Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

WAKAZI waishio mabondeni wamepuuza agizo la Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Evance Balama la kuwataka wakazi hao waondeke maeneo hayo kwa kuwaepusha na madhara ya mvua zinazotarajiwa kuanza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana jf! natafuta mpishi anayejua continental cuisine, contact: ysfmab@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wana JF kulala mahali pazuri ni jambo jema kamata kitanda kwa bei ya punguzo vimebaki vitanda vitatu tu kwa bei ya 250,000 tu kwa kila kimoja.Wasiliana kwa akamanyusi@yahoo.co.uk au 0713876210
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndege ya kampuni ya KLM Inawasili sasa kutoka amsterdam..kama unasubiri ndugu yako/rafiki tunakutakia usiku mwema KLM AIRPORT
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Toyota Mark II,GX100,VVT-I Engine, 2000 Model,cc 2000,imetembea japan km 88,000. bei Milioni 9,mazungumzo yako kidogo,imelipiwa ushuru na imesajiliwa, Engine ni sawa na cresta gx100 new model ama...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mimi ni mjasiriamali mdogo kwa sasa ninahitaji kufungasha bidhaa zangu kwa vifungashio vya kisasa (export quality) na kuuza bidhaa zangu kwenye supermarkert au kusafirisha kwenda nje naomba kama...
0 Reactions
5 Replies
10K Views
Jinsi ya KUPAISHA (upload) profile picture, avatar and signature JF - Video http://www.youtube.com/watch?v=cDgSikDxRuA
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jinsi ya KUPAISHA (upload) picha JF - Video http://www.youtube.com/watch?v=0se1Ymoe29g Warning: Nudity / Porn: Please remember that this board is a PUBLIC forum. There are 12 year's old members...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa kisukuru juu njia ya gereza la segerea ,ukubwa ni nusu eka, kimepimwa bei ni million 25, maongezi yapo
0 Reactions
7 Replies
2K Views
WAKUU WA JF naomba msaada wa key Pruduct ya DVD PHOTO SLIDE SHOW PROFFESIONAL nime Download kwenye Google nimepata ya trial ya mwezi sasa imekwisha wameniambia ninunuwe sasa naomba msaada kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mark II GR going at a very affordable price ... Only 4.5 M Gari inaita sana, (Angalia picha hapo chini) imekuwa ikitumiwa kwa kwenda ofisini na kurudi. Other Particulars: Year: 1992...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Waungwana,poleni na kazi!! Nina swali nahitaji msaada!! Ningependa kufahamu about kampuni zinazo-deal na namba za simu zinazotumika zaidi kwa masuala ya bahati nasibu na mengine sawa na hayo. am...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Malihusika hapo juu inauzwa. Kiwanja kimepimwa na kina offer. Kwa muhitaji tuwasiliane kupitia 0785-973-834
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kazi kweli kweli, tunaenda na wakati!!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani naomba msaada kwa wale wanaijua Mwanza natafuta kiwanja Mwanza mjini ni sehemu gani poa, na unaweza kuilinganisha na wapi kwa Dar au Arusha? Asante kwa watakao kuwa tayari kuchangia...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Laptop HP Compact nx9030 Intel (R) Pentium (R) M Processor 1.60GHz 590MHz, 224 MB of RAM system Microsoft Window XP Professiona Version 2002 Service Pack 2 Inauzwa 550,000/- pungufu unaongea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu nauza starlet carat ya mwaka 1998 kutoka Japan imetembea klm 80,000. eng. capacity 1300, imelipiwa ushuru na gharama nyingine. nimetumia peke yangu for two years. Anayehitaji...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
LED – Lighting Emitting Diode Natafuta mtaalam nyumbani wa kunitengenezea LED Name Display. Nahitaji name diplay 2 zenye ukubwa wa kama 60 x 12 (inches). Katika ku-google kwangu nimekutana na...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Kuna jirani yangu hapa anauza hii gari, nikadhani pengine yaweza kuwa ni dili nzuri kwa wana JF. Mwaka: 2000 Imeingia Bongo: July 2009 Odometer: 86,000km 1500cc Bei: 7.5m (non-negotiable)...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba yeyote anaejua wanakouza spea ya betri ya Laptop aniarifu nimejaribu sehemu kadhaa sijapata. Asanteni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…