Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Habari wakuu, naomba kama kuna anaeuza mtungi wake wa gas anicheki au kama kuna wale wafanyabiashara wa gas wanaoacha biashara zao na kuuza mitungi yao naomba pia niambiwe. Nanunua mitungi yote...
3 Reactions
58 Replies
5K Views
[emoji95]VIWANJA KIGAMBONI MWEMBE MDOGO[emoji95] UMBALI [emoji3502]Km 22.6 kutoka Ferry. [emoji3502]Km 24 kutoka kigambon Darajani [emoji3502]Kutoka Kibada Center ni kilomita 15 hadi site SIFA...
0 Reactions
5 Replies
656 Views
MABALO YA MTUMBA YA CAM STORE CREAM NA GRADE A TU 0712163738/0762212623 1. Balo la magauni marefu Shifonie 750000 Dubai,850000 Canada PC 140+yote cream 2. Balo la magauni mix mafupi 580000 China...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
HP ELITEBOOK 640 G1 14.00-inch Display resolution 1366x768 pixels Core i5 RAM 8GB Hdd 500GB OS Window 10pro Intel Integrated HD Graphics 620 PRICE 600,000/= We Offer 💥 Warranty 🔮 Extra Programs...
1 Reactions
4 Replies
478 Views
Ipo Mbweni Beach. Ina vyumba vinne vya kulala, jiko, store, sebure haijakamilika, imeezekwa kwa vigae, madirisha ya mbao + nondo yamepachikwa. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa sqm 800...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
NYUMBA INAUZWA IPO - DAR-ES-SALAAM-Tz WILAYA - KINONDONI MAHALI - MBWENI UBUNGO ___ BEI - MIL 220 maongezi yapo UKUBWA KIWANJA - SQM 850 UMILIKI - INA HATI SAFI YENYE ____ Vyumba vitatu vyote...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Fahamu Sifa Zinazopelekea Aina Hizi Za Embe Kuwa Bora Zaidi ya Nyingine Sokoni. Kwa Kawaida Tunda La Embe linapendwa takribani na watu wote kwasababu ya ladha yake ya sukari/ Tamu. Kwenye...
0 Reactions
0 Replies
720 Views
inauzwa kubota mill 18 maongezi yapo imetumika misimu miwili made in India ipo morogoro kilakala call 0627518825
0 Reactions
0 Replies
240 Views
MARK X NEW MODEL ON SALE (DKY) Price 14.8MLS(FIXED) MARK X NEW MODEL KALI SANA Color SILVER Engine 2490 Rim sports New [emoji682] tyre Low mileage New tyre Clean sana EXCHANGE ALLOWED...
1 Reactions
5 Replies
623 Views
Mwenye kingamuzi used cha dish cha azam nahitaj
2 Reactions
5 Replies
997 Views
Wakuu nahitaji dikoda ya Azam kwa anayeuza. Inaweza kuwa dikoda tupu bila dish au dikoda na dish. Kama unayo njoo pm au nichek kwa namba 0759 432 654 calls/sms au nicheki kwa watssap 0737 816...
0 Reactions
3 Replies
660 Views
Hello habari ya leo wadau , Mimi naishi Dar Es Salaam Kimara Temboni na sasa nahama kikazi kwenda mkoa mwingine Nauza vyombo vyote vya ndani ambapo katika vyombo hivyo nna TV Inch 32 kampuni ya...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Ndugu mwanaJamiiForum, Kaka ww unaplan ya kufungua saloon nauza saloon complete.. 1. Kiti cha kunyolea 2. Kiti cha kukalia watu watatu 3. Vioo full set 4. Mashine moja ya kunyolea 5. Mlango wa...
0 Reactions
3 Replies
528 Views
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza wakuu,ni wapi naweza kupata kiti kizuri kwa ajili ya kupumzikia ofisini kwangu wakati nikisubiri wateja? Note; naitaji kiti kizuri Cha kifahari Cha kuanzia...
1 Reactions
12 Replies
573 Views
Habari Watu 5 wanaitajika kwa ajili ya kazi ya sales na ku close deals Location: Mbezi , Dar Es Salaam Namba: 0763497384
2 Reactions
4 Replies
400 Views
NYUMBA INAUZWA Location: Goba kwa Uromi Ownership: Full documents Plot capacity: 950 sq/m No. of Room: 5 self contained rooms ---Store ---Jiko --- Parking --- Two seating room --- 1 office NYUMBA...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Niko Dar kama unayo nicheki haraka 0747464239
1 Reactions
0 Replies
193 Views
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania? Duka la nguo za kiume linauzwa maeneo ya Ukonga, Lina kioo kabati za kisasa za viatu, na kodi ya miezi 4 imebaki, display board za rangi...
1 Reactions
11 Replies
663 Views
SOLD
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Haya wale mlioahidi Mwaka huu hauishi bila kununua Gari, Mali hii hapa, bei 5.8M tu ipo Mwanza, Cc 1290 Vtz new model. Piga simu 0717072172
1 Reactions
3 Replies
706 Views
Back
Top Bottom