Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Nina imani nitakuwa mkombozii Kwako kwa sababu nina uzoefu wa masuala yote ya kusajili biashara (kama kampuni au jina la biashara) kuanzia usajili hadi namna gani utaikuza biashara yako. Huduma...
0 Reactions
9 Replies
937 Views
Karibuni wote dispensary inauzwa . Sekei Arusha umbali ni mt 100 sio ile barabara ya lami almashauri ni ile ingine ya ambayo ni rafu road . Bei ml 250 ,ni heka moja kamilifu napia ina hati zote ...
1 Reactions
6 Replies
471 Views
Sawa.. Shuka 2 foronya 2 Size 6*7 25,000 Shuka 2 foronya 2 6*6 22,000 Shuka 2 foronya 4 7*8 30,000 Mapazia yanaanza 50,000tsh Mpaka 120,000
1 Reactions
2 Replies
501 Views
Karibuni Tuwatengenezee saa za mkononi na za ukutani zenye sura yako Location Mbeya lakini Tunafanya delivery Nchi nzima. Mawasiliano +255762363062 Sent from my MX710 using JamiiForums mobile app
3 Reactions
9 Replies
501 Views
Natafuta mtu wa kunishika mkono kwenye kuanza biashara.mtaji wangu ni mdogo tu kama 1,400, 000/=.sichagui biashara kikubwa iwe inaingiza tu ela. Matapeli kaeni mbali na hii post maana sijatoka...
3 Reactions
9 Replies
437 Views
Habari GStar publishers ni kampuni inayojihusisha na uchapaji wa vitabu, mabango, brochures na business cards kwa bei nafuu. Tunapatikana Kariakoo mtaa wa Jangwani au tupigie kwa simu. 0719682352...
0 Reactions
12 Replies
714 Views
Anatafutwa mpishi almaarufu wa pilau ya shughuli njoo hapa tutengeze dili.
2 Reactions
22 Replies
820 Views
Habari… nauza zulia quality bado jipya limetumika kidogo sana kwa bei poa… tunaweza kuwasiliana dm kwa maelezo zaid
1 Reactions
5 Replies
394 Views
Kiwanja kinauzwa, kipo Bunju A Stand ya Shule. Ukubwa wa kiwanja ni mita 20 x mita 26, sawa na SQM 400(makadilio), Bei ni TZS Milioni 8. Eneo hili ni tulivu na lina mazingira mazuri. Kiwanja hiki...
0 Reactions
5 Replies
836 Views
Jukumu letu kubwa ni kuwa bora leo zaidi ya tulivyokuwa jana. Njia pekee ya kuwa bora ni kujifunza kupitia usomaji wa vitabu. Vipo vitabu vya aina nyingi ambavyo vinaweza kukupa maarifa...
3 Reactions
143 Replies
22K Views
Harrier inauzwa kwa bei ya shilingi 17m Engine capacity ni 23600 Km 93000 Ipo dar Piga 0698235368
2 Reactions
3 Replies
464 Views
Habari za wakati huu,leo nimewaletea bei ya seti upande wa CCTV camera kuanzia 4 mpaka 16. NB: Kila seti imebeba vifaa vyote vinavyohitajika kukamilisha mfumo wa CCTV ikiwemo na Monitor ndani yake...
12 Reactions
154 Replies
19K Views
Tuna Active Digital smart board kwa ajili ya kufundishia mashuleni wanahabari , mikutano au Semina mbalimbali WhatsApp 0652565597 Piga simu 0687391033 Ukubwa 75" inch Android version 8.8 Price...
0 Reactions
6 Replies
341 Views
Viwanja vilivyopimwa kwa makazi vinauzwa...Viko Gezaulole karibu na Islamic beach (Mita 920 toka beach).Bei ni 40,000 kwa square meter na utapatiwa hati yako bila gharama za ziada. Kwa kutembelea...
1 Reactions
5 Replies
823 Views
Habari za leo, Tunauza viwanja vilivyopimwa kuanzia square meter 500 na kuendelea. Viwanja hivi vipo kigamboni Cheka, Mwasonga na Kimbiji. —Kwa Mwasonga square meter1 ni elf5 —Kwa cheka square...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Karibuni tuwahudumie katika ujenzi wa myumba zakisasa hata ramani za nyumba pamoja na structure zake
0 Reactions
4 Replies
636 Views
Katika uzi huu tutaweza kuona design mbalimbali za masofa ya kuvutia. Endapo utaipenda design hiyo kwa matumizi ya nyumbani utaweza kujichukulia mwenyewe na kuitafuta dukani au ukampatia fundi...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Kama una swali lolote kuhusu laptop au smartphone ambalo limekuwa likusibu au kukupa changamoto hasa unaponunua au unapotumia baadhii ya hiv vifaa vya kieletroniki. Kuna watu wengi hupitia hizi...
0 Reactions
0 Replies
186 Views
Habari! Naomba kujua Bei za Ram 1/2 gb
0 Reactions
46 Replies
15K Views
Back
Top Bottom