Nauza SQ C9 mchina used
Sifa: Ina double line, radio, kioo kipana, charger hata pin ndogo ya nokia inatumia,memory card slot, inaweza kurekodi maongezi,camera, inatunza meseji mpaka 170,calendar...
wakuu nauza hiyo simu,meitumia for six months,ipo kwenye hali nzuri,ina internet,bluetooth,ni double line na ina redio....plus QWERTY keyboard..naiuza kwa sababu nataka kubadili simu ,bei...
Music producer anatafuta studio. studio iwe imekamilika kwa vifaa, na mmiliki awe ni mtu anayejua maana ya muziki.. producer amekwisha fanya kazi na wasanii kama vile Alikiba na PNC na wengine...
Wakuu nina nyumba nyakato temeke, mita 200 tu toka barabara ya mwz-musoma,ina vyumba 3 kimoja self contained, ina fance ya ukuta, sebure kubwa, dinning, nje pana servant quota chumba na choo/bafu...
MAMBO VP WAKUU
NAHITAJI HIYO AC ALIYOKUWA NAYO AU ANAYEJUWA NAPOWEZA KUPATA ANIJULISHE KWA CALL 0715-388666 AU NI PM AU NI EMAIL : mohdnass3@gmail.com
SHUKRAN!
Godauni ya mazao inauzwa ina uwezo wa kuhifadhi tani 500 za mazao na ina mashine kubwa mbili ndani za kukoboa mpunga zenye uwezo wa kukoboa tani 50 kwa siku. Liko barabarani pembeni ya stendi kuu...
iPad first , second and third generation used zinauzwa.
1. iPad firt generation @Tsh 480,000 /=
2. iPad second generation @Tsh 750,000 /=
3. iPad third generation @Tsh 900,000.
Mawasiliano...
Habari wana jf nauza iphone ambayo nimeinunua mpya dubai risiti ninayo nimeitumia wiki mbili tu na hata tukiuziana mahakamani ni sawa tu,
condition yake bado ni mpya na haina hata mchubuko hata...
Habari wakuu,
Mimi nauza nyuma iliyopo tabata segerea, karibu na kota za nssf.
Nyumba ni ya kisasa, ina vyumba vitatu ikiwemo materbedroom kubwa sana, sitting room kubwa, dining room, kitchen...
Wakuu nina nyumba nyakato temeke, mita 200 tu toka barabara ya mwz-musoma,ina vyumba 3 kimoja self contained, ina fance ya ukuta, sebure kubwa, dinning, nje pana servant quota chumba na choo/bafu...
Engine ya SUZUKI ESCUDO na gearbox yake vinauzwa, niliagiza toka Japan, viko katika hali nzuri sana na haijatumika hapa bongo. Kwa sasa ipo Mbeya lakini mnunuzi wa Iringa, Morogoro na Dar anaweza...
Nyumba ya kisasa ya ghorofa inauzwa,ipo maeneo yenye upepo mwanana ya Mbezi Beach karibu na bahari ya Hindi,nyaraka zote muhimu zipo ikiwa ni pamoja na title deed, lengo la kuuza ni mhusika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.