Pata viwanja eneo la mbezi mzalendo kuanzia 10 kwa 10 sq meter 100 kwa shilingi mil 1 na laki 2. Pia kuna eneo lingine lina ukubwa wa 10 kwa 10 tofali 500 na nondo 10 kwa shilingi mil 2 na laki 5...
Nvidia gtx 1080 ti 11gb graphic card
Inapiga game yeyote unayoijua ww up to 4k
Pia kwa wale waofanya video editing ,graphic disighn au wanachora majengo wanaotumia lumion card hii
Bei 1.4m...
Habari zenu wanajamii. Mwenye gari Suzuki Escudo old model au RV4 old model nahitaji. OFA yangu milion 10 itaongezeka kutegemea na ubora wa gari. Naitaka ya shughuli ya mashambani huko maana ni ngumu.
Njoo upate eneo la biashara lenye magorofa ya kutosha, haina udalali mmiliki ni mimi mwenyewe.
Hati ipo
Unaweza kwenda jiji ukamchukua surveyor mwenyewe mkaenda nae hata bila kuniambia...
Tuna uzoefu wa kutosha kuweka tiles za aina zote kwenye majengi makubwa na wadogo.
Tumefanya kazi na baadhi ya wakandarasi wakubwa na wadogo kwa zaidi ya miaka mitano
Tulianzia dar lakini sasa...
Rejea kichwa cha habari,naongea na wanunuzi wa simu used hasa kariakoo mnachukua tahadhari mnaponunua simu hizo?mf jamaa wanaweza kuletewa simu dukan mtu analeta simu anaongezea na hela kidogo...
Wakuu nauza hii sea piano yangu bei nzuri sana. Bado kama mpya na haina tatizo lolote.
Bei ni Laki mbili na nusu (Tsh 250,000). Maongezi yapo. Ipo Kivule- Mwembeni
0785220408
Wakuu nauza gari tajwa hapo juu kwa pesa za kitanzania sh 14, 000, 000 japo maongezi yapo. Gari ipo Kibaha Mlandizi njoo na fundi wako ukague ukiipenda tunayajenga.
Gari ni ya diesel na ni manual...
Dar es Salaam, Tanzania, 06 Julai, 2022- TECNO Mobile Tanzania, chapa ya simu za kisasa na bora duniani ambayo imekuwa ikitoa teknolojia ya kisasa zaidi kwa watumiaji, leo imetangaza uzinduzi wa...
Nyumba inapangishwa Tabata shule.
Nyumba ipo ndani ya fensi ina vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko, choo cha ndani, maji ya bomba.
Kodi laki mbili kwa mwezi
Call me 0747744895
Mnakaribishwa.
Ebwana wakuu, nahitaji kujua wapi naweza kupata iPhone X used. Nataka used kwa sababu sina hela ya kununua mpya.
Naweza pia kutrade iPhone 6S nikaongeza kiasi kidogo kupata hiyo X.
Ni muda sasa natumia pasi aina tofauti lakini hazidumu, zimekuwa zinaharibika au kuungua sana.
Mwenye kujua aina nzuri ya pasi na ikiwezekana na bei yake anisaidie.
Sent using Jamii Forums...
Wadau habari, nahitaji VITS au SWIFT for mil 3.5. Najua muda huu kuna mtu ana anauza gari kati ya hizo kwa bei hiyo.
Kwa ajili ya biashara serious tafadhali ni pm na picha.
KIWANJA KINA UKUBWA WA 20*20
KIKO MBEZI KWA BEDUI,
KARIBIA NA MPAKANI A' NJIA YA KUELEKEA GOBA
BEI NI MIL 6
KIWANJA KINA NYALAKA ZOTE
KWA MAWASILIANO
0714309012
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.