Kumekuwa na changamoto kubwa mbili kwa watu wanaogiza vitu kwenye mitandao hii nguli ya Kichina
Bei ya mali kuwa rahisi lakini usafiri kuwa bei kubwa.
Wengine njia za kufanya malipo kushindwa...
Nina mbegu za pilipili mwendokasi rangi ya njano OPV, siyo Hybrid.
Zimechambuliwa vizuri na zinazaa vizuri sana
Kilo moja ni shilingi elfu thelatini na nane 38,000/=
Natuma popote kwa uaminifu...
KARIBU AUTOMASI UAGIZE NASI GARI LENYE UBORA KWA GHARAMA NAFUU
**************
♻️ High Quality , Reliable, and Speed ♻️
***************
🔅VEHICLE DESCRIPTION
Make ...
Ewe MJASIRIAMALI MDOGO, WA KATI NA MKUBWA, leo ngoja nikupe faida hii BS STATIONERY tumeamua kukusogezea huduma ya KUTENGENEZA VIPEPERUSHI aina zote, MATANGAZO ya redioni na MITANDAONI, na...
Imetengenezwa kwa MATUNDA, mbogamboga na pilipili organic.
Ina ladha nzuri na harufu nzuri ya kupendeza.
Bei yake ni TZS. 3'000/- kwa rejareja na JUMLA ni TZS. 2'000/-
Piga simu namba...
Habari wakuu!,
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu,je una sherehe hivi karibuni kama harusi,send off,happy birthday n.k, kama jibu ni ndio basi hii taarifa ni nzuri na muhimu sana...
Habar zenu wadau
Wapi nitapata hizo mbegu au miche ya mchongoma kwa ajili ya kupanda kwenye kiwanja changu nataka niweke fance ya mti iyo iwe kama bustani kiwanja kimeshaanza msingi nataka ata...
Natafuta mtaalam wa kulipua mawe kwa baruti, nimekutana na changamoto ya mawe makubwa wakati nachimba shimo la choo baada ya kufikia kama futi 4 hivi.
Nahitaji mtaalam kufanya nae kazi.
Nipo...
Make: tata, Model LPT, Mode No. 709 DSLB, colour: white,Class: Heavy load vehicle 3500kg. Year manufacture: 2011, Engine capacity Cc 3784. Fuel: Diesel, Number of Axles 2. Seating capacity...
Kama wewe ni mmoja wa watu amao unataka kupata habari kwa wakati na kwa haraka basi app ya Gazeti inakupa uwezo wa kusoma habari mbalimbali za hapa Tanzania kutoka kwenye vyanzo bora hapa...
Nyumba inauzwa ipo toangoma dar es salaam
-Ina vyumba vitatu kimoja master na vyote vina feni juu na sehem ya kuweka kabati la nguo
-Dinning
-Jiko kubwa
-Sebule
-Choo cha ndani na nje(hiki cha...
Humu leo ndajaribu kuwaelekeza jinsi ya kupata channel za nje zaidi ya 200 bure bila malipo ya mwezi unacho hitaji ni decoder inayo support usb port na free to air channels ambapo utatumia...
Offer yangu 260k simu ikiwa kali naongeza pesa..
Mali halali Android Phones Only
Simu iwe kwenye good condition.. Na iwe double line..
Nichek 0733575632 tufanye biashara
Big Offer! Printer Mpyaa!
•Epson L3110 kwaajili ya biashara na ofisini
•Ina uwezo wa
Kuprint📍
Kutoa copy 📍
Kuscan 📍
Picha na karatasi ukubwa wa A4 √
•Unapata CD/User guide√
•Cable √
•Chupa...
Habari nauza toyota Passo
Maelezo :
Toyota passo
Cc 990
Piston 3
Rangi Pearl
New tyres
Full ac
Iko kwenye hali nzuri kabisa ,Haina changamoto yeyote ,
Price : 6M
MAWASILIANO: 0754200363
Wahi chap
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.