Nauza mashine za kutengeneza aina mbalimbali za mabati na kofia. Machine ni mpya na zinafika Dar es salaam tarehe 23 April. Mashine ni hizi zifuatazo
CORRUGATED ROOFING MACHINE
Hii inatengeneza...
kwa mamlaka niliyopewa chini ya kifungu cha 7 katiba ya shule na uhuru wa kuongea ktk katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania,nawatangazia watanzania wote kuwa kuna nafasi chache sana za kuhamia...
Nyumba ina vyumba 3 kimoja ni self
Ukubwa wa plot 1400sqm
Bei 300m
Nyumba ni ya tatu kutoka barabara ya lami kunduchi ununio
Kwa maongezi zaidi na kuja kuona wasiliana nami kwa
0756060183
Samahani waislamu,
Kwa mahitaji ya majike ya nguruwe yenye mimba. Napatikana Mbezi kwa msuguri.
Mbegu ni large white.
Bei chee kabisa ofa ya sikukuu.
500,000 kwa jike moja.
0783985530
Karibuni...
Habari wakuu.
Uvimo tumeendelea kutoa huduma zoote za ujenzi kote nchi nzima.
Huduma zetu daima huanza
KUCHORA RAMANI -HADI WEWE MDAU UNAINGIA KWENYE NYUMBA YAKO.
Uvimo maktaba ,ni program yetu...
Wakuu salama
Nimeona thread nyingi humu zinapostiwa kuhusu biashara mbalimbali lakini hakuna biashara ya vifaa vya michezo. Mimi kama muuzaji wa vifaa vya michezo nimeona nije kusaidia watu...
Kuna mashuka size 7"6 ni makubwa.
Sh.25,000 tu.
(Package Ina mashuka mawili na pillowcases mbili)
[emoji598]Deliveries zipo kwa Dar na mikoani natuma pia.
Ukihitaji nicheki WhatsApp 0685269533...
Viwanja vipo mita 500 kutoka Barabara kuu ya lami morogoro to dodoma,hakuna haja ya bodaboda, kutoka msamvu stand ni daladala moja nul ya manispaa. pamejengeka vizur sana, vipo ndani ya fansi...
Habari,
Ninauza vifaranga wa Bata BUKINI wa MWEZI na nusu.
Wamebaki watatu... Dume moja na jike mbili.
Bei Ni tsh. 30,000@ kwa rejareja na tsh. 25,000@ kwa jumla.
Wapo maeneo ya kiboriloni...
Kwa Wafanyabiashara!
Najua Mobile printer nyingi mnanunua za Kichina na zinawahi kuharibika....
Ni original sio Mchina....
Ipo na Cable yake kwa ku connect kwenye Computer.
Inatumia Bluetooth...
Kwa mahitaji wa flat tv kwanzia inches 17 ad 55 na Subwoofer kwanzia za 65000 ad 1.5 na kuletewa mahali ulipo Dar es Salaam wasiliana kwa number number 0752245356
Kwa 140000 tu unaletewa kokote...
Heshima kwenu wote wakubwa kwa wadogo! Natumai mnaendelea vyema!
Walau kwa DONDOO za hapa na pale kwa wale ambao wangependa kujua zaidi ningependa kuwashirikisha kile ambacho nimejifunza...
1.Kozi ya awali (Preliminary course) itafanyika tarehe 17/12/2019 hadi 27/12/2019 ni siku 10 yapasa mshiriki ulipe ada ya Uanachama na ada ya kozi yenyewe.
SIFA
●Uwe unajua kusoma na kuandika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.