Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Kanuni mama ya uwekezaji kwenye viwanja na nyumba ni kutengeneza fedha wakati wa kununua nyumba. Kanuni hii inamhusu mwekezaji yeyote anayewekeza kwenye viwanja na nyumba. Kwa kutumia mbinu...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari! Nauza ubao wa kidijitali au screen ya matangazo inch 49, android OS, wa kusimamisha unacheza files zote kuanzia videos, GIFs, pictures etc. Unafaa kwa matumizi ya dukani, supermaket...
0 Reactions
4 Replies
561 Views
Habari! Tunauza portable car inverter kwa ajili ya kubadili Umeme wa DC kuwa AC kwa matumizi madogo kama kucha ji laptop, kuchaji bluetooth speaker, ku run hair dryer au fan. Kwa wale...
1 Reactions
0 Replies
376 Views
Habari! Nauza smart keyboard cases complete na external wireless mouse yake kwa ajili ya iPad Pro 11/10.9 inch. Products ni mpya kabisa Bei 140,000 TZS tu! Tupigie 0712075845
1 Reactions
0 Replies
336 Views
Wakuu habari. Nipo jijini Dar nilikuwa nahitaji dumb bells used au za mtumba au hata zile wanazotengeneza mtaani. Mpaka nakuja kuuliza humu ina maana sina pa kuanzia na naamini ntapata msaada...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mahitaji kwa ajili ya kampuni 1. Namba za Nida (kila mtu yake) 2. TIN numbers (Kila mtu yake,TIN yoyote aliyonayo kwa jina lake) 3. Phone, email, (kila mtu yake) 4. P. O. Box zenu. 5. Mahali...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu zangu wa jf 🖐, Mimi shida yangu kubwa iliyonileta hapa ni uhitaji wa chumba cha kuishi maeneo ya kigamboni ila kisiwe mbali sana na kivuko cha feri. Sababu iliyopelekea kuja...
1 Reactions
3 Replies
449 Views
Hakika splina ni TIBA bora ambayo itaweza kukuondolea matatizo au maradhi mengi katika mwili wako. splina liquid chlorophyll ina mchanganyiko wa zinc, selenium, vitamin E, vitamin C, vitamin...
2 Reactions
6 Replies
12K Views
Wadau hivi nawezaje kuzuia matangazo wakati nipo mtandaoni au kwenye app flan kuna matangazo yanapita sana yanakera af unashindwa kufanya kitu.
0 Reactions
0 Replies
200 Views
Mwenye hizo bidhaa tuwasiliane haraka. 11pro iwe 256gb. S10 iwe black. Biashara ni leo na kesho tu
0 Reactions
0 Replies
299 Views
Kwa wale mnaopenda mziki mzito, nauza Subwoofer tajwa hapo juu, haina shida yoyote, kwa wale mnaohitaji real punch with pure bass inayikita kifuani ,mashine hiyo hapo 200watts rms ,ina coil ya...
0 Reactions
1 Replies
427 Views
Ndugu zangu mimi sio mtumiaji wa Ipad ila nina uhitaji nayo wa dakika tano tu. Nahitaji kuchukua App yangu screenshot za App Store na baada ya hapo ndio mwisho wa matumizi yangu Kama unayo basi...
0 Reactions
0 Replies
244 Views
Credibility ni muhimu sana katika mafanikio binafsi na kibiashara. Ili uweze kufikia mafanikio, katika muktadha huu, unahitaji kujenga uaminifu na heshima katika jamii au sekta fulani. Ili kujenga...
0 Reactions
1 Replies
692 Views
Habari wanajamii Baada ya kuja na wazo la kuwaagizia watu bidhaa China kufeli Kisha wazo wa kuwauzia Yuan za china na kuwasaidia manunu pia kufeli Nimeona Sijaandikiwa kusaidia watu bali ichi...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Jodam-supply njoo ujipatie hisense inchi 65 kwa bei poa saana ●Ina warranty ●Bluetooth ●4k price 1 700,000 napatikana kariakoo mtaaa wa ndanda Nipigie simu kwa 0768101677
2 Reactions
6 Replies
674 Views
Habari nauza simu aina tajwa hapo juu. ipo kwa good condition , clean and kila accessory ipo pamoja including charge , air phone and mawasiliano ni. 0756294771....
0 Reactions
4 Replies
589 Views
Habari Jku. Kwa wale waliofanikiwa kujenga na watakaojenga, baada ya nyumba kukamilika, huwa kunawekwa bomba za kukinga maji ya mvua, zinaitwa gutters. Kipindi mvua inaponyesha hizi gutters...
3 Reactions
34 Replies
4K Views
Ndugu wanabodi,tunafundisha utengenezaji (ufumaji) was masweta,kofia,scarf nk kwa kutumia machine.Ada yetu ni tsh 300,000/=(laki tatu ).Mda Wa mafunzo ni miezi 2 lakini tunaweza kuongeza mwezi...
4 Reactions
41 Replies
17K Views
Monaco ni jina la brand ya saa inayojulikana sana na yenye umaarufu wa kimataifa. Inatengenezwa na kampuni inayoitwa TAG Heuer, ambayo ni moja ya watengenezaji wa saa wa hali ya juu zaidi duniani...
0 Reactions
1 Replies
574 Views
Habari,Nauza pikipiki yangu aina ya boxer 150 namba c na ipo katika hali nzuri ,yaani sitata inapiga nakuondoka Bei ni mil.1 na laki 2 Nipo mkoani mbeya wilaya ya mbarali ,rujewa
1 Reactions
3 Replies
654 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…