Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari za majukumu ndugu zangu, Naomba kufahamu na connection ya soko la pumba Kwa mikoa ya Arusha na Moshi. Ni pumba laini kabisa za maindi na mpunga Mimi na pumba ya kutosha nipo tabora...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Play station ni used Hard disk 500GB Ina games ndani tayari za akaunti. Padi moja ila siyo nzima. Ninakupa na HDMI na Power cable. Napatikana Dar es Salaam Nicheki kwa namba 0682507838 au...
1 Reactions
0 Replies
381 Views
solar products. Inawaletea bidhaa ya taa[emoji362][emoji362][emoji362] 3 pamoja na switch zake pamoja na chaja za simu. Malipo ya awali 20000/= na malipo ya siku 750/= muda WA malipo mwaka 1ina...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hello Poleni na majukumu Mimi nauza nguo za watoto za kike na za kiume kuanzia miaka 0-6 bei ni kuanzia tsh 1, 000 napatikana dar goba kwa mawasiloano karibu sana PM.
0 Reactions
2 Replies
703 Views
Wakuu nahitaji kibanda cha Mpesa kiwe cha chuma au mbao kisizidi LAKI 2. NIPO DARESALAAM.
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Shamba linalofaa kwa kilimo Cha parachichi au miti ya mbao linauzwa. Lipo Kijiji Cha matembwe ktk kata ya Matembwe, tarafa ya Lupembe wilayani Njombe na mkoa wa Njombe. Lina ukubwa wa eka 10 Bei...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Viwanja vipo kibaha kwa mfipa,karibia na chuo kipya Cha uongozi,vimebaki viwili kila kiwanja kina square meter 400. Bei kwa kila kimoja milioni 4 na nusu. Umbali km 1 na nusu toka morogoro road...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Gari haina shida yoyote no. D Engine safi, gearbox safi Full A/C Serious inquiries, karibu PM
1 Reactions
4 Replies
657 Views
Hello wana jamvi kama unahitaji mashine ya kutengeneza lambalamba yenye uwezo mkubwa piece 200 kwa pamoja ndani ya dakika 25-35 tayari ni kwa kibiashara kweli kweli tunaitengeneza hapa hapa...
0 Reactions
67 Replies
53K Views
MASHINE YA KUPUKUCHUA MAHINDI BEI: 450,000/= Je, huna cha kufanya? Unatafuta kazi hupati? Sisi ni wasambazaji wa mashine tofauti kutoka china, mashine zipo kwa oda malipo ukikabidhiwa mzigo wako...
2 Reactions
54 Replies
30K Views
Heshima kwenu wadau.. Nauza T-Shirt heat press, heavy duty, nzuri kabisa for transfers image and logo on T-Shirts, namba na majina kwenye jezi za michezo.. kuprint leso, vitambaa etc Mpya kabisa...
2 Reactions
59 Replies
11K Views
Habari Wana jukwaa! Tv inauzwa Brande: HITACHI SIZE: INCH 24 LOCATION: UKONGA PRICE: TSH 70,000/
0 Reactions
1 Replies
492 Views
Salamu wanajamvi, nahitaji charger ya laptop hp 630, kichwa kipana. Kwa anayeuza aseme katika comment au aje inbox. Natanguliza shukrani za dhati.
1 Reactions
5 Replies
366 Views
Wakuu kherii. Ninahitaji godauni la kupangisha hapa Zanzibar. Liwe la mita 100-120 bila kujali upana ni ngapi mita. Lisiwe mbali saana na mjini kati. Mwenye kufahamu mahali laweza patikana au...
1 Reactions
1 Replies
374 Views
Wakuu nahitaji Non Alcohol Wine(0.0%). Kuna maduka 2 ya pombe kali mbezi Luis nimejaribu kuulizia wanasema hawana wanazo zenye alcohol tu. Anayefahamu naomba anijuze niifuate popote dsm wine...
3 Reactions
94 Replies
10K Views
Wazee kichwa cha habari kinajitosheleza
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu habari za asubuhi, poleni na uchovu wa jana wa Simba day na pia siku ya mapumziko sikukuu ya Nanenane kwa wafanyakazi na wasio wapenzi wa kandanda. Nimekuja tena kwenu nina shida nauza gari...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
  • Closed
NAUZA MRADI WANGU WA SHAMBA EKA 105 KWA MILIONI 135 Ningependa kuchukua nafasi hii kutangaza kuuza shamba langu lenye ukubwa wa eka 105 lililopo kijiji cha lutukila katika wilaya ya madaba mkoa...
11 Reactions
18 Replies
3K Views
Nauza PC Ina ram 8gb hdd500 charge 3hrs Bei 300k Pm me or WhatsApp me at 0621554787
0 Reactions
3 Replies
428 Views
Nahitaji premio no d iliyonyooka na ambayo haijagongwa Wala kuludiwa Rangi tuma wasap no 0763165384
0 Reactions
1 Replies
306 Views
Back
Top Bottom