Shamba la miti linauzwa.Miti aina ya pines. Ukubwa wa ekari moja na nusu. Shamba lipo tanga lushoto kata ya migambo. Bei ni 5.5M piga cm hapa 0712773128
Habarini za majukumu wakuu.
DOTLINE CONTRACTORS , Tuna kufanyia Design ya wazo la ramani/nyumba utakayo, tunakushauri kulingana na eneo unalotaka nyumba ijengwe pamoja na budget yako, tunakupa...
Kwa mahitaji yako ya business plans za aina mbalimbali mfano, kuanzisha biashara yako, kutafuta wawekezaji, na kupata picha ya mwenendo wa biashara yako itakavyokuwa, wasiliana nasi.
Pia ikiwa...
Habari wakuu nina tani 9 za magazeti kutoka korea nauza kwa kg1 ni 1800 location ni Mnazi Mmoja Dar es salaam namba ya simu 0769115998 kwa maelezo zaidi
Nahitaji PC Monitor iwe na sifa zifuatazo
iwe na minimum resolution 1920 x 1080
Refresh rate ya 75HZ
IPS Display iwe added advantage
Add Picha ikiwezekana!
Nicheki kwenye wa.me?/0757497175
Tumeingiza mzigo mpya..
Hizi ni devices zenye uwezo mkubwa wakukupa taarifa za unit yako na kulilinda kwa kutumia simu yako.
Kuona speed
Kuona Sehem gari/pikipiki yako ilipo
Kuizima na kuiwasha...
Zipo spark plug za aina nyingi sana. Yapo mambo mengi sana yanayoweza kutofautisha spark plug za gari na gari jingine.
Mambo hayo ni
1.Material yaliyotengeneza hizo plug (iridium copper n.k)...
Habari wadau.. Hivi wale wanajiita Yellow Pages bado wapo?? Je na kipataje Kile kitabu Chao kwa ajili ya Kupata contact za Makumpuni??
Lakini pia hivi Hawana Soft copy yao online?? .
Au sikuizi...
Habari za leo wana JF.
Ninauza kiwanja changu ambacho kipo Chanika Zingiziwa. Kina hati ya serikali ya mtaa. Kina ukubwa wa sqm 406. Kipo eneo la tambarare, udongo wake ni kichanga.
Ni sehemu...
Badala ya kutumia mkono unaweza kutumia hizi pen kwenye simu yako zinasaidia sana hasa kwenye ku type hasa wenye vidole vikubwa wanaopata shida ku type pia inasaidia kwa ujumla kutumia simu yako...
Habari,
Mwenye kreti tupu za bia na soda kampuni kampuni Coca, pepsi, SBL na TBL nahitaji.
Zingatia bei za kreti kwenye magari (wasambazaji) ni 10k so make sure bei zako zipo chini ya hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.