Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Subaru sf manual Kimara 0626409908 price: 6m
0 Reactions
5 Replies
698 Views
Habari wana JF! Kiwanja kina ukubwa wa mita 24 kwa 20 chenye nyumba kubwa iloishia kwenye linta inauzwa,bei ni Milioni 15 (Punguzo unaongea). Nyumba ipo Bomba mbili,unashuka Mombasa(kabla...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kichwa tajwa hapo juu chajieleza kwa walichaguliwa kujiunga na chuo cha TIA darna wanatafuta chumba cha kuishii tuwasiliane 0764240743
0 Reactions
2 Replies
902 Views
Kiwanja kinauzwa kiko mita 200 kutoka kituo cha kona ya maroroni maji ya chai barabara kuu ya moshi arusha ukubwa ni mita 30 kwa 15 kinaumiliki halali kiwanja kimezungukwa na maeneo...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
NYUMBA inapatikana KITUNDA, nyantira Km 3.5 kutoka nyerere road (old pugu) Nyumba INA chumba kimoja (self), sebule na jiko. Ina tiles, gypsums na slides windows. Maji+Umeme (24/7) Iko ndani ya...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nipe 100k nikuachie iPhone 6+ ,simu iko kwenye hali nzuri imetumika miezi minne tu, bahati mbaya imedondoka ikapasuka kioo ukichomeka chaji inawaka. Gharama ya kioo na matengenezo ni 65k tu. Ipo...
2 Reactions
48 Replies
3K Views
Hii sio ya kukosa viwanja vipo mwembe mdogo Kigamboni vina ukubwa wa mita Kuanzia 20×20 na kuendelea Bei ml 5 pia Unasikilizwa mteja malipo asilimia 50 Kilicho baki ndani ya miezi mpaka 3 tucheki...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari Nauza gari Nissan extrail for repair or spare. Ilipata ajali ikagongwa mbele. Inahitaji nose cut complete. 2004 Tuwasiliane kwa namba 0713750760 bei 3,800,000 gari iko Dar Goba. Engine...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Collora x iko Njombe inauzwa m 5.5 kwa mawasiliano zaid 0763165384 au 0747174196. Maongezi yapo.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA na Meya wa zamani wa Ubungo mh Bonny Jacob sasa amejikita kwenye ujasiriamali anauza mayai ya kisasa jumla na reja reja Kwa maelezo zaidi tembelea kurasa zake za...
6 Reactions
47 Replies
5K Views
Habari wana jukwaa, kwa wakazi wa Mbeya mjini wenye uhitaji wakusafirisha 🚚bahasha ndogo ndogo, mizigo kama furniture, gunia za mahindi n.k. kwa hapa hapa mbeya mjini na pia kuelekea Mkoa wa...
2 Reactions
4 Replies
886 Views
BMW 1 SERIES 116I (unregistered) Engine N45B Year 2006 Cc 1560 Fuel Petrol Mileage 65000+ Price 14.8m call 0715 747617
0 Reactions
0 Replies
985 Views
SOMESHA MTOTO MMOJA PROGRAMME: Inapenda kuchukua fursa hii kuwaombawatanzania watusaidie kutupa taarifa ya mtu yeyote mbaye anahitaki msaada waufadhili wa elimu. Mpaka sasa, True Road Technologies...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Kwa mgeni au mwenyeji wa Dodoma mjini, mwenye uhitaji wa chumba au nyumba ya kupanga ani PM kwa mawasiliano zaidi
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu natumaini mko salama. Kuna shule inauzwa ipo maeneo ya Kongowe Dar es salaam na ina mambo yafuatayo:- -Ina vyumba 12 vya madarasa -Ina jengo la utawala na maofisi -Ina bwalo kubwa -Ina...
2 Reactions
60 Replies
8K Views
Kama wewe ni mhitimu wa stashahada au shahada ya maswala ya mimea (plants) na upo tayari kufanya kazi kwa kujitolea tafadhali check with me. 0629109840 Females are also encouraged to apply!
0 Reactions
4 Replies
339 Views
OCHUBIODIGESTSEPTIC ni mfumo wa Mashimo ya choo yasiyojaa maji taka popote na aina zote za ardhi system inafanya kazi kwenye ufinyanzi na sehemu zenye maji, unaweza kujenga kwenye shule,hospital...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni sehemu nzuri ya kupumzika na familia yako, marafiki na wapenzi. Beach ni nzuri na safi, vyumba vya kulala Ni vizuri na ubora Wa Hali ya juu . Mazingira ni Salama kwa wakubwa na watoto. Kuna...
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Maelezo yote yapo kwenye card hapa chini. Dada kakwama ana shida ya haraka. Bei. 9m Location; dar, g/mboto Mawasiliano: 0785 857564
9 Reactions
238 Replies
28K Views
Ofa ya kitabu Cha mafunzo ya teknolojia ya hydroponics fodder inaendelea Hadi mwisho wa mwezi huu (Octoba 2021) Tshs. 4,500- soft copy... Piga simu +255 655 533 543.
1 Reactions
0 Replies
461 Views
Back
Top Bottom