Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
TOYOTA RUMION FOR SALE YEAR-2007 Cc 1490 MILEAGE-91,000KM LOCATION-DODOMA PRICE-11.5M INA COMPREHENSIVE INSURANCE CONTACT-0767833496/ 062211118
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Umeshawahi kutafuta kwa mda mrefu kwa mfano mashine ya kuosha magari au mashine za kukausha dagaa. Na mashine zingine zinazohitajika sana kwa mfano mashine ya kukamua alizeti na ile ya kukamua...
1 Reactions
2 Replies
6K Views
Wadau mimi ni mjasiriamali na mkulima nina tani kama 50 za zao la muhogo kama kuna anayehitaji au anayejua soko anijuze.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Karbu crown hii apa used as new,, no repairments have been made,, bei m12 Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
2 Replies
623 Views
Wakuu hope nyote mmeamka salama Naomba YOYOTE anaefaham wapi nawezapata tent nzuri kwa ajili ya mgahawa na Bei yake Aniunganishe au Anipe contact za muuzaji mkoa wowote. Nitashukur kwa...
0 Reactions
0 Replies
503 Views
Bei ninazo tja hapo chini zinatoka kwa wamiliki wenyewe me sijaongeza chochote kama mtu utahtaji Gari na unaona bei kubwa basi nitakukutanisha na mwenye gari ili muweze kuzungumza wawili na...
12 Reactions
645 Replies
134K Views
Karibu kwenye duka letu tunauza nguo za kike Product. Woman clothes whatsapp no. +255620882741
0 Reactions
7 Replies
949 Views
gari inapiga kazi vizuri haina shida yoyote Iko Dar 0625750755
0 Reactions
2 Replies
761 Views
Salam wakuu....natafuta kiwanja maeneo ya Kigamboni kuanzia Kibugumo, Gezaulole na Mwongozo ila kiwe njiani na isiwe ndani ndani. I mean isizidi 2 km kutoka barabara kuu. Sio ndani. Ukubwa SQM...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu natafuta shamba mkoa wa pwani ambalo litakidhi vigezo vifuatavyo: 1. Kuanzia heka 1 mpaka 5 2. Liwe wilaya ya kibaha, chalinze au bagamoyo 3. Karibu na barabara ya lami ya morogoro, au...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Jiko la deki 3 ,trey 9 linauzwa, kwa wenye nia ya kufungua bakery ama baking zozote ni jiko zuri sana ni jipya halijawahi kutumiwa, bei mil 5 ,tuwasiliane no.0777482509.karibuni ulimwengu wa...
0 Reactions
1 Replies
726 Views
Kama heading inavyojieleza, nakuja Ikwilili kuyasaka maisha. Nimevutiwa na uchangamfu wa hiyo center. Mwenye connection anijulishe
1 Reactions
2 Replies
950 Views
Leo nilikuwa maeneo flani nikakutana na Rafiki angu akawa amenipa simu yake niandike namba yangu lakini nikasema sio mbaya niangalie property za simu ofcourse CAMERA yake ni kali sana... Storage...
8 Reactions
166 Replies
11K Views
Wadau changamkieni kuna jamaa angu anahitaji mitungi 10 ya kuhifadhia Wine picha ipo kwa chini Ukiipata nicheki 0718239997 Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
1 Reactions
1 Replies
927 Views
Altezza manual 5m DSM 0626409908
1 Reactions
5 Replies
763 Views
Nauza Computer CPU aina ya Dell, inauwezo mzuri pia ina internal storage GB 800. CPU bado ipo katika hali nzuri, niliacha kuitumia baada ya monitor (screen) yake kuvuja wino kwenye kioo baada ya...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Specifications 24.1MP DX format CMOS sensor ISO 100-6400 standard, up to 25600 expanded FullHD 1080 60i/30p video recording, built-in stereo mic, mic jack and audio monitoring jack 3.2" inch, LCD...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Vipo cheka viwanja vimebaki vichache Bei milioni tatu na laki nne na kuendelea Nicheki kwenye 0713672719[emoji336]0787672719
0 Reactions
0 Replies
417 Views
Wakuu Kati ya tajwa hapo juu nichukue kipi?
1 Reactions
26 Replies
5K Views
Mambo vipi wanajamiiforum, Naombakukujua maduka yanayouza electronics components kamavile capacitors, resistors , ICs, opamp, diodes
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom