Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

TOYOTA LANDCRUISER LC 200 YOM 2009 MODEL 1HZ ENGINE MANUAL INAPATIKANA DODOMA BEI MIL 55,000,000/= NOTE: INAINJINI YA 1HZ AMBAYO UNAWEZA VUA UKAWEKA 1VD Haya wazee wa miradi au mikodisho chuma...
1 Reactions
3 Replies
620 Views
Habari..... Nauza kifaa chakukaangia vitu...(yaani chips,samaki,maandazi n.k) Kimetumika sio kipya.. Nauza sababu sikitumii nahofia kitaharibika Kinapatikana shekilango karibu na ofisi za shabiby...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Dell latitude E6400 Hdd-160gb Ram-4gb Core2 2.53ghz Display-Nvidia quadro 2gb Battery-2hrs Changamoto ilo doa jeusi kwenye screen Bei 130000/= Mawasiliano 0759399805 ipo dar pugu kona
0 Reactions
0 Replies
231 Views
Heavy Duty Dell Machine (engineerng design,grphics design & games) -storage. ROM/HDD: 1TB RAM: 16GB DDR4 Processor: Intel Core i7, 2.4Mhz with graphics card. System: x64 bit-based processor...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Canter engine 34 4d turbo Haidaiwi na haina tatzo lolote inatoka kwa 10m only kwa maelezo zaidia piga 0712756342
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni router inayotumia single sim card ya Halotel, ipo na box lake ila imetumika kidogo Bei Tsh 40000 Location: Mwanza Charger haina, ila inatumia charger ya simu Halotel wanasema kifaa hiki kina...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
👉🏻Lina mfumo wa OXYGEN unaofanya vyakula, mboga na matunda n.k visipoteze LADHA yake halisi hata ukiviweka kwa mda mrefu. 👉🏻Lina Touch Display inayo onyesha Temperature unaweza chagua ligandishe...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Knauzwa milioni 18 maongezi yapo, ipo Morogoro mjini, Kilakala. Mawasiliano: 0627518825. Imetumika misimu miwili. Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
17 Replies
903 Views
Kama mjasiriamali na mtaalamu wa huu ujuzi wa usindikaji wa vyakula, kwa miaka takribani kumi nimewasaidia watengenezaji wa wine na pombe kali kwa kuwapa formula kamili na rahisi za kutengeneza...
0 Reactions
5 Replies
471 Views
Mwenye kujua njia rahisi anielekeze hapo. Je, madalali wa Dar wanasomeka? Maeneo ya Sinza, Mwenge karibu na Kanisa la RC au Magomeni karibu na Kanisa la RC
2 Reactions
5 Replies
613 Views
Wadau, Nahitaji shamba kwaajili ya kuweka mifugo (mbuzi na ngombe), wilaya ya Chemba (Dodoma) hasa maeneo ya Soya au kokote kunakofaa kwa ufugaji mbubwa heka 5 na zaidi. Naomba muongozo.
1 Reactions
1 Replies
632 Views
Anahitajika fundi pikipiki mwenye uzoefu wa kutengeneza pikipiki aina zote. Awe mkazi wa Dar es salaama itakuwa vzuri kama atatokea maeneoa kazribu na ilipo office. Location ni Makumbusho karibu...
1 Reactions
0 Replies
322 Views
Mwalimu mahiri katika somo la hisabati shule za msingi, anafundisha katika shule ya msingi Misitu Kivule ilala dar es salaam ila katika Kipindi hiki cha likizo atakuwa anamfuata mtoto alipo na...
2 Reactions
3 Replies
519 Views
LAPTOP : DELL INAUZWA IPO. MOSHI MJINI MAENEO YA KCMC CHUONI , MAPIPA ROAD.....INA RAM 8GB , ROM 1 TB SYSTEM TYPE NI 64 bit , ..INATUMIA WINDOW 10 Pro... Bei LAKI 9. CHARGE HOURS 6 HRS...
0 Reactions
0 Replies
303 Views
Nauza laptop HP elitebook 8460w HDD 500 GB RAM 4GB (slot 2) CORE i7 2.7 ghz , 2.7ghz(turbo boost up to 3.4ghz) Windows 10 pro Graphics AMD firepro 1Gb 🔋 3hrs Bei 400, 000/= Very clean
0 Reactions
14 Replies
1K Views
wadau nahitaji kuchukua coaster used ili niingie kwa biashara ya usafirishaji kwa mtu mwenye uzoefu katika biashara hii naomba kufahamu bei za coaster na mchanganuo mzima katika biashara hii?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna ndugu yangu anatafuta chumba cha kupanga maeneo ya Mwasenga, Businde. Ndani ya manispaa ya Kigoma Ujiji. Chumba kiwe kikubwa tiles, gypsum, maji na umeme. Kukiwa na geti ni sifa kubwa pia...
2 Reactions
2 Replies
390 Views
Kwa wapendwa wote wanaopenda viwanja katiti tunavyo 20 kwa 15 kwa ml 3.5 karibuni wote pigeni 0699-22-79-42 Karibuni Wote xmass hiyo na punguzo la bei ukitaka eneo mahali Arusha to boma call me
0 Reactions
5 Replies
553 Views
Kwa yeyote mwenye kuhitaji Fridge yenye nafasi kubwa ya kuweka vitu na uwezo mkubwa wa kuhifadhi vitu kwa matumizi nafuu ya umeme basi anitafute kupitia namba hii 0673 17 5000 Bei yake ni Tsh...
0 Reactions
15 Replies
877 Views
Bajaji hii hapa Haina shida yoyote bei 3.6m Fixed Usije na Fundi Location Temeke 0652659775
0 Reactions
3 Replies
850 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…