Nauza simu yangu aina ya Tecno Camon 18i, ina Ram 4GB, ROM 128GB, ina support 4G, Camera 48MP ya nyuma, na mbele ni 8MP, battery yake ina ukubwa wa 5000mAh, ina glass protector, box yake ipo kama...
NYUMBA INAUZWA..
VYUMBA VITATU NA SEBULE NA CHOO NDANI
CHOO CHA NJE PIA KIPO
VYUMBA VITATU UKUBWA WA 10 KWA 12
KIMOJA 10 KWA 16
NYUMBA INA UKUBWA WA 29 KWA 20
NA KIWANJA NI 55 KWA 45
MIUNDO MBINU...
Waungwana
Naomba kujua bei ya kiwanja kinachotosha nyumba ya kawaida tu ya vyumba vitatu na kuwe na nafasi ya ka-garden na parking na kiwe maeneo ya hapo barabarani katika eneo hilo la kanisa...
Tunatoa huduma zifuatazo kwa WELEDI na katika UBORA wa KIPEKEE,hivyo basi karibu sana tukuhudumie kwa kukushauri na kukusimamia vizuri kwenye hiyo CHANGAMOTO yako inayokusumbua:
[emoji419]...
Naitaji pikipiki Used mbili tvs / boxer na Toyo / Sanya
Bajeti: laki saba Saba Kila Moja
Yeyote mwenye nayo naomba tuwasiliane.
Tuwasiliane kwanza pm Kisha nitakupatia namba zangu
Gharama za...
Hello, habari pole na majukumu wakuu.
Nimekuja mbele yenu natafuta Web Developer ambaye yupo competent tufanye kazi, malipo kila kitu tutamalizana. Kama una ndugu, jamaa au rafiki nipe...
Mimi ni mtaalamu wa kutengeneza mifumo lain ya Computer (Software Developer), Kwa yeyote anaye hitaji website, blog na mifumo ya ofisi nicheki tufanye kazi. 0621012703
TOYOTA ALLION (DRG) MPYAA SANAA PRICE MIL 12
Make: TOYOTA
Model: ALLION
Engine code 1nz
Engine capacity; 1490 cc
Mileage: Low Mileage
Full ac
Full documents.
Transmission; Automatic
Imported...
What's good? Nauza gaming desk ikiwa brand new in the box imported from UK. Maelezo yake haya hapa. Ingiza hizi codes Google uione meza yenyewe 836-205RD HOMCOM
HOMCOM Gaming Desk Steel Frame w/...
Habari wana jamiiforum.
Tumesajiliwa kama kampuni ya kukodisha magari.
Tunakodisha magari aina zote makubwa kwa madogo kwa ajili ya Taasisi,harusi,msiba, na miradi mikubwa kwa midogo kwa bei...
Habarini wakubwa kwa wadogo, natafuta gari ndogo ata ikiwa namba A iwe ni corolla, carina n.k nitakayoweza kuingia mkataba kwa malipo ya awamu ili iwe naifanyia kazi, kwa mawasiliano zaidi...
Nanunua kuku wengi wa kienyeji-mtetea kwa shilingi 5000/=. Kama una kuku wa kienyeji mtetea kuanzia 50, 100, 200, 1000 n.k nanunua kwa bei hiyo Arusha. Ufugaji unalipa.
Kama title inavyojieleza hapo juu wakuu,mimi ni mtu wa masoko kutoka kampuni ya Riyakh logistics,kampuni yetu inahusika na usambazaji wa mafuta ya petrol pamoja na diesel mahali popote pale ndani...
Kiwanja kinapatikana eneo la mbopo-madale ndani ya wilaya ya kinondoni mkoa wa Dar es Salaam.
Kiwanja hakijapimwa,ila kina hati ya mauziano kutoka serikali za mitaa.
Kiwanja kiko eneo zuri...
Make: Toyota
Model: Land Cruiser Prado
Year: 2003
Odometer: 122,801km
Engine: 3RZ-FE (2693cc - 2.7L)
No Accident, No Faults, Well Maintained.
Location: Dar es Salaam, Tanzania.
Contacts...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.