Kama unahitaji kuajiri yeyote kati ya watu wafuatao.
• Dereva wa bodaboda/ bajaji/ daladala
• Dereva wa Uber
• Muhudumu wa Mgahawa
• Mpishi wa Mgahawa/ Muokaji mikate
• Muuzaji wa duka la dawa.
•...
Karibuni,tunao Dagaa waliokaangwa toka Bukoba bei yetu ni nafuu tunauza kwa kipimo cha ndoo kubwa ya rangi tsh 50,000 ndoo ndogo tsh 30,000.na kwa bei ya jumla kilo tunauza tsh 7000.karibuni.Tupo...
Aah habari za majukum member wa Jf leo tumekuja na huduma ya kuongea bure miaka miwili unapiga kwenda mitandao yote ukiwa na lain ya tigo kwa gharama ya elf 20 tu... Karibuni sana
MALIPO NI...
Habari wakuu,
Naomba kujua wapi naweza pata drip irrigation pipe lines kwa ajili ya kilimo cha mboga mboga kama nyanya.
Zinauzwa kwa urefu gani na bei ipoje?
Ahsante
Huu ni aina ya ufungaji wenye kusaidia kutibu magonjwa sugu. Katika magojwa haswa kisukari, shikizo la damu na maumivu ya maungio kwa muda mrefu. Aina hii ya mfungo ni nzuri Zaidi ukaifanya kwa...
COURSE DETAILS
Step Ahead Financial Consultants (SAFCO) Ltd invites ALL Accountants and Auditors for the Financial Reporting with Advanced MS Excel training scheduled as follows:
DATES:
11th...
UZITO ULIOPITILIZA
Mgawanyo wa uzito kwa BMI hapa chini
Uzito ulio mdogo
<18.5
Uzito wa kawaida
18.5-24.9
Uzito uliozidi
25-29.9
Uzito uliopitiliza(obesity)
30-39.9
Uzito uliopitiliza na...
Hi jf,
Ninauhitaji na kabati la chips la aluminium, yeyote mwenye nalo naomba ani pm please, nielewane nae,
Pia kama kuna mtu yeyote anajiko la chips la mkaa naomba ani pm niongee nae tafadhali
Fridge lina sehemu ya kugandishia.
Fridge ni la mlango mmoja.
Linatumia umeme mdogo.
Fridge ni jipya. Halijatumika tangu linunuliwe.
Price: 330,000
Location: Dar es Salaam
Contacts...
Hello Guys.. naitaji Ulezi msafi usio na mchaga, ulio safishwa vizuri.
Kiwango itategemea na ubora
Aniambie bei ya Gunia moja anauzaje?
Yupo Mkoa gani?
Je anaweza Pakiza kwenye gari upokelewe...
Soma au Sikiliza neno la Mungu katika simu yako ya mkononi kwa kutumia app ya Biblia Takatifu na Sauti.
1. Biblia hii inakuwezesha kusoma au kusikiliza sauti bila intaneti. (HAITUMII BANDO)
2...
Shamba hili lipo maeneo ya mkuranga kikungo sehemu panaitwa kibululu karibu na Kibululu Primary School (Kikungo ni kituo cha mbele baada ya Kiparang'anda).
Lina heka 4 zinapelea kidogo.
Kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.