Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Natafuta mabanda ya kufuga nguruwe ya kukodisha, DSM au Pwani Mwenye nayo au anaejua mtu anayo msaada tutani
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Natafuta vijana wa kuniuzia juice fresh za matunda za kutembeza kwenye madumu -wa kike /kiume -Dumu la lita 5 akimaliza tatu kwa siku -Mshahara 150,000/= -Nauli natoa ya kwenda anapotembeza. Alie...
3 Reactions
17 Replies
663 Views
Unapopanga mipango yako ya safari basi mkoa wa Tanga usiache kuuweka kwenye orodha yako. Mkoa wa Tanga umejaaliwa kuwa na mandhari mazuri na yenye kuvutia watembezi wengi wanaotembelea eneo hilo...
9 Reactions
24 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa milioni 45 ina vyumba vitatu kimoja master, choo cha public, jiko, store, dinning na sitting rooms, Angalia video kuiona vizuri Piga: 0683406665
0 Reactions
7 Replies
905 Views
Hp ni 130a Laser Jet Mpya 450,000 Full Catrage Epson ni L3110 Full na wino wake, imetumika kidogo nyumbani 350,000 Hiti Passport Printer 100,000 Bei zote TZS 700,000 Zipo Mwanza nauza maana...
1 Reactions
2 Replies
568 Views
Wakuu anaejua gharama za chumba Cha kawaida pale Darajani anijulishe. Na utaratibu wa kupanga ukoje kwa Zanzibar hasa kwa sisi wageni kutoka Bara.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari yenu wakuu, Katika harakati za kuendelea kujitafuta ndipo nimepata wazo la kuwaletea huu uzi ambao unaweza kuwasaidia watu wengi kujipatia bidhaa zitakazoweza kuwatatulia changamoto...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari wadau, nimefunga biashara yangu ya Stationery hivyo nauza wino zilizopo. CE0505A - 05A Black kwa HP 2035 na HP 2055 Bei ni 180,000 kila moja zipo 3. C-EXV 33 Black kwa Canon Image Runner...
0 Reactions
8 Replies
800 Views
Jamani kama mnavyojua nchi hii bei za vitu avitabiriki, kujiwekea akiba ni jambo la msingi sana, leo sukari inasumbua lakini kwa waliokua na akiba ya kutosha mambo ni shwari. Haya hii hapa fursa...
0 Reactions
7 Replies
605 Views
Habari wanajukwaaa kwa wale wenye mashamba mifugo kama kuku, bata, kanga n.k mimi ni fundi wa kuunda vitotoleshi vinavyotumia nishati ya umeme, sola, geneleta pia ni nina ujuzi wa kulea vifalanga...
0 Reactions
0 Replies
269 Views
Hatimae chaneli za Kiswahili zaanza kupatikana katika king'amuzi cha Canal+ ambacho pia kinarusha mechi mbalimbali za soka za ulaya kwa lugha ya kifaransa. King'amuzi hiko ambacho kinapatikana...
5 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari za leo wadau. Natafuta fundi anayeweza kujenga tanki la maji la chini ya ardhi kuanzia tanki lenye ujazo lita elfu 24 za ujazo na kuendelea. Ningependa awe fundi asiyetumia teknolojia ya...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wana jamvi Naiza viwanja viwili vyote kwa ujumla ni sq750, vimepimwa na vina hati kubwa.......vipo nzuguni Dodoma Bei 7,500,000/= vyote Contact 0655517964
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nyumba ni ya zamani sana ina vyumba vinne, Ina eneo lisilo pungua 500sqm. Ni nyumba ya familia. Kwa mawasiliano: 0743244734
0 Reactions
16 Replies
559 Views
Kwanini utumie jiko hili la mkaa kidogo 1. Jiko la kupendeza kwenye nyumba yako limeundwa katika umbo la kupendeza na malighafi zilizounda jiko ni za mithiri ya silva hivyo linakupa unadhifu. 2...
2 Reactions
15 Replies
986 Views
Naitwa @realivanbreaker ni Digital Marketer na pia ni Tech-Preneur. Nina fanya shughuli mbalimbali kama kuandaa Contents, kushoot video na kupiga picha ( Commercial/Corporate videos & photos ) Na...
1 Reactions
2 Replies
328 Views
Naomba mnisaidie kupata soko la dizaini ya mikoba hii [emoji116][emoji116] Niko naizalisha mimi mwenyewe ila bado sijapata soko la uhakika Kama pia mtu anaweza nisponsor kwa kununua kwa bei ya...
4 Reactions
21 Replies
897 Views
Mwana JF, Je Wajua? Kuchakata mafuta ya alizeti au mafuta mengine yoyote ya mimea (oil refinery) ni hatua muhimu sana katika kuhakikisha ubora wa mafuta kwa matumizi ya binadamu. Je, unafahamu...
0 Reactions
0 Replies
439 Views
Back
Top Bottom