Wakuu nina gunia 500 za mpunga uko Kahama nauza bei ya jumla 94000/= kama ukichukua zote, rejareja ni 98,000/= karibuni wadau Unaweza kunipa connection ukapata kamishen yako namba yangu...
Hello wakuu.
Nipo natafuta chumba single. Kuanza life baada ya chuo. Naomba mwenye nyumba yoyote aliye maeneo hayo anisaidie room single
Bajeti yangu ni 60k - 80k kwa mwezi.
Dalali niseme hela...
Njoo na elfu hamsini kuna jiko la plate 2 la gesi la bati halina kazi hapa home, limetumika kama mwezi hivi
Lipo Dodoma Mjini
Tuwasiliane kwa namba 0755472769
Nyumba inauzwa Kigamboni mtaa wa kisota ambapo ni km 3.5 to kutoka darajani.
Zipo nyumba mbili kwa pamoja ,nyumba ndogo(banda la uani) na nyumba kubwa.
Nyumba ina vyumba 5 kimoja master, maji na...
Ni mfumo wa kitechnologia unaomwezesha mtoa huduma/Mfanyabiashara / Company kuwa karibu zaidi na mteja kwa njia ya messages. Tofauti na mifumo mingine, 2WM inaoption ya Chatting baina ya company...
Habarini Wana JF mimi ni mwanafunz first year MWECAU Moshi, nilikuwa nahitaji chumba cha kupanga maeneo ya chuo au hata mbali kidogo na chuo.
Msaada, nahitaji kuripoti Jumatatu ijayo.
Natafuta oats ila sijui ni kitu gani na inauzwa wapi. Kwa kiswahili nimecheki naambiwa ni shayiri ila nimesoma mahali kwamba ina porridge yake.
Sasa bado sijaipata vizuri, natafuta niende wapi...
Kwa wateja walio na mabucha mikoani na wenye supermarket ninauza samaki aina ya sato na sangara kutoka ziwa Victoria kuanzia kg. 100 nakuendelea ninakutumia popote ulipo usafiri juu yangu.
Sato...
Habari za Wakati huu Watanzania wenzangu, natumai mnaendelea vema kabisa na majukumu ya ujenzi wa Taifa Letu Pendwa. Naoma niende moja kwa moja kwenye mada.
Nimepata wazo la kuanza kutengeneza...
Wakuu wa Tanga Stones,
Ninayo habari njema kwa sasa licha tu ya kuuza mawe as raw materials.
Ninaye fundi anakata tiles za mawe viwango vya juu na anajenga kwa ustadi wa hali ya juu.
Karibu...
Available now
Stainless stell.
Water resistance.
Swiss made.
Quality pure.
Price 270'000.
Free delivery.
Mikoani pia unatumiwa.
Utalipia baada ya kupokea saa yako.
Calls and WhatsApp...
Chumba kinapangishwa kigamboni daraja la nyerere kodi elfu 60 mkataba miez 6 main road mpk kilipo ni mita chache sana
Umeme matumizi yako na bill ya maji 3000 kwa mwez
Haina udalali muhusika...
Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania Bwana Macrice Daniel Mbodo amekutana na kufanya mazungumzo ya kibishara na Maafisa Biashara wa kampuni ya MultiChoice Tanzania maarufu kama DStv...
TOYOTA IST NAMBA D NZURI (Mwaka 2004)
Haina tatizo lolote, Haijafunguliwa engin
Well maintained, Full paid documents
Engine Type 2nz, Engine capacity 1290
Haijarudiwa rangi, Full aircondition
Bei...
Tunauza bajaji zisizotumia mafuta. zinatumia betri za kuchaji. ikiwa fully charged inaweza tembea km 80 hadi 100.
Ni imara, na unapewa warranty ya mwaka mmoja. na spea zake zinapatikana kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.