Karibuni sana.
hio ni chumvi ya mawe/mabonge
uzito ni 50kgs
kuna mifuko zaidi ya 500.
ipo Igoma, mtaa wa Kilimo A jijini Mwanza.
bei: 25,000 Tshs. Wengine wanauza elfu 30 mpaka 28,000
Tuwasiliane...
Hello wanandugu ,Kwanza kabisa nashukuru Kwa wale wote walionipa mwanga kuhusu kuagiza Gari from Singapore ,Gari ilishafika na nililipa TSHS 350000 Kwa ajili ya inspection fee tu na wala sio...
Ipo sokoni, 260k (haipungui hata 100) au njoo na exchange deal.
RAM: 6GB
Storage: 64GB
Popote ulipo itakufikia.
Kama umeona vizuri ina kidoa kidogo upande wa kulia. Hakuna dosari zaidi ya hiko...
Isecure Technology inawaletea teknolojia mpya ya usalama katika gari , ambacho inafanya kazi kama alarm system hapo hapo inafanya kazi ya tracking . Kifaa hiki kina uwezo wa kufanya kazi zote kwa...
Salaam Sana wakuu.
Nauza Hilo jike Bei ya kutupa ths laki 6 ila amepandwa Kama week 2 zimeisha .
Hiyo Ni zile mbegu ndefu Kama unavyomuona .
Mahali alipo Ni kiluvya gogoni dsm
Picha Zaid...
Ukishuka kwa mathias eneo lipo ndani kutoka barabara kuu 1.5km karibu na shule ya Secondary inaitwa Nyumbu. Bodaboda elfu 1 kufika site.
Vyumba 3 moja master
Jiko
Stoo
Choo na bafu
Sebule
Dinning...
Kwanza awali ya yote napenda uelewe kwamba Kichwa Cha binadamu kinaunda na vishikizi vipatavyo 100,000 Hadi 300,000 ambapo kuptia vishikizi hivi nywele huota
Nywele huota kutokana na sababu...
Habari za leo wandugu. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Jina: Amedeus Apolinary Masawe
Umri: Miaka 14
Siku ya mwisho alikuwa amevaa track suit ya kijivu na mistari myeupe pembeni, t shirt...
Nauza gari, ni min bus yenye usajili wa number C. Aina ya LDV convoy. Gari ipo mwanza kwimba. Linahitaji marekebisho kadhaa na halijatumika muda mrefu. Bei ni 4.7M (mazungumzo yapo).
Kwa...
Attendance data is one of the core component of school management data which is used to monitor student’s behaviour and overall wellbeing. Daily, attendance records of all students are stored and...
HP LAPTOP
Intel Core i2 2nd generation
CPU @ 2.00GHz
RAM 4.00 GB
HDD 250 GB
System type 64 bit OS
Bei 350,000/=
haina tatizo lolote
0718965554/0759901919
Dar es Salaam
4gb ram
64gb storage
Quad cameras
Battery 5000mah
Fast charging type-c
Bei 320,000
Exchange inaruhusiwa kwa mwenye A10s ama infinix kisha atanijazia hela tutakayoelewana.
Bado mpya kabisa...
Habari za Week end
Ndugu zangu,Kwa mujibu wa Vigezo vya JMT na kwa kuzingatia uzamifu wangu katika masuala yanayonihusu Nimeamua kujitunuku Shahada ya 10 yaani PHD.Vigezo nilivotumia kujitunuku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.