Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Habari za asubuhi. Ninauza kabati la milango mitatu, material ya MDF kwa sh. 350,000 Pia nauza washing machine kwa sh. 550,000 Dolphin, automatic, 12 kg Inafua, kukamua, na kukausha kwa 90% Ina...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Tunauza mashine za kisasa kwa ajili ya kutengenezea chakula chakula cha mifugo kwa mfumo wa chenga chenga (pellets) ● Bei zetu na uwezo wake kwa saa. 100kg/hr=1,700,000/= 150kg/hr=1,800,000/=...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nguo jumla zipo zenyewe ni kadet zipo 4 jeans zipo 3 track suit 1 Size ya kiuoni ni 30/31 nguo zote. Nakuuzia zote na bag nakupa Bure kwa jumla 40,000 tu. location: Ubungo Kibangu nitumie...
1 Reactions
13 Replies
618 Views
Jipatie Google Pixel 5 yenye 5G iliyotumika USA (Second Hand) Warranty 6 Months Imenyooka sana Grade A imetumika kwa upendo sana 0764081567 Free Charger Free Cover Free delivery in Dar...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Anaeuza paka chotara, nanunua naomba tuwasiliane... 0625489043
1 Reactions
0 Replies
311 Views
Habari za muda huu, Natafuta shamba la kukodi morogoro, ekari Moja au mbili. Liwe maeneo ambapo kilimo Cha umwagiliaji kinaweza kufanyika. Ahsanteni. Keygun Gershom
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Kama kichwa kinavojieleza, Tafadhali nielekeze nakoweza kuyapata. Asante.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ipo Kibada KISARAWE ll kigamboni Ina vyumba vitano vitatu masters Sitting room dining room jiko stoo Na public toilet bei milioni 200 Mzungumzo pia yapo ukubwa wa kiwanja SQM 883 ina hati miliki...
2 Reactions
4 Replies
527 Views
Wakuu nauza Laptop yangu Hp Probook. -kipengele ni betri pekee..kwahiyo ni kama pasi lazima kuwe na umeme ndio iwake. Betri ilikuwa sawa tu ila ndio naitumia hivyo hivyo. Nataka kujazia ninunue...
0 Reactions
8 Replies
438 Views
Pata kiwanja Fukayosi Bagamoyo kwa Cash Tsh 1500 kwa Sqm 1 na mkopo Tsh 2000 kwa Sqm Muda wa mkopo ni miezi sita Malipo ya awali 20% Mfano ukichukua kiwanja chenye sqm 500 ukalipa kwa Cash bei...
0 Reactions
4 Replies
642 Views
Bei ya chumba isizidi elf 30 kwa mwez. Ambaye anamjua dalali anitafute kwa namba hii 0656376814 Pesa ipo mfuko wa shati
0 Reactions
0 Replies
380 Views
Hii inafikirisha Sana, mtu anatoa sadaka Mali Yake kwa Mali kauli, anakupa huduma, unaiona pesa hutumi na bado unamwita tapeli? Watanzania tunafail Sana. Tubadilike, maisha kwa Sasa yamehamia...
4 Reactions
7 Replies
390 Views
Habari! Natafuta mtu anayeuza ama kutengeneza vikapu vya asili ama upatikanaji wake Kwa yeyote mwenye kujuwa. msaada tafadhali.
0 Reactions
3 Replies
416 Views
Hello JF, Nahitaji kuanza mradi wa chipsi na nahitaji frame au eneo la biashara kwa ajili ya kuendesha mradi. Nihitaji frame au eneo lililopo Dar na lililo changamka kwa ajili ya kuanzisha mradi...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu naombeni kufahamu bei ya hizi dawa 1.viagra 2.Erecto 3.Sildenafil 4.vimbi la mkongo 5.Mkongo raha Na ipi nzuri atlist haina madharaaa sana. Sent from my iPhone using JamiiForums
0 Reactions
46 Replies
18K Views
Wasalaam, Kwa wale wanaotaka kuanzisha NGO ama zile zilizokwisha kuanza ipo changamoto moja kubwa ya kupata ufadhili wa miradi. Hata hivyo kabla ya kuwaza ufadhili, Suala la mifumo linaanza...
3 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari Mpendwa!!, Steam Generation Recovery & Real Estate Ltd Tunapenda kukujulisha kuwa Kwa Sasa tunamradi Mpya wa Viwanja vya makazi Mradi wetu upo Kibaha - Vikawe 𝗩𝗜𝗞𝗔𝗪𝗘 𝗖𝗘𝗡𝗧𝗘𝗥 𝗡𝗗𝗜𝗢 𝗠𝗥𝗔𝗗𝗜 𝗪𝗘𝗧𝗨...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
[emoji91]Subaru Forester zipo 4 zimeshuka bei 1) Subaru Forester ya 2011 black no EBD non turbo bei 23.8M 2) Subaru Forester no EDL ya 2009, nyeupe bei 23.8M 3) Subaru Forester Chasis number...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Members habari zenu. Ninapesa za kigeni ila ni "coins" natafuta wa kunibadirishia, nimetembelea mabenki na maburea hapa Dar es salaam hawabadirishi pesa za coins. Anayeweza kunisaidia na...
0 Reactions
5 Replies
764 Views
Nauza External hard drive (Toshiba) yenye ukubwa wa GB 500 Ipo kwenye hali nzuri sana na haina tatizo la aina yoyote Bei Ni Tshs 65,000 maongezi kdg yapo Nipo Mbezi Stand ya Magufuli TAYARI...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom