Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Pata spare unazohitaji, gari imepata ajali na vitu vyote vinauzwa kama spare, engine imeshanunuliwa, vingine vyote bado vipo angalia kitachokufaa kilichoharibika katika gari lako. Mawasiliano...
0 Reactions
1 Replies
929 Views
Wakuu nina gunia 500 za mpunga uko Kahama nauza bei ya jumla 94000/= kama ukichukua zote, rejareja ni 98,000/= karibuni wadau Unaweza kunipa connection ukapata kamishen yako namba yangu...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Hello wakuu. Nipo natafuta chumba single. Kuanza life baada ya chuo. Naomba mwenye nyumba yoyote aliye maeneo hayo anisaidie room single Bajeti yangu ni 60k - 80k kwa mwezi. Dalali niseme hela...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Njoo na elfu hamsini kuna jiko la plate 2 la gesi la bati halina kazi hapa home, limetumika kama mwezi hivi Lipo Dodoma Mjini Tuwasiliane kwa namba 0755472769
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa Kigamboni mtaa wa kisota ambapo ni km 3.5 to kutoka darajani. Zipo nyumba mbili kwa pamoja ,nyumba ndogo(banda la uani) na nyumba kubwa. Nyumba ina vyumba 5 kimoja master, maji na...
5 Reactions
105 Replies
22K Views
Ni mfumo wa kitechnologia unaomwezesha mtoa huduma/Mfanyabiashara / Company kuwa karibu zaidi na mteja kwa njia ya messages. Tofauti na mifumo mingine, 2WM inaoption ya Chatting baina ya company...
0 Reactions
2 Replies
849 Views
Habarini Wana JF mimi ni mwanafunz first year MWECAU Moshi, nilikuwa nahitaji chumba cha kupanga maeneo ya chuo au hata mbali kidogo na chuo. Msaada, nahitaji kuripoti Jumatatu ijayo.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta oats ila sijui ni kitu gani na inauzwa wapi. Kwa kiswahili nimecheki naambiwa ni shayiri ila nimesoma mahali kwamba ina porridge yake. Sasa bado sijaipata vizuri, natafuta niende wapi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Specifications: Android version 9.0.0 Ram 1gb Storage 16gb Nipo Morogoro natuma mikoa yote. 0672037238.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa wateja walio na mabucha mikoani na wenye supermarket ninauza samaki aina ya sato na sangara kutoka ziwa Victoria kuanzia kg. 100 nakuendelea ninakutumia popote ulipo usafiri juu yangu. Sato...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari za Wakati huu Watanzania wenzangu, natumai mnaendelea vema kabisa na majukumu ya ujenzi wa Taifa Letu Pendwa. Naoma niende moja kwa moja kwenye mada. Nimepata wazo la kuanza kutengeneza...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu wa Tanga Stones, Ninayo habari njema kwa sasa licha tu ya kuuza mawe as raw materials. Ninaye fundi anakata tiles za mawe viwango vya juu na anajenga kwa ustadi wa hali ya juu. Karibu...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Available now Stainless stell. Water resistance. Swiss made. Quality pure. Price 270'000. Free delivery. Mikoani pia unatumiwa. Utalipia baada ya kupokea saa yako. Calls and WhatsApp...
4 Reactions
14 Replies
3K Views
Chumba kinapangishwa kigamboni daraja la nyerere kodi elfu 60 mkataba miez 6 main road mpk kilipo ni mita chache sana Umeme matumizi yako na bill ya maji 3000 kwa mwez Haina udalali muhusika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania Bwana Macrice Daniel Mbodo amekutana na kufanya mazungumzo ya kibishara na Maafisa Biashara wa kampuni ya MultiChoice Tanzania maarufu kama DStv...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
iPad 2 Used Abroad (UK) Storage 16GB Nzuri kwa kusomea,biashara,ofisini,burudani (movies), watoto (cartoons & games) nk Bei : 220,000 Warranty miezi 6 Call, 0676175260 Kariakoo Agrey &Msimbazi...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
TOYOTA IST NAMBA D NZURI (Mwaka 2004) Haina tatizo lolote, Haijafunguliwa engin Well maintained, Full paid documents Engine Type 2nz, Engine capacity 1290 Haijarudiwa rangi, Full aircondition Bei...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Tunauza bajaji zisizotumia mafuta. zinatumia betri za kuchaji. ikiwa fully charged inaweza tembea km 80 hadi 100. Ni imara, na unapewa warranty ya mwaka mmoja. na spea zake zinapatikana kwa...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Kwema jamana Natafuta mashuka ya mtumba 6×6 na subufa ya mtumba iliyo safi kabisa.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Mapanga marefu yenye makali pande zote, yanahifadhiwa kwenye pochi lake
1 Reactions
31 Replies
2K Views
Back
Top Bottom