Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Taa hii inatumika nje Yani ndani ya fensi ya Nyumba,nje ya Nyumba au barabarani. Taa hii inatumia mionzi ya jua ili kujipatia chaji na pia kuchani battery za CCTV camera. Taa hii inafanya KAZI...
2 Reactions
43 Replies
932 Views
Wadau, naombeni ushauri hukusu ubora wa mbao za huu mti uitwao Mtiki katika kitengeneza milango ikilinganishwa na mninga au mkongo. Kuna mdau ananishawishi kwamba wenyewe ndio the best, ingawa...
0 Reactions
28 Replies
14K Views
.. habari za majukumu wakuu,nahitaji hizi plastic mold kwaajili ya kufyatulia paving,msaada wa mwenye kufahamu zinapopatikana kwa hapa dar na bei zake wakuu,nahitaji sana
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Karibuni wateja na wahasibu, Tunatoa mafunzo ya Accounting package kama Tally na Quickbooks, Pograms cracks pia tunazo Karibuni sana.. Email: hybridprojectmanagement@gmail.com Whatsapp: 0693300971
1 Reactions
2 Replies
188 Views
Habari, ninaomba msahada wa mawasiliano ya usafiri wa magari yanayosafirisha ndizi kutoka rombo to DSM. Mawasiliano yangu 0743468716
1 Reactions
2 Replies
102 Views
TUNAUZA VIFARANGA WA KUKU CHOTARA AINA YA KROILA, BEI SH 1,500 WANAPATIKANA KILA WIKI UMRI: SIKU 2 CHANJO: MAREK'S TUPO KAHAMA, TUNASAMBAZA MAENEO YOTE KATIKA MIKOA YA KANDA YA ZIWA...
1 Reactions
1 Replies
941 Views
Kwa waliopo Dodoma, Dar na maeneo mengine ya Tanzania na toa OFA ya mwenzi mmoja ya kuwaunganisha na Wachina wanaoshusha na kuuza mzigo wa bei ya jumla kariakoo kwenye bidhaa zifwatazo. Kampuni...
28 Reactions
263 Replies
28K Views
Bei 1,180,000/= mashine ni mpya Mashine ya kukamua juisi ya miwa (Ya umeme) 🔴Ina uzito 65kg 🔴Inatumia umeme wa kawaida wa majumbani 220V, motor 0.75KW 🔴ukubwa wake 430*350*920mm 🔴material yake ni...
2 Reactions
4 Replies
819 Views
*Natengeneza na Ku-repare mashine au mitambo mbalimbali iliyokufa saketi zake za kielectronics na hivyo kushindwa kufanya kazi. *Nahusika na mifumo ya kielectrical na Electronics tu,sihusiki na...
3 Reactions
4 Replies
182 Views
Inakuwaje kijana unapambana Kwa Hali na Mali kiakili na kimwili Ila mafanikio yanakuwa bado shida? MTU huywi pombe na wala hutumii kilevi chochote Sio MTU wa wanawake uko na mahusiano yako...
13 Reactions
43 Replies
915 Views
Karibuni mashamba bei sawa na bure. Mashamba yapo dakk 30 kutoka kisarawe mjini. Maongezi yapo kdogo. Namba 0627757086
6 Reactions
28 Replies
3K Views
Salamu.Nimezipenda hizi Tv za mimi kipato Cha kati,Remote za Tv ya Hisence zipo makini sana. Sauti ya Tv zao ni kubwa na audio jack nzuri sana.
7 Reactions
77 Replies
4K Views
Kutokana na kuongezeka kwa makazi ya watu huku ukubwa wa transformer za Tanesco zikibaki zilezile,kumepelekea maeneo mengi ambayo miji yake inakuwa kukabiliwa na tatizo la umeme mdogo hasa...
1 Reactions
28 Replies
8K Views
NIC Life House, 2nd Floor, Wing C, Website:www.archco.co.tz P.O. Box 38694, Dar es Salaam, Tanzania Email.info@archo.co.tz Tel:+255 22 211 844 Date: 27th February,2024 YAH: MASHAMBA YA KILIMO...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Bmw
Habari, natafuta fundi bingwa wa magari ya BMW, hii ni BMW X3. Njoo pm tuyajenge
2 Reactions
0 Replies
98 Views
Habari, Kwa niaba ya ndugu yangu, wanauza eneo la shamba kubwa kwa uwekezaji wa kilimo. 1) Wapi? Ngalanga, njombe vijijini 2) Ukubwa? Ekari 100+ 3) Umbali toka barabara kuu: 5km 4) Hali yake...
0 Reactions
6 Replies
671 Views
Wadau, hamjambo natafuta maduka ya vifaa vya solar Dar es Salaam ,kwani natafuta bulbs za solar za trade,na photocell ya dc yaani ya solar. Iwapo kuna mdau humu anaweza kunisaidia kupata hizo...
2 Reactions
4 Replies
257 Views
Agiza nasi Nissan X-Trail New Model 🔸Year 2014 🔸CC 1990 🔸Engine MR20 🔸Blue Color 🔸4 Wheel Drive 🔸Seating Capacity 5 🔹Steering Options 🔹DVD Radio 🔹Navigation system 🔹Back Camera 🔹Winker mirror...
2 Reactions
5 Replies
647 Views
Wana JF , ni wapi kuna maduka hapa DSM wanauza vitanda special na magodoro yake . Achana na wale marafiki zetu wa mitaaani wanao chonga vitanda unamfuata leo anakwambia hajamaliza kutengeneza
2 Reactions
4 Replies
213 Views
Back
Top Bottom