Kama Kichwa Cha habari kinavyoeleza
Nauza Radio yangu ya JBL flip 5 ipo katoka Hali nzuri
Inabase na sound nzuri
Inakaaa na charge up 12 hours
Radio ni very clean (Kwa wanaojua JBL wanajua...
nyumba inauzwa ipo mwembe mtengu tuongomb-kigamboni
ina vyumba 3
Vyumba viwili (bedroom)na publi toilet
main room[master room 1]na choo chake
Dining room
jiko
sebule
pia banda lake la nje
lina...
Tangazo la kitabu kipya kuhusu taaluma ya Ujasusi. Bei sh 45,000/= (free delivery jijini Dar, mikoani sh 5,000/=). Whatsapp/M-Pesa 0767-340-975
Yaliyomo kitabuni
👉Maana ya ujasusi
👉 Historia...
Habari wakuu. Nawatakia nyote kheri ya mwaka mpya.
Mimi ninahitaji chumba self maeneo ya Kimara , liwe eneo la karibu na barabara, kodi isizidi Tsh 100,000/- kwa mwezi. Nipo tiyari kulipia kodi...
Habari za leo.
Mashine seti nzima ya kutengeneza vijiti vya meno (toothpick) na vya kuchomea nyama(skewers) inapatikana.
Zimetumika kwa miezi michache.
Zipo Bagamoyo karibu na shule ya Baobab...
Habari za leo wakuu,
Nimefika Tabora( toronto ) mjini. Hapa, kwa wenyeji naomba muongozo wapi wanauza simu mpya na used (samsung, google pixel, iphone) at a reasonable price katika mji huu...
TAARIFA: AC IMESHAUZWA
Habari zenu
Nauza ac inafaa kwa chumba size sq 14 hv maana imefungwa bado haijafunguliwa inafanya kazi. Ni kuja kuwasha kuhakiki na kama una fundi wk mnaifungua na kuondoka...
Kama unahitaji kutengenezewa website ya Biashara yako au website mbalimbali kama za mziki, movie, kubet, social media na vingine vyote. Wasiliana nami 0692782826 malipo ni baada ya kazi
Shamba lipo Chalinze Pingo,usawa wa kiwanda cha tiles.
Km 4 kutoka Morogoro road.
Katika shamba kuna kijumba cha vyumba viwili choo na bafu
Ukubwa eka 8
Pote milioni 12
Panafaa kwa kilimo na ufugaji
Habari wadau, kwenye ukurasa huu kila siku nitakuwa nikikuletea magari yaliyoko sokoni (yanayouzwa) yaliyotumika Tanzania na nje. Pia kama una gari yako unauza usisite kuwasiliana nasi kwa namba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.