Habari nauza mashine hiyo hapo.
Kwa ajili ya kutengeneza lambalamba ni ya kubeba na kuanza kazi inauwezo wa kubeba tray moja ya pieces 40 na mzigo unaganda baada ya dakika 15.
Uzuri wa hii...
Kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na shinikizo la damu na kisukari tunauza mashine ambazo utaweza kuzitumia kupima mara kwa mara na kujua maendeleo yako.
Mashine ya sukari ina strips 25 za kuanzia...
Naam!
Kuna wakati ulishafikia hatua ukaona laptop yako ni nzito? Sio Ram tu inaweza pelekea laptop yako kuwa faster! Hata Hard disk (HDD) inapelekea laptop yako kuwa nzito pia, Kuna hii kitu...
Habari wakubwa. Nauza Mziki wa Club, Used 5 years, Umetumika kwenye Club Nauza full kama ulivyo kila kitu chake. Bei sawa na bure.
Unafaa wamiliki wa Bar, Club, au wapiga sherehe au hata kwaajili...
Habari zenu wanajukwaa,
Mashine ya kuchana mbao inauzwa ina motor ya 15hp ipo vizuri bei imepungua kwasasa ni (2.5M Fixed) ipo Mbezi Kifuru.(Mazungumzo yapo)
Ukinunua mashine umeme wa 3 phase...
Pikipiki inauzwa 1,200,000 Tshs..
mawasiliano: 0713096076
Eneo: igoma mwanza
Aina ya Pikipiki: SAN LG
ENGINE SIZE: CC 150, 5 GEARS
HALI YA ENGINE: SAFI, HAINA TATIZO.
USAJILI: MC 324 CBT...
Bajaji safi iliyonyooka, haina kipengele chochote inauzwa sh milioni mbili na laki mbili. Namba C haina tatizo lolote, engine ipo fresh kabisa.
Ipo Tabata Kinyerezi, njoo na fundi wako uchukue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.