Mobile phone lens.
Unahitaji kupiga picha za mbali za siri au zakawaida. Au wewe ni camera man Ila umekosa camera na unataka kutumia simu?
Tumia lenses hii ndogo inayopachikwa kwenye camera ya...
Wanahitakija Mabinti na vijana wenye uwezo wa kutoa Huduma ya Chakula/Hotel
Maombi ya kazi : Jinsi ya Kutuma maombi andika barua ya kuomba kazi ukiambatanisha na mawasiliano yako na vyeti...
Viwanja vipo Dar es Salaam Kigamboni mwembe mdogo karibia na chuo cha Kigamboni College of Health and Allied Science,kwa bei nzur na viwanja vimeshapimwa vipo katika michakato ya hati
mita 35*35...
Habari Wana Bodi
Natarajia kufungua ofisi/ workshop kwa ajili ya kutengeneza Milango na Frame za Milango za Mbao.
Eneo: Goba njia panda nne - Dar es Salaam.
Hii ni ofisi/workshop mpya, kwa hiyo...
Salaam ndugu zangu
-Je unahitaji mtaalamu mshauri wa kukuongoza namna bora ya kulima mazao mbali mbali (Mazao ya Horticulture (Parachichi, Nyanya, Hoho, Tikiti Maji, Kabichi, Karoti, Pilipili...
Habari zenu, mimi ni kijana wa kitanzania niliyeamua kujiongeza kwa kufanya kazi za kufunga CCTV cameras, electric fence, bimetric doors n.k.
Tushafanya kazi nyingi karibu tukuhudumie tuko wawili...
Habari wanajamvi, moja kwa moja niende kwenye mada ya msingi. Nahitaji sehemu tulivu nipate kuishi na familia yangu yenye mama, baba na mtoto mdogo.
Vigezo;
1. Pafikike kirahisi
2. Easy...
Wakuu habari..
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kama wewe ni mtaalam wa decoration ya TV show kwa ukutani na uko
morogoro mjini nitafte PM nikupe kazi
Ni saaa nzuri za kisasa za ainatofautu
Zinapatikana kwa bei na fuu
Pia mzgo unaweza kutumwa
Au kuletewa popote ulipo
Kwa galama nafuu wahi sasa
Mawasiliano ni 0719257400
Niko dar maeneo ya Yombo...
Usiteseke kwenda madukani.wewe ni Mfalme kwetu tutakuketea bidhaa Yako mpaka mlangoni kwako.
[emoji2788] Delivery kwa Dar-es-salaam na mikoani
[emoji2788] Hata products ya bei ya chini tunakuletea...
Mafundi wanaita Conmix, wengine wanaita wallmaster. Bei ya soko ni tsh.110,000 mapaka 140,000, inategemea na makampuni.
Ujazo kwenye makampuni ndoo
Moja ni 25Kg, mimi ya kwangu ujazo wake ni 30Kg...
Tutumie uzi huu kuweka picha za fremu za maduka yanayopangishwa sehemu yoyote ile,tutaje pia mikoa zilizopo pamoja na bei zake. Picha ni muhimu zaidi ili kuweza kumvutia muhitaji. Karibuni......
Sunshare Investment Ltd.
Ni moja ya viwanda na wasambazaji wa mabati bora na vifaa vingine vya kuezeka kwa sasa nchini.
Vifaa hivyo vikiwa ni
__________________________________________
*Bati ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.