Ukiitiwa Fursa Ujue wewe ni Fursa.
Je umewahi kuitiwa Fursa?Je umewahi kujiuliza kama ni fursa kweli kwa nini haitumii mwenyewe?Je umekuwa mtu wa wasi kila mara unapoona fursa na kuhisi kuwa...
Habari,
Natafuta biashara zinazohitaji kukua iwe katika kutoa huduma au kuuza bidhaa.
Wasifu wangu;
Uzoefu wa miaka 5 katika usimamizi na kuweka mikakati ya ukuaji biashara "Strategies for...
Habar wakuu,
Kama bango linavyojieleza hapo juu, nina kilo kama mia mbili za mchicha wa Kishwahili. Je, wapi naweza kuuza kwa jumla?
Namba yangu ni 0712505049 nipo kahama Tanzania
Habari za asubuhi wakuu..Natumaini wote mmeamka salama.
Kama kichwa cha uzi kinavyosomeka hapo juu sisi ni wauzaji wa magari aina zote yaliyotumika japan na yaliyotumika hapa bongo, ofisi zetu...
Nahitaji option ya bei rahisi, Hivyo nategemea option itakuwa ni meli, kama kuna option nyingine tujuzane.
Option ya ndege ni $60 as per supplier huko China, hiyo nimeikataa.
Details za mzigo...
Kwa wenye pesa zilizowahi kutumika kwenye mzunguko kama senti 1, senti 5, senti 10, senti 50, shilingi 1,5 ya noti, 10 ya noti, 20 na kuendelea.
Nahitaji kukusanya kwa ajili ya wanangu na wajukuu...
Sim bado mpya kabisa
Haijatumika hata chembe
Ni dual
Line moja tigo, nyingine yoyote
Ipo Manzese Tip top
Price 70
Internet yake ni 4G
Sorry jamani ni A24 heading imenishinda ku edit
Habari wanajamvi,
Nahitaji frame kwa ajili ya nguo za kike bajeti 150,000-200,000 maeneo ya Ubungo Riverside, Mwenge au Makumbusho iwe inatizama barabarani isiwe ndani wala ubavuni tuwasiliane...
Nauza juice dispenser njia tatu.. ipo vizuri inatumia umeme mdogo sana.. unaweza weka juice ata siku sita ikawa inazunguka bila kuharibika. Pia inatoa ubaridi ule ule wa juice ya kwenye fridge...
Iphone Xs Max
Double line
Gb 256G[emoji3541]
True tone [emoji736]
Face ID [emoji777]
No dent No scratch
[emoji626] Dar es salaam
Tsh 830,000/=
[emoji3513] 0784125895
Najua kuna macopy mengi ya kichina ya iphone na mengi nayajua vizur tuu mm naulizia copy ya iphone ambayo ipo km iphone hadi mfumo wa ios inayo na siyo android yaani kila kitu ifanane na iphone km...
Tecno Spark 5 Inauzwa
Condition: Used/ looking new
Ram 2GB
Rom 32GB
Front Camera 8MP
Rear Camera 13MP
Battery 5000 mAh
Bei 230,000
Mawasiliano 0768776716
ITEL TV DOUBLE GLASS 32 INCH INAUZWA
Hali yake: Mpya
Screen Size 32
2 HDMI Port
2 USB Port
VGA Port
AV
COAX Port
RF Port
Earphones jack
Bei 280,000
Mawasiliano: 0768776716
Eneo la kujenga kituo cha mafuta, hotel au Ukumbi wa Starehe linauzwa.
Location: Kahama
Upana: Miter 70
Urefu Miter 100
Sawa na Square miter 7,000
Bei ya kuuza Mil.125 Tsh.
Eneo linayo number ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.