Habari zenu wapendwa?
Naombeni msaada, mimi ni mfugaji wa Kuku wa nyama namshukuru Mungu najitahidi na napata matokeo mazuri Kuku ni wakubwa wanaridhisha,
Tatizo langu ni kupata soko zuri/wateja...
Habari wana jamii forum
[emoji830]︎Je hapo ulipo ni kiasi gani unaathirika uwepo wa maji na unatafuta njia bora ya kupata maji mengi ili uweze kutumia kwenye matumizi ya shambani na nyumbani...
Karibu tuongee.
Jiunge na mjadala wa kuendesha biashara yako kwa mfumo wa digital kupitia smartphone yako kiganjani.
Sisi hapa tunatoa application ya simu inayosaidia wafanyabiashara kutunza...
Huna haja ya kuwaza umeme kukatika kwani saan agency tumekuja na suluhisho kwaajili yako. Tutakufungi backup system nyumbani au ofisini kwako kwa teknolojia Bora na salama
Unaweza ukajiuliza...
MNYAKI NATURE CIVIL WORKS ni wataamu wa kufanya finishing iliyo Bora na kwa bei nafuu. Kazi zetu ni;
1. GYPSUM DESIGNS
Hapa unafanyiwa kila aina ya Dari na kukufanya ufurahie chaguo lako
2...
TVS 150
AMEMALIZA MKATABA KIJANA
ANATAKA KUIUZA
YUPO DODOMA MJINI
DOCUMENTS ZOTE ANAZO
BEI 1,500,000/=
Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
Mzigo Mpya Umeingia
Shock dust Cover za Ist ZImeingia jaman
bei ya Jumla ni kama Bure .. karibuni dukani
tunawauzia kwa bei ya jumla kuanzia Pc 4
tupo kariakoo
mtaa wa Swahili na Udowe
Kwa...
Nimeingia kwenye page yake nimekuta ameweka tangazo la Apps yake nikaenda Playstore nikakuta hiyo Apps ipo nimejisajili ila sasa inakubidi uwe na dollar moja kwa kuweza kupata subscription kwa...
Watu wote ambao mnahitaji fundi makini kwa bei nafuu sana, Fundi Umeme na ujenzi SAMICO kashusha bei kwa OFA.
OFA Inaitwa Jenga kwa elfu 50 kwa chumba! Hii ni ofa kwa watu watano tu mwezi wa...
Wakuu habari,Tunauza Pallets za plastic zilizo na ubora, kwa mwenye uhitaji anaweza kunicheki tufanye biashara na delivery yenye uaminifu.
Namba: 0757005897
Jamani nimezunguka majukwaa mengi natafuta mtu anaeuza sindano za kutengenezea carpets za namna hii popote pale Tz, maana nimehangaika kutafuta hadi sio poa, nimekuja na humu mnisaidie kwa muuzaji...
Habari..
Nauza vitu vya ndani, TV Samsung inch 32.. imetumika one month. Fridge kubwa(imeisha gas), sofa set, Kitanda na Godoro, Dressing table(a bit used), stand ya TV(Ya dukani), Kabati la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.