na unga wa ubuyu. Asanteni
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana jf, nina kipengere nimeona niuze laptop yangu ambayo ni mpya kabisa haina hata mchirizi wala mkwaruzo. Hp corei7 proc up to 4ghz gen 10 ram 8gb ssd 1tb 15.6' Bei yake ni 1.5Mil...
0 Reactions
4 Replies
496 Views
Habari zenu wakuu Nahitaji kuondoa mistari kwenye flat screen ya TV yangu. Kuna hii huduma ya LCD LED OLED etc screen bonding ambayo ndiyo suluhisho. Jee, kwa anayejua, niende wapi kupata...
0 Reactions
10 Replies
609 Views
Habari, nauza TV yangu baada ya kubadilisha na kuwa na nyingine hivyo nimeona ni busara kupitia hii. Brand: LG LED TV Size: 43inch Price: Tzs 350,000 Inafanya kazi vizuri sana with super clear...
1 Reactions
10 Replies
718 Views
NEW NEW NEW HAINO TEKO COMBO GERMANY [emoji629] [emoji383] 120,000:TSH [emoji390]0713579248 ORIGINAL FROM GERMANY HIGHER QUALITY UNAPATA SAA UNAPATA MIWANI WATER RESIST[emoji98] *UNACONECT...
0 Reactions
0 Replies
253 Views
Heshima yenu wakuu. Nina shida na second hand iPhone asap na budget yangu ni 650k so probably naweza kupata japo 11 pro max, and if I am fortunate enough basi brother au sister mmoja anaweza...
0 Reactions
7 Replies
668 Views
Habari, natafuta soko au mteja wa mchele kutokea mbeya, akipatikana atakaeweza kuununua wote itakuwa vizuri. Mawasilisno: 0769977222
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Habariii wanajamii, kama kichwa hapo juu kinavyojieleza. Kwa wale mnaohitaji kujifunza Web designing and development karibuni. Kwa wenye Basics kidogo (HTML, CSS, JavaScript, PHP) - course...
0 Reactions
15 Replies
625 Views
Back
Top Bottom