Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nyumba ina vyumba vitatu(kimoja master), Sebule, Jiko, na choo cha umma. Eneo la kiwanja ni Futi 50 urefu na futi 40 upana. Inapatikana Vikindu, kijiji cha picha ya Ndege, kitongoji cha Kamegele...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wapi naweza pata mabati yaliyotumika kwa bei nafuu na mbao zilizotumia kwa bei nafuu nipo Dar?
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Nawasalimu,kampuni yetu inatoa huduma za uwekaji wa umeme majumbani na viwandani kwa ubora wa hali ya juu,tunafanya kazi za sizi zote,tunauza vifaa vya umeme original,pia tunachora michoro ya...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna Itel tatu, moja ni smartphone ya laini mbili na mbili ni simu ndongo za laini tatu kila moja, pia kuna Tecno ina laini tatu. Simu ndogo bei ni Tsh15,000/= kila moja na Smartphone bei ni...
3 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari Wazee, Mimi ni mmiliki halali wa kiwanja chenye boma ambalo halijaisha bado. Nimeamua kukiuza kutokana na changamoto mbili tatu ninazopitia. Kiwanja kipo Mkoani Mwanza( Buhongwa) na...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za saa hii. Kama kuna mtu mwenye kampuni ya catering iliyo active, naomba tuwasiliane. Kuna fursa ya biashara tunaweza kufanya.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wasalaam wandugu, toka nimalize chuo mwaka jana , niko tu natanga tanga, na kibachela changu cha education history and geography, tafuta mishe wapi, kwakuwa hii ni jamii forum naamini, wana DODOMA...
0 Reactions
0 Replies
494 Views
Kuna mtu anahama yupo Kahama, maeneo ya Nyahanga anauza friji, Godoro, Jiko la gesi, Viti plastiki, Viti vya kiofisi, Meza za kiofisi, Meza za mbao, Vyombo pamoja na mapazia. Maongezi kwa mwenye...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
itel A24 inauzwa, Simu haina shida yoyote, imetumika wiki 3 tu, Nakupa na earphone na charger yake Bei 65,000/=
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Awali ya yote npende ktanguliza salamu, kwa yeyote mwenye connection za biashara za nafaka hasa mahindi, yaani nahitaji kuwa mnunuzi wa jumla kwa sehemu kama Geita, Rukwa na Shinyanga
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habar Wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavyosema Tecno spack 7 inauzwa Ina mwezi mmoja Haina tatizo lolote RAM 64 GB ROM 4 GB BEI 250000 LOCATION MTWARA
1 Reactions
5 Replies
2K Views
NISSAN DUALIS #DRF YEAR 2008 CC 1990 FULL AC FULL PAID MILEAGE 78638km+ WELL MAINTAINED PRICE MIL 14.5 CALL ME 0712-787939
2 Reactions
1 Replies
712 Views
Model NO: SD-38 Sound[emoji445]soft professional audio smack Accustic guitar Www.SOUNDSOFT.COM Lina2mia umeme Kwa bei ya laki na sabini Tsh. 170000 . MAP[emoji901] Lipo dar. Sinza. Kijiweni or...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Wakuu kuna mtu kaniomba nimnunulie printer potable ya kusafishia picha kwahiyo naomba ushauri ninunue ya aina gani? Bajeti yangu ni laki nane za kitanzania
1 Reactions
24 Replies
6K Views
Specifications, HORSE : R400 USAJILI: DLG USAJILI WA TRELA : NAMBA: AWN LOCATION; IPO DAR ES SALAAM UJAZO ; INA UWEZO WA KUBEBA LITA 40,000 ZA MAFUTA INAFANYA KAZI VIZURI KABISA. UNAPAKIA...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Bei:18,000 Bei:25,000 Bei:25,000 Bei:25,000 Bei:25,000 Bei:35,000 Bei:35,000 Bei:45,000 Bei:65,000 Bei:130,000 Contact:0686-942-315 Tunapatikana:Kinondoni Studio na Tandika...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu naulizia bei ya kilo ya kahawa ilosagwa ni sh ngap
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Kiwanja kinauzwa IGOMA mtaa wa kilimo msikitini SIZE YAKE NI HATUA 33*33 Kimepimwa (beacon zimewekwa) Maji, umeme, barabara vipo tena uhakika muda wote. kutoka kiwanjani kwenda igoma senta...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimeona hapa JF watu wengi wakija na kusema wanahitaji wabia/wawekezaji kwa miradi au biashara anuai.Katika mialiko yao hio wengi walikuwa ama wakisema uje PM for details na unapofika PM unajikuta...
3 Reactions
7 Replies
4K Views
Back
Top Bottom