Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wadau! Kama Kuna mtu mwenye POS wakala ya NMB ambaye ameshindwa Biashara anichek fasta nahitaji hiyo kitu. Maana nimeenda Branch za NMB wanasema hawatoi hizo machine kwa Sasa Nipo Dsm...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Property Investors Company inauza Viwanja Misugusugu Kibaha vyenye sifa: [emoji835]Ni Viwanja vizuri kwa makazi na biashara. [emoji835]Viwanja vimeshapimwa tayari,hivyo ni rahis kwako kupata...
0 Reactions
1 Replies
718 Views
MODEL INFINITY ONE EDUCATION RAM 2"GB STORAGE 64 GB PROCESOR 1.4 GHZ INTEL ATOM SCREEN SIZE 10.1 INCH BETRIE HOURS 8 INA USB HUB, MIN HDMI, HEAD PHONE PORT, CONVERTABLE LAPTOP UNAWEZA KUITUMIA...
0 Reactions
0 Replies
270 Views
amani iwe kwenu. wakuu nauliza,hapa dodoma nitapata wapi magodoro rejects ya pale kiwandani QFL niweze kutengeneza kisofa changu gheto?. natanguliza shukrani.
3 Reactions
3 Replies
518 Views
Dear Pigabet Customers, We regret the inconvenience that had been caused to you during our upgrades for the past week. However, we would like to inform you that withdrawals through Tigo...
0 Reactions
1 Replies
358 Views
T-shirts/Shati/Jeans/Bukta Kali Sana Za Mtumba Grade One Hizi Ni Nguo Ambazo; 1. Hazichuji rangi 2. Hazipauki haraka 3. Zinadumu kwa muda mrefu 4. Huwezi ukaivaa alafu ukapita mtaani ukakuta kuna...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Nyama Safi kabisa ya Kitimoto (my wetu) Imeandaliwa vizuri imeshatolewa mafuta na ngozi ya juu! Kwa wakazi woote wa wilaya ya kinondoni mnafikiwa chap kwa haraka!! Nipe order yako mapema...
10 Reactions
34 Replies
2K Views
HP PAVILION -storage. ROM/HDD: 500GB RAM: 8GB DDR4 Processor: AMD A6-6310 APU with AMD radion R4Graphics 1.80GHz System: x64 bit-based processor Keyboard: Lightened Window 10 pro BEI...
1 Reactions
7 Replies
705 Views
Kuna shule moja inaitwa Olduvai sec IPO Moshi Kilimanjaro. Majengo yake yako imara na Ina vyumba vya kutosha vya madarasa, maabara, dinning hall, mabweni, kiwanja Cha mpira, maji all the year...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) Ltd imeanza utaratibu wa kuwasambazia wateja wake kuanzia maofisi hadi majumbani bidhaa mbalimbali za Kongwa Beef, Nyama Yenye Ubora wa Kimataifa, kutoka kwenye...
13 Reactions
53 Replies
13K Views
Mashine inapatikana Tegeta nyuki-Dar esSalaam Inatumia umeme. Iko safi Kama uonavyo kwenye picha. Bei ; 300,000/= Mawasiliano: 0743534388
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Vijana wengi hawana elimu ya kutosha na kukosa kufanya kazi za kuajiriwa kwenye company mbalimbali ila BF SUMA ni company inayookoa vijana wengi kiuchumi na kiafya, bf SUMA ni company inatoa...
0 Reactions
3 Replies
372 Views
Habari wakuu, natumai ni wazima wa afya bila ya kupoteza muda usika na mada tajwa hapo juu, Dada anahitaji kazi yoyote Mawasiliano 0687617293
0 Reactions
2 Replies
419 Views
Habari za Muda Huu wanajukwaa. Kulingana na changamoto za kukatika Kwa Umeme Kila Baada ya nusu Saa, Sasa nimenyoosha mikono na nimesalimu Amri wakuu. Tafadhali Sana Naomba mdau mwenye Generator...
0 Reactions
1 Replies
592 Views
Habari za kuamka wajomba, Natafuta mashine ndogo itakayoniharakishia kazi ya kumenya ndizi kwa uharaka zaidi. Kutumia kisu nachelewa sana wateja wananizonga.
7 Reactions
15 Replies
1K Views
Kiwanja kizuri kwa ajili ya makazi kinauzwa Kinyerezi - Songas mbele kidogo ya mitambo ya kuzisha umeme ya Kinyerezi 1 na Kinyerezi 2. Kiwanja kipo eneo la kishua (Kwa wale wanaopajua Kinyerezi -...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Nauza Cape ya juu ya kwenye kichwa cha scania, hali take imetumika na bei ni laki 5. Mawasiliano 0766201676
1 Reactions
6 Replies
531 Views
Wadau wangu wa nguvu, kwa wale wa Morogoro, kwa shilingi 12,000 pekee utapata kuku wa nyama kuanzia mwezi wa 12 kuanzia tarehe za 20 karibu karibu na Christmas 🎄. Tupeane ka support hapo...
2 Reactions
0 Replies
536 Views
Karibu ujipatie vitabu vya ufundishaji wa mifugo ya ngurue yenye tija kutoka kwa wafugaji na wakulima waliobobea. Pia utajipatia kitabu hiki kwa elfu 17. Kitabu kikiwa na muunganiko wa toleo la...
0 Reactions
0 Replies
678 Views
Back
Top Bottom