Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Wadau nahitaji mbegu bora za papai aina ya Carina na mwenye kuzijua vizuri anipe ujuzi namna ya kuandaa Miche na huduma zake hadi kuvuna. Shamba ni ekari moja na nusu.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau nimejaribu kupitia Alibaba naona kama bei ya magari ni mchelea kuliko huko kwingine, najiuliza kwanini watu hawaagizi kupitia Alibaba Check out this product on the Alibaba app: NEWLY USED...
1 Reactions
4 Replies
523 Views
TANGAZO TANGAZO Kampuni ya AQUARIAN PROJECT SOLUTIONS iliyoko jijini Mwanza kupitia LILIAN KITCHEN CATERERS na DW CLEANING SERVICE inapenda kutangaza nafasi za ajira kama ifuatavyo Nafasi 20 za...
2 Reactions
5 Replies
805 Views
Tunahitaji wafanyakazi wa kike/Kiume kuhudumu katika pub iliyopo Kinondoni, barabara ya Mwananyamala Dar es Salaam; awe na elimu ya kidato cha 4 au Cheti; uzoefu wa Kazi; umri miaka 18 hadi 30...
1 Reactions
1 Replies
368 Views
Habari za majukumu wananch!. kuna mzee mmoja anauza eneo lake alinifata mimi akijua nina mpunga,kumbe siri ya mtungi naijua mwnyewe.. eneo ni tambarare ukubwa 30m*70m Bei mil 24.5...
1 Reactions
10 Replies
486 Views
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe...
1 Reactions
1 Replies
725 Views
Nahitaji kutumia modem hii lkn sioni card slot zaidi ya memory card slot. Kwa anayejua namna ya kuitumia, anisaidie maelekezo, waungwana.
1 Reactions
4 Replies
428 Views
Habari zenu wadau, Naulizia kwa Arusha au Dar wapi naweza kupata Baby Rocking chair/Baby swing ya kutumia umeme tafadhali?
0 Reactions
2 Replies
598 Views
Oven+jiko la umeme linauzwa ni jipya bado. Maana risiti ya mauzo bado ipo Mawasiliano. 0672701329 .....bei ni 230,000/= lipo moshi mjini...free delivery included Kama picha inavyoonekana full...
0 Reactions
0 Replies
428 Views
Habari wanajamii forum wenzangu kama kichwa cha madaa kinavyojieleza, Mimi ni kijana wa kiume wa kitanzania mtafutaji na mchakarikaji. Nimefanikiwa kufungua biashara na kupata documents zote za...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Tutakayojifunza: (a) Lengo kuu la programu. (b) Shabaha/Fokasi ya programu ya leo. (c) Ufafanuzi wa Fokasi ya programu. (d) Sababu za uwepo wa fursa kwa kila taarifa. (e) Dondoo muhimu...
1 Reactions
0 Replies
175 Views
Wapendwa wateja tunavyo viwanja na heka maeneo yafuatayo. Kikatiti , Maji ya Chai, King'ori . Viwanja vya king'ori vinaanza kwa ml 4.5. Kikatiti viwanja vinaanza ml 4. Maji ya chai ni ml 7 mpaka...
1 Reactions
26 Replies
1K Views
Wakuu, natafuta mabingwa wa kupiga rangi body ya gari irudi kwenye upya wake kama ndo imetoka japani Leo. Wapi nitawapata? Gharama siyo issue ila ubora ndiyo nautazama. Msaada tafadhali
0 Reactions
8 Replies
784 Views
Habari,karibu Linnmel Company, tunajishughulisha na uuzaji wa pilipili, garlic paste, ginger paste, tea masala, pilau masala, pineapple jam karibu sana.! Bidhaa zetu zina ubora na viwango kwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Jipatie Google Pixel 4a 5G iliyotumika USA (Second Hand) Warranty 6 Months 0764081567 Free Charger Free Cover Free delivery in Dar es salaam
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Nawezapata wapi grafting tools kit kwa hapa Dar Es Salaam?
2 Reactions
10 Replies
604 Views
Inauzwa external hard disk GB 500. Ina series za kizungu na movie za kizungu kiasi( ambazo hazijatafsiriwa) ipo Mbeya mjini. Bei sh.35,000.
1 Reactions
0 Replies
305 Views
lipo dukani , moshi mjini , pia yapo matatu bei each, 490,000/= Contact 0672701329
1 Reactions
9 Replies
542 Views
1. Usajili wa Kampuni 2. Usajili wa Majina ya Biashara 3. Kuhuisha Taarifa za Kampuni zilizosajiliwa kabla ya 2018. 4. Upatikanaji wa leseni na vibali mbalimbali. 5. Kufanya Filling ya Annual...
0 Reactions
0 Replies
524 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…