Hilux ya chini hiyo nzuri sana
Engine 1rz
Fuel Pertol
Manual Transmission
Floor gia (kirungu)
Gari nzuri sana ya kufugwa
Namba AUE kama chases
Bei 17.5M tu
Gari imetunzwa sana
Haijarudiwa rangi...
Gari ya Toyota Land Cruiser Lexus HDJ81 ya Mwaka 1996 - Inayo Turbo na Inatumia Diesel, Mmiliki wa Kwanza, Hali Nzuri.
Asking Price: TZS 28,000,000
Muhtasari:
Hapa ni gari ya Toyota Land...
Habari,
Kama heading inavyojieleza nauza mafuta ya Alizeti katika dumu za lita 20 (zimezidi Lita 1-2 kwa kila dumu).
Mafuta ni masafi na hayana harufu, sio ya kuchemsha na si machungu. Muonekano...
Academic Doctors Consultants
Are You Stacked Somewhere in Your Master or PhD Degree Dissertation/Thesis Work?
Academic Doctors Consultants Are Here for You!
Dealers in all kinds of academic...
Mimi ni mpenzi wa Mercedes Benz (hasa hasa class C) zile ngumu Mjerumani Original. Kwa wale wanaozijua nataka 2020.... series! Kama unalo njooo pm tufanye biashara
HABARI, NAUZA VITU VYANGU VYOTE NI VIPYA KWA TSHS. 3.5M, CAMERA MPYA YA CANON 90D, LENS, U-GRIP PRO GIMBAL, REFLECTOR KUBWA, MEMORY CARD PAMOJA STAND YA CAMERA. VIMEFANYA KAZ MOJA TU. KWA...
Nauza viwanja kikatiti na maji ya chai.
1. Kikatiti/ mlimani/ Viwanja
Km 1 nanusu 20 kwa 15 ml 3.5
Km 1 20 kwa 15 ml 4.5
M 500 30 kwa 15 ni ml 6.5
2. Heka zipo samaria ni km 1 28ml
Heka zipo...
Kwa mlioko Mby hasa kipande cha Rungwe/Tukuyu. Kuna jamaa toka SA ana shamba kubwa la kufa mtu la parachichi. Mwanzo alivyoanza alitangaza kwamba atanunua kilo moja kwa tsh 2500/. Ukinunua miche...
Kiwanda cha Tofali kinauzwa Kigamboni
Price 35 Million
Payment method cash or installment
Call 0692 275 216 Whatsapp
Kiwanda kipo mtaa wa Muhimbili primary school Kigamboni mazingira eneo...
Wakuu nahitaji dawa effective ya kuua panya kwani nyingi ni fake.... au ninapoweza kupata hata paka/nyau ambaye yuko makini katika kuua na kufukuza panya.......ushauri unaruhusiwa...
Biashara ya pochi ndogondogo za kike nainai chambuu
💥4000 Kuanzia pisi 20
🔥5000 Kuanzia Pisi 10
⚡6000 Kuanzia Pisi 2
🌟7000 Pisi 1 (Rejareja)
😋Unaweza kuuza 7000-10000
📍Tupo Morogoro Mjini
Mtaa Wa...
Habari ndg zangu wana jamii, nimekuwepo hapa kitambo, kwa nafasi hii ya matangazo naendelea kutangaza kazi zangu zinazo husiana na masuala ya rangi.
Wasiliana nami kwa no 0766111212