Nyumba ina vyumba vinne viwili master , sitting, danning na jiko .
Nyumba ina uwanja mkubwa
Na ipo karibu na barabara ya rami dk 5
Nyumba ina fence ya kuingiza gari
Bei milion 65
Maongez yapo...
Nauza trekta, Massey Ferguson MF 185, 2WD, HP 75. Bei ni 18M (Mazungumzo yapo)
Na jembe pia lipo. disc 3 bei ni 2.5M.
0719070130 Whatsapp & Normal Call
Sent using Jamii Forums mobile app
Laptop aina ya Hp G4 inauzwa bei chee kabisa
Processor Core i5 7th generation
RAM 8 Gb
HDD 1Tb
Iko na GPU na Ssd slot
Bei TSH 540,000/=
Mawasiliano +255624852155
Location kwa sasa ipo Dar.
Habari wana JF
Naulizia bei ya mashine ya kushonea viroba vya unga na pia naweza kupata wapi viroba vya unga kwa bei ya jumla na unachukua kuanzia vingapi
Ningependa kujua kuhusu kuprint viroba...
Hii jukwaa ni kwa ajili ya TV used pekee
Mtu umenunu TV yako baada ya mda kidogo unataka kuuza kutokana na shida za apa na pale
Najua bei zitakuwa afordable kuliko kwenda dukan
Binafsi natafta...
Habari za kazi wakuu,
Kwa majina naitwa Hagai Anyimike, Ni Fundi Simu, Radio, Tv na vifaa vingine vya umeme, lengo la kuandika uzi huu ni ombi kwenu hasa wakazi wa Dar es Salaam ikiwa unahitaji...
salam za amani wana jamii,
Nauza Scania za mwisho mwisho, kila moja mil 37 C&f, ushuru unalipa mwenyewe. Karibuni sana
Scania114/380
Year 2003
Engine Cummins
WhatsApp Nr +255675308774
Ndugu zangu wana jf naombeni mnieleweshe juu ya hili swala mimi ni mwslimu wa s/m moja hapa Dodoma nahitaji kufungua shule ya chekechea nifuate hatua zipi hasa asanten
Wasalaam,
Kwa wale wanafunzi wa vyuo wanaopata changamoto za kuandika kazi zao zikiwa na makosa mengi ya lugha (grammar) na makosa ya kimpangilio (consistency), suluhisho limepatikana.
Tupatie...
Baada ya kusota kutafuta kazi hatimaye nikapata kibarua, sasa changamoto imekuja hapa ninapokaa maana kuna mtu aliniachia chumba akatoka na makubaliano ni hadi mwisho wa mwezi huu, sasa leo mwenye...
suitable for all kinds of animal bones, frozen meat, fish bones, frozen fish, ice and other processing equipment.
stainless-steel sliding table is easy to clean and durable enough;convenient...
watsap 0715140001
Wadau nasafiri kwenda masomoni nje ya nchi shemeji yenu anasema hii gar ni kubwa kwake njoo tuvunje na
IST - Old/New
Rush
Allex/Runx
Dualis
Na nyingine ndogo
Gari ni kali sanaa...
Tunauza pumba za mahindi
Gunia 1 = Tsh 13000
Gunia 1 = debe 7
Gunia 1 = kilo 70_80
Karibu ujipatie pumba safi kwa Tsh 13000 tu
Tunapatikana Tegeta kwa Ndevu Dar es Salaam
Piga simu au fika ofisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.