Weka tangazo,mahali ulipo bei ya saa na aina yake pamoja na namba ya simu
karibuni.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo...
Mmoja ni wakusimama "full'' bei yake ni 45000/
Mingine 15 ni ya blauzi 3500
Ni used nlikua nafanyia biashara nimeacha
Bei hizi hutapata popote.
Location: Tabata kinyerezi
Call: 0783391278
Kiwanja kinauzwa mbagala rangi Tatu umbali wa mita 200 tokea Kilwa road. Kina sqm 221.Kina Leseni ya makazi(Hati za Manispaa).Eneo Kuzunguka limejengwa.
Nicheki chap kwa 0677089280.
Training Training Training
Step Ahead Financial Consultants Limited would like to invite all interested Accountants and Auditors to attend this important training on Advanced Excel for Accountants...
Printer ya EPSON L382 kwa Tsh 280,000/= tu . Iko clean kama mpya haijawahi kurefill tangu upya wake.
Ina 1. photocopy colored na black &white
2. printing colored na black & white
3. scanning
4...
Habari nduguzanguni,
Tafadhali sana sambaza meseji bila kuchelewa.
Mtaa wa KISUTU hapa DAR kwenye Mskiti Mkuu wa mahindu (Baniani)
Watatoa huduma kwa walemavu na viwete.
Wanawapatia viungo vya...
Habarini ndugu zangu Mimi na kaka angu tunatengeneza furniture zote za ndani tupo Yombo Temeke tatizo ni kupta wateja naomba mniunganishe kwa wateja au MTU ambaye naweza ongea nae tukawa...
Wakuu poleni na maumivu ya january,
Ndugu zangu sina mengi ijumaaa nimeagizwa kikazi mwanza na ofsi na sijawahi kula bata Mwanza nawaomba mnipe ramani ya kiwanja kizuri kilichochangamka chenye...
Ni freezer aina ya Syinix.
Lita 263
Ni used lakini kama mpya.
Haijawahi kuwa na tatizo wala kutengenezwa.
Inapatikana Dar es Salaam.
Nauza tsh. 500,000 au kama una friji ya kioo (show case)...
Wakuu nahitaji kifaa kinaitwa power supply, kutoka AC 220-250 kwenda DC 24 vdc ( 240vac to 24vdc) kwenye Amps 4 mpaka 6 au zaid.
Please kwa wauzaji aje in box.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.