Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
32gb storage Haina shida yoyote Battery health 100% Miezi 3 tu imetumika Bei 350,000 0624984
0 Reactions
0 Replies
587 Views
Habari wapendwa,naomba kujuzwa nauli ya dar to kahama Ni kiasi gani,na mabasi gani mazuri ya kwenda uko?
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wana jamii?? NYUMBA INAUZWA IPO maeneo ya tabata TOT ila Gari haliingii ndani mpaka katikaeneo la NYUMBA NYUMBA Ina vyumba vitatu na jiko na uwanja ulio baki Ni huo unaouona katika picha...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Water pump Leo =300k Printer canon na Hp=200k Canon: inahitaji toner Hp: printhead imekufa Samsung note 9=400k Washing machine( von hotpoint 10kg) = 50k Washing machine: upande wa ku spin haufany...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Nipo Moshi, nafuta TV hiyo kwa reasonable price, iwe katika hali nzuri.
1 Reactions
33 Replies
4K Views
Nauza gari, yenye namba usajili B. Gari ipo kijichi Dar. Gari haina shida yoyote. Bei ni 23M. Kwa mawasiliano na maswali zaidi piga 0769917961. Asante
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Tunatengeneza na kuuza mashine za kuchoma chuma (weliding). Pia za kuchaji betri za magari. Kama unataka kutengeneza fenicha za chuma kama milango, mageti, vitanda n.k Au unataka kwa ajili ya...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau salaamu, Nahitaji mkopo wa haraka na dharura kutoka kwa mtu binafi wa kiasi cha milioni 2, nitarejesha kwa riba ya 40% baada ya mwezi 1. Dhamana: 1. Gari langu rav4 namba D (nitakabidhi...
8 Reactions
56 Replies
10K Views
Toyota Prado Diesel 2012REG no DHB74000 KMS2980 CC1KD diesel enginerunning greatno faultssingle userno accidentsnew good year tyresclean int
0 Reactions
10 Replies
2K Views
The JBL Bar 9.1 soundbar brings audio experience of a movie theater into your home with two detachable surround speakers and the added punch of Dolby Atmos[emoji2400] and DTS:X[emoji769] 3D sound...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Closed
Friji/Jokofu mpya Inauzwa Model: BS 70SVR Location: Mbezi luis Bei: 290,000/= Mawasiliano: 0768776716
0 Reactions
4 Replies
1K Views
TV inapatikana Sinza Sweet Corner. Ni samsung inch 40 smart. Haina shida yoyote ile.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hii hapa smart tv 43" aina ya TCL. Vifaa vyake vipo (Stendi ya ukutani remote) Bei Tshs 580,000/= Ipo Airport, Dar es salaam. Wahi mapema hazinaga kusubiri Piga simu 0744033555 Ofa: natoa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau habari natafuta carina number B au C kwa mawasiliano zaid 0675128093.
0 Reactions
2 Replies
450 Views
Wasalamu kwa wote Mabegi yanauzwa kwa Bei ya jumla. Nikwawakazi wa Arusha na Moshi. Agiza tukuletee ulipo. Bei ni 16,000 chini ya pic 100. Ila kuanzia pic 100 ni shilingi 15,000. Karibu asante...
0 Reactions
3 Replies
738 Views
Eneo Chanika Buyuni kituo cha daladala kwa dadi, ukubwa urefu hatua 25 na upana hatua 15. Eneo lina msingi wa nyumba vyumba vitatu vya kulala, kimoja master bedroom, kina sebule, jiko na choo cha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Car vacuum cleaner. -Machine ndogo ya kusafishia ndani ya gari -Inanyonya uchafu sehem zozote ndani ya gari -Unatumia umeme wa gari DC 12 volt-57,500 tu Tupo kkoo dar es salaam Call-0753038470
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari zenu waungwana, nahitaji kontena la futi 20, bajeti yangu milioni 2.......Likipatikana leo itapendeza zaidi
2 Reactions
12 Replies
2K Views
wakuu nauza landrover 109, ina namba za zaman,engine ipo pouwa, sema imekaa muda bila kutumika. Mwenye nia ani PM
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom