Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Nyumba ipo wazi kinyerezi mbuyuni, vyumba vitatu, kimojawapo ni master bedroom, public toilet ipo, jiko la wazi na sebule, ndani ya ukuta kuna nyumba 7, eneo lina utulivu ndani. Kodi ni 450,000...
3 Reactions
12 Replies
454 Views
Habari, nauza kiwanja Dodoma kipo eneo la michese square meter 520, hati ipo,bei mil. 15 kwa maelezo zaidi nitafute. 0692776355
1 Reactions
1 Replies
176 Views
Kiwanja kinauzwa goba tegeta "A" kwa bedui Dakika 5 tukutoka kwa bedui center Dakika 7 tuu mpaka goba centre Dakika 10 tuu mpaka madale mwisho Kiwanja kina sqm 722 (Upana wastani wa 19m and...
1 Reactions
2 Replies
227 Views
Wakuu niko na iPhone 11 plain hapa naiuza, 128gb, Face id bado ipo Battery health now inasoma 73% Ina crake kidogo kioo cha nyuma,. Kama unahitaji hit my dm Asap! Kama uko Songea pia itapendeza...
3 Reactions
17 Replies
496 Views
Habari, Karibu CITIZEN CARGO LTD Kampuni ya usafirishaji wa mizigo kutoka CHINA kuja TANZANIA Kwa Ndege (Express Air Cargo) Gharama zetu ni nafuu kama ifwatavyo; 1. From 1Kg - 10Kg: 12$/Kg 2...
2 Reactions
2 Replies
523 Views
Habari za kazi wanjukwaa, Kampuni ya PM EXPRESS CARGO tunapenda kuwataarifu kuwa tunasafirisha mizigo kutoka China Kuja Tanzania kwa bei nafuu kabisa. Tunaendelea na upokeaji wa mizigo ya kawaida...
3 Reactions
36 Replies
3K Views
Habari Boss[emoji3575]. Kampuni ya Sabour Express Cargo Trading Ltd. Tunakukumbusha ndugu mteja tunaendelea na ukusanyaji wa mizigo ya kawaida(express) katika warehouse zetu china[emoji630] Ndege...
4 Reactions
72 Replies
4K Views
Habari boss , kampuni ya PM TRADING AND LOGISTICS LTD inapenda kukutaarifu kuwa tunaendelea na zoezi la ukusanyaji wa mizigo katika Warehouse zetu za China🇨🇳 kwa njia ya ndege (Express)🛫...
6 Reactions
34 Replies
1K Views
Nitakuwepo nane nane Arusha na miche ya matunda kama Pixie Orange, Tangarine, Mineola na Clementine pia. Dragon fruits miche itakuwepo plus elimu ya kutesha Pixie ndio tutakuwa nazo nyingi na...
1 Reactions
1 Replies
273 Views
TANZANIA ELECTRICAL,ELECTRONICS AND ICT SOLUTION ONLINE Tunakaribisha watu binafsi katika kupokea mafunzo ya Electrical,Electronics na ICT kwa njia ya mtandao(ONLINE), Mafunzo yetu yana lengo la...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Je, unahitaji kuwekeza kwenye ufugaji wa nyuki na hujui pa kuanzia? Karibu upate mafunzo ya ufugaji nyuki kibiashara.
1 Reactions
0 Replies
88 Views
Eneo linafaa kwa Ufugaji,mto unapita jirani,kilimo cha kumwagilia. Lakini pia kilimo cha mihogo,machungwa na Maembe. Nicheki 0782971984
0 Reactions
0 Replies
111 Views
Wakuu naamini mpo salama, Kwa anayehitaji kununua usafiri wake, nipo na Nissan Teana nzuri na nzima, nauza. Gari limesajiliwa Tanzania kwa usajili wa DMK DETAILS Make Nissan Model Teana...
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Habari, natafuta fundi bingwa wa BMW x3. Njoo pm
4 Reactions
22 Replies
703 Views
Mazungumzo yapo changamoto ni umeme tu, mwenye uhitaki karibu inbox
0 Reactions
0 Replies
63 Views
* TRJ 150. Brown color. 2690cc.Petrol. Automatic. Number T...DDE. In good condition. Price 90mil Mawasiliano 0784225000
1 Reactions
1 Replies
216 Views
habari zenu wakuu nina shida ya chumba cha 25,000 dar es salaam,nipo kwenye changamoto kidogo hivyo siwez kupitia kwa madalali maana gharama zitaongezeka hivyo kwa mwenye kuweza kuniunganisha na...
2 Reactions
5 Replies
184 Views
Back
Top Bottom