Kontena la ft 20 linapangishwa....lipo kando ya barabara ya lami( inaangaliana na barabara) mabibo Makutano.
Kodi 90000 kwa mwezi.
Linafaa kwa matumizi ya biashara mbalimbali mf duka...
Ukienda Instagram andika
"Masama home design" ni kampuni ya kitanzania inahisika na kusanifu majengo ya kisasa, ujenzi na interior design, mimi binafsi sijaona bado kampuni Tanzania zaidi ya hii...
Ndugu wanajamvi.
Naitwa Saidi mkazi wa Pugu wilaya ya Ilala mkoa wa Dar es salaam natafuta gari ya abilia haice kwa ya kubebea abilia wilaya ya kisalawe kutoka kigogo sokoni kwenda msanga mpaka...
Wadau,
Nitaji kupata kwa wingi na kwa bei ya jumla sabuni za magadi (pichani), kama unajua chimbo au unauza kwa bei nzuri naomba ni pm. Pia natafuta watu wenye ujuzi wa kutengeneza sabuni hizi.
Tumbo linahitaji Chakula ili uweze kuishi hivyo hivyo Ubongo unahitaji Chakula ili uweze kufikiria vyema.
Imalisha afya yako ya Ubongo/Akili kwa kusoma vitabu vitakavyobadirisha maono yako...
Habari wana JF, kampuni yetu inawakaribisha nyote kununua bidhaa mbalimbali,
1. Viungo vya chai kama vile tea masala, mchaichai, mdalasini, chocolate tea, kahawa, iliki n.k.
2. Viungo vya chakula...
Habari wana JamiiForum, Humu ndani.
Utangulizi
Dalium Technology ni kampuni ya kitechnolojia changa iliyondwa na vijana wa kitanzania. Kampuni hii inajikita katika utoaji wa huduma za...
Wandugu Nina ekari 100 pale vigwaza ninauza. Umbali Wa kutoka barabarani ni km 1 tu. Ninaweza kuuza hata kwa vipande vipande. Kama kuna MTU yupo interested anipigie 0676806077 tuongee.
Shamba ekari 5 linauzwa milioni 3 lipo Vigwaza kilomita 9 kutoka barabarani. Kijiji kinaitwa Visezi zuri kwa ufugaji was mbuzi, kilimo. Maji ya bomba yapo kutoka halmashauri ya Bagamoyo. Kijiji...
Nyumba ni mpya kabisa hajakaa mtu, ina vyumba sita, sebule na fremu ya nje, ina fence, vyumba vitatu ni masters, inaweza ku accomodate familia mbili. Umeme maji ni uhakika, ipo barabarani...
Kwa wakazi wa Dar ambao wanahitaji huduma zinazohusu ardhi au ushauri kuhusiana na maswala ya ardhi/majengo msisite kunitafuta.
Ninatoa huduma zifuatazo:
- Kufatilia zoezi la utoaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.