Nauza hii, (mnyama) naitumia mwenyewe
1G kavu engine.... Haijafunguliwa
Full AC
Clean na haina uchakavu ndani
New bettry
Matairi mazima kabisa na spea yake
Automatic door locking
Mziki mnene...
Nimejaribu kuweka baadhi ya vitu vichache ambavyo huenda watu wanavifanya na vinaleta shida. Natambua kwamba vipo vingi ila nimeandika vichache tu. Kama kuna mtu anaweza kuongezea, karibu.
Okay...
Usiharibu gari yako kwa Spacer nitafute kwanamba +255742662669 kwa sport shock-ups zasaizi yauvungu unaouhitaji katika gari yako.Kwa spare nyingine za Magari pia karibu Dukani Mwananyamala Komakoma.
Habari wakuu, Nahitaji kupata chumba cha kupanga kwaajili ya dogo amechaguliwa DIT hatutaki awehostel, kwa yeyote mwenye kuwezesha upatikanaji wa chumba tafadhari anifahamishe
Kichwa tajwa hapo juu chajieleza kwa mwenye kuhitaji mfuko wa tani moja kwa ajili ya kuhifadhia vitu vyako mazao , kubebea mizigo mbali mbali Kama mitumba na bidhaa nyingi kwa wakati mmoja usisite...
Shule ya St Jude itakuwa na mnada wa kimya kwa ajili ya kuuza vitu zaidi ya 6,000, vipya na vilivyotumika! Hii si ya kukosa.
Tarehe: Ijumaa Septemba 17
Muda wa kuangalia: Saa 4 hadi 4:30 asubuhi...
Rola moja ya senyenge ina urefu wa mita 600,na senyenge ina unene wa milimita1.6.
Senyenge hizi hazishiki kutu(galvanized).
Inafaa kwe fensi ya nyumba,maboma ya mifugo,shamba,nk.
Bei kwa...
Imebaki hii meza ya chakula ni nzuri sana, ina viti sita, meza bado ni mpya kabisa, katikati ina kioo.
Bei ni laki sita. Ipo Nyakato Mecco
Mawasiliano 0622723082.
TOYOTA KLUGER
Gari ni yangu mwenyewe haina shida yoyote
CC 2360
Millage 92,000km - Original
Safari Leather Seat
New tyres
Sports reams
18.5m-inapungua
call/Watsapp 0715140001
Nahama kwenye hili jiji la Mwanza
Hivyo nitakuachia kila kitu cha ndani kwangu nilipokuwa nimepanga.... nyumba ina vyumba viwili Master moja na kawaida moja pia public toilet, ina jiko, sitting...
Shamba linauzwa lenye ukubwa wa ekali 350.
lipo mkoa wa Njombe tarafa ya Lupembe Kijiji Cha lwanzali namiundombinu kama maji yapo yakutosha na linafaa kwa kilimo chochote like.kwa mawasiliano...
Kiwanja kinauzwa. (HAKINA UDALALI)
Mahali: Bagamoyo vijijini
Kijiji cha WAMI STATION (MATIPWILI)
Ukubwa: Robo heka na ni TAMBARARE
Kipo kando ya barabara itakayojengwa ya EAST AFRICA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.