Ni VIGUMU kuamini pasipo kudhubutu, thubutu kutumia mbolea hii ndo Sasa upande step number two ya kujifunza namna ya kuandaa mbolea ya asili yenye viwango vya com-fert.
Viti viwil vya kunyolea pamoja na kabat zake zenye vioo,machine mbili za kunyolea,sterilizer,kitanda cha massage,beseni la kuoshea, viti viwil vya scrub na meza zake,facial steamer,beseni la...
Habari za majukumu wanajamvi.
Kama uko interested na biashara ya kuprint t-shirts, kofia, vikombe, sahani n.k, njoo nikuuzie Heat press machine ambayo ni 4in1 pamoja na printer EPSON L810 kwa...
GIMASE CHICKENS
Leo mzigo upo
Jipatie mbegu bora ya kuku wa Kuroiler wenye asili ya India.
Sifa zake:
1. Nirahisi kufugwa
2. Hawapatwi na magonjwa kirahisi
3. Wanaanza kutaga baada ya miezi 5 na...
Kiwanja kinauzwa Mwanza karibu na Dolphin Lodge.
Note: hizi picha ni za zamani kidogo sasa hivi majirani wamejenga.
Kwa mawasiliano zaidi pamoja na kuuliza maswali ili kujiridhisha piga simu...
Habari wadau wa JF
Poleni na majukumu
Kutokana na uhitaji mkubwa wa mafindi na ombwe la uelewa na uzoefu hafifu wa mafundi ujenzi wengi kusindwa kukidhi soko la ujenzi na makazi, sasa kupitia uzi...
Ni kabati ambayo unaweza kuhamisha kwa haraka pia ina uwezo wa kuhifadhi nguo nyingi.Hii ni maalum kwa wale wenye chumba kimoja kwa sababu haichukui nafasi kubwa.ukihitaj unaletewa popote ulipo na...
Tunasafisha na kung'arisha masink ya choo pamoja na marumaru zenye uchafu sugu zilizofubaa Yaani kushindikana kabisa na kurudi kwenye Hali yake ya upya kwa kutumia dawa na vifaa maalum.
Sinki la...
Ni biskuti nzuri toka katika kampuni ya bakemate inayoitwa Kreme-E! Imetengenezwa na kuwa Imported from India.
Taste yake ni ya pekee ikiwa katika flavors mbili tofauti:
1.Chocolate
2.Orange
Ina...
Nauza makabati ya nguo na viatu ya zipu
Ni imara na zinapendezesha nyumba
Yapo ya rangi mbalimbali
Wateja wa dar unaletewa buree
Unafungiwa pia buree
Kwa wateja wa mkoani tunatuma kupitia mabasi...
Tunauza smartwatch M6 kwa bei ya jumla 15000/ kuanzia pc 3
[emoji672]Ni mpya kabisa
[emoji672]Ina uwezo wa kusoma notification zote za kwenye simu mfano call reminder, whatsaap na instagram...
Ndugu mwana JF,
Tunatoa huduma za Digital Printing kwa vitu mbalimbali kama
~Vipeperushi
~business cards
~labels
~ID cards, kadi za harusi
~na documents mbalimbali.
Quality ya kazi ni nzuri...
Wakuu,nina kavitz changu Old model kilipata ajali mwaka jana na kimekaa juu ya mawe miezi kama 7 hvi bila kuguswa baada ya kuumizwa na hiki kitoroli.
Naomba kama kuna fundi magari wa ukweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.