Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
KILIMO NI BIASHARA POWER TILLER OR WALKING TRACTOR BRAND SHAKTI MADE IN CHINA LAKINI IMEDIZIINIWA KWA SOKO LA INDIA . Hii ni nzuri sana kwa kulima,kupalilia,kuengeneza matuta nk.ina matairi ya...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
TUNAUZA NG'OMBE WA #MAZIWA (#DAIRY #CATTLE) Hawa ni Ng'ombe wa #maziwa wapo wanao kamuliwa lita 10 - 24 kwa siku wapo na #mitamba simu: +255 712 253 102(WhatsApp) +255 765 291 489 +255 625 994...
2 Reactions
19 Replies
11K Views
Salamu, Nina hitaji RAV4 J Old model 1998, 5 doors, 4WD. Budget yangu ni 10M TZS kama unayo Njoo tufanye biashara. NB: Iwe katika hali nzuri.
1 Reactions
2 Replies
480 Views
*TANGAZO TANGAZO* [emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219] Shirika la *PRA - Tanzania* linawaletea Watanzania wote Mafunzo ya Ufugaji wa Nyuki...
2 Reactions
14 Replies
7K Views
Nyumba ipo Mbezi beach upande wa chini Ina vyumba vitatu kimoja master Jiko, sebule, dinning na public toilet Ina eneo lenye ukubwa wa sqm 1000 Hati miliki mkononi Wahi sasa BEI ni milioni 200 Tu...
3 Reactions
533 Replies
56K Views
Inauzwa OPPO A57 Ram 3 GB Storage 32 GB Screen size 5 inches Bei 200'000 0743123946 WhatsApp and Call Dar Es Salaam, Kibamba Used
0 Reactions
0 Replies
701 Views
Habari zenu wana Jf,feni yenye picha hapo chini inauzwa bei ni Tshs 45000 Feni ni nzima haijawahi kufunguliwa Inapatikana Gongo la mboto Moshi Bar 0689 150 968
0 Reactions
0 Replies
673 Views
Wakuu kama bango linavuosomeka Nipo maeneo ya tabata ninauza gauni nne za harusi na za kisasa kwa bei chee kama zinavyoonekana hapo chini Bidhaa: Gauni nne za harusi za kisasa Bei: Laki tatu na...
1 Reactions
15 Replies
967 Views
Habarini jf, natafuta fundi au mtu yoyote ambaye anaweza kujua chimbo ya viti vya ukumbini hususani lecture rooms ya idadi ya viti kama 200 kwa 250 seats kwa dizaini ya viti ndo kama hi, naomba...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Done deal~ jambo limetimia Mita 160 hizo Maji kama bahari. Mpwapwa - Suguta Hujachelewa karibu tukuchimbie na wewe 0689 150 968 0625 557 395 0764 418 248
0 Reactions
1 Replies
410 Views
Simu ni used ila inatumika vizuri. 32GB storage 2GB RAM Inapatikana Dar Bei 120,000 0711381113 Nimeshindwa kuambatanisha picha kwasababu hapa sina simu nyingine kwa ajili ya kupigia picha.
0 Reactions
1 Replies
657 Views
Kichwa cha habari chajieleza, Wakubwa nahitaji kioo cha s10 plus na s20 ultra zote Samsung, kwa Dar au Mwanza vinapatikana wapi? Asante
1 Reactions
4 Replies
4K Views
LUOWEBS AND SYSTEMS DESIGNERS AND MANAGERS Watengenezaji na wabunifu wa Mifumo (Systems) na tovuti (Webs) mbalimbali za kisasa kwaajili ya Taasisi, Makampuni, Biasharana Watubinafsi, Lengo ni...
0 Reactions
0 Replies
800 Views
Nauza meza ya kusomea/kuandikia bei chee - Temeke, Dar es salaam. Bei: 60,000/-
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tafadhali MWENYE mzani used wa MAWE tuwasiliane 0621538913. Pesa iliyopo mkononi ni 60,000/=. TSH
0 Reactions
0 Replies
297 Views
Simple design (Ramani) 3 bedrooms Kitchen Store Dining Living room toilet Tofali 3300 Kiwanja kuanzia mita 18 kwa 20 Get the plan +255678418272 Whatsapp
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Hp laptop inauzwa. Laptop imetumika lakini bado ipo kwenye hali nzuri sana. -> Kioo kina ukubwa wa inchi 15.6 -> RAM ni 4GB -> Hard disk yake ni 500GB -> CPU ni duo core ya 1.6Ghz -> Kipengele...
0 Reactions
3 Replies
912 Views
Habari wadau, Nina madini aina ya Opal (Milky white opal) (angalia attachment). Kwa anayejua soko lake anisaidie taarifa, niko Dar. 0718174415
0 Reactions
1 Replies
987 Views
Habari Wakuu. napenda kuchukua nafasi hii kuwafahamisha wadau wa maendeleo kwamba Foundation for Civil Society (FCS) wametoa wito kwa ajili ya kupokea maombi ya fedha za miradi (call for proposals...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wakuu, Mkoa wa Tanga, wilaya ya mkinga karibu kabisa na barabara kuu ya kwenda Mombasa Kenya kupitia horohoro boder kuna beach plots zinauzwa kwa bei rahisi tu. Viwanja hivi vinafaa kwa...
1 Reactions
5 Replies
705 Views
Back
Top Bottom