Waungwana..naomba kujua bei ya kiwanja cha kawaida cha kujenga nyumba ya kawaida ya vyumba vitatu eneo la bunju shule karibu na barabarani karibu na kabisa la roma hapo....natanguliza shukrani.
Bestates Properties
Contact: 0786157788
Kinauzwa • TSh bilioni 5.5 (mazungumzo yapo)
Kina hati • matumizi ya biashara
Pia tunapatikana:
Facebook @BestatesTanzania
Instagram @bestates_tanzania
Wakuu natengeneza na kuunda majiko ya kuchomea nyama kwa kutumia gesi ,majiko yanatumia gesi kidogo kwavile ni low preasure na pia yanachoma kwa haraka sana na pia yanadumu kwa kipindi kirefu...
Ipo gari aina ya Toyota hiace inauzwa kwa bei ya 22M na laki 3 maongezi yapo gari ipo katika hali nzima kabisa...Full a/c
Pia gari inapatikana Dar es salaam kuja na fundi hukatazwi karibu sana...
Kama kichwa cha habari kinavyozungumza.
Nina shida ya mtu mwenye vitendea kazi vya kucopy video/mkanda wa sherehe na kuhamishia copy kwenye computer kama soft copy au kuburn kama DVD.
Kama upo...
PS 4 fat gb 500
zipo Gem 7.
FIFA 2022
WRC7
Pes2021
Mortal 11 combart
God of wall
Need for speed heat
Gta5
Pad 2 hazina kipengere
Fika anza kucheza kabla hujalipia
Price Tag read: 590,000 net...
Nauz maziwa ya watoto aina ya SMA, APTAMIL na COW and GATE original kutoka UK, bei ni tsh 55,000 kwa kopo la mil 900, Naleta kwa order ambayo inachukua siku 10 unalipi unapopokea mzigo... For...
Wakuu kherii!
Inahitajika gari tajwa hapo juu.
Iwepo dar.
Iwe rangi nyeusi.
Tukikubaliana bei nakuja na fundi kukagua gari fast tunafanya biashara.
Nicheck 0747282028
Kama una ndoto ya kumiliki sedani ya injini kubwa barabarani basi nmekusogezea hapa mashine hii makadilio ya kuichukua kumbuka huyu ni mnyama zaidi ya mnyama maajabu yake yanayosimuliwa kwa crown...
NATOA HUDUMA ZIFUATAZO KATIKA UJENZI :
KUCHORA RAMANI ZA MAJENGO
KUSIMAMIA UJENZI
KUFANYA MAKADIRIO YA UJENZI
HII NI MOJA YA KAZI ZANGU NILIZOFANYA KUANZIA KUCHORA MPAKA KUSIMAMIA UJENZI ( 0758...
Ewe Mzazi Baskeli za watoto zipo sokoni changamkia fursa
Condition: New&Used
Colour: Blue&pink
Training wheels
Bell
Basket
Water bottle
Price: 150,000/=
Tunapatikana Tabata Dar es salaam...
Habari za wakati huu wapendwa? Natumai mko poa.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Tanzania ya leo wajasiliamali tumekua wengi na tunajihusisha na shughuli za utengenezaji na uuzaji wa bidhaa...
Tunapenda kutangaza bima ya afya na maisha,yaani mkono wa pole kwa wafanyakazi na watumishi wa makampuni mbalimbali.
Kampuni ya Acclavia insurance brokers ikiwa imedhaminiwa na Strategies na...
Karibu sana, kwanza kabisa Utaratibu wa kutumia Mashine za VFD/EFD ulianzishwa kwa lengo la kumrahisishia mfanyabiashara katika utunzaji wa kumbukumbu za mauzo/biashara za kila siku ili kuondoa...
Kampuni ya HARD DISK ni SEAGATE,
Size: 8TB
Price: 250,000
Contacts: kwa muhitaji tuchekiane PM
Location: DAR - M/CITY
HARD DISK lazima utest ujiridhishe na size ya DISK ndipo utoe pesa...
Zikiwa zimebaki siku kadhaa kabla majira ya mwaka 2022 kuisha basi sisi GETRICH BUSINESS CONSULTANTS tunatoa offer ya discount ya hadi asilimia 20 kwa kuandika events proposal zenye ushawishi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.