Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
  • Poll Poll
Natafta wateja wa jumla wa mahindi kuanzia gunia hamsini na Bei ya mahindi ni 5000 kwa debe kazi yangu ni kumkusanyia atanilipa elfu moja kwa kila gunia na gharama za usafirishaji ni juu yake so...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Mbezi, Dar Es Salaam, Tanzania. Habari ndugu, jamaa na marafiki...!! Naitwa Enock, napatikana Mbezi Louis(Mbezi ya Kimara). Mimi ni fundi wa kutengeneza na kukarabati sofa za aina tofauti...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Nahitaji antena ya bampa ya toyota noah,road tourer,,whatsapp yangu ni 0734155701,nipo Dar
1 Reactions
1 Replies
452 Views
Ni aina ya net ambazo zimekuwa pendwa kwa watu, Hii ni kwa sababu ya muonekano wake maridadi na pia, Ni net ambazo ni rahisi kuinstall na ku-uninstall (Kuiweka na kuitoa) Zipo size 5*6 na 6*6...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari, Nahitaji mtu ambaye anauza mayai kwa Bei ya jumla. Nipo Dar es salaam. Nahitaji kufungua duka la mayai
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Toyota Sienta|2003 cc1490 | 2wd | Other option-AW ABS PW •••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••• Bei--9.4mil [emoji338][emoji336]0715558258
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari Kama tunavyojua afya ya jamii ndo msingi wa maendeleo ya taifa,pia ili familia iwe na afya bora ni muhimu familia kupata lishe bora na kamili. Basi kwa kutambua hilo,tunakuletea bidhaa...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Welcome to Data Expert and General Consultancy Firm Website: Data Expert and General Consultancy Email: info@afridataexpert.com Mobile: +255 785 926 463 Data Expert and General Consultancy...
0 Reactions
1 Replies
887 Views
Kwa yeyote anaejua mtu au mahali ambapo wanauza magari aina ya "Mercedes-Benz G-Class" au "Gelandwagen" kama linavoonekana hapo chini naomba anisaidie kuna mtu anafanya biashara ya kuyanunua hata...
1 Reactions
1 Replies
660 Views
Wireless mic model:BOYA Tsh.300,000
0 Reactions
4 Replies
537 Views
Sabuni aina 10, ikiwemo sabuni ya udongo, mawingu, manjano, kawaida,mjeshi jeshi, ubuyu, alovera, mchaichai, mchele na chungwa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari njema kwa wateja wetu wa @unique_aircargo SASA UNAWEZA KUSAFIRISHA MZIGO WAKO KUTOKA CHINA KUJA TANZANIA KWA SIKU MOJA TU[emoji4][emoji6]. Batch ya kwanza ndo inaanza week hii na mwisho...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Anajulika kama Mtanzania wa kwanza kusoma Stanford na Harvard. Al maarufu kama mtanzania aliyekataa mshahara wa zaidi ya 400 ml. Ni yule yule CEO wa Kampuni ya levels za kimataifa --NALA. Ameweza...
17 Reactions
125 Replies
14K Views
ram 2gb rom 32gb simu haina changamoto yoyote napatikana kariakoo Dsm sms 0625750755
0 Reactions
4 Replies
903 Views
Kama kichwa kinavojieleza mm naishi hapa njombe ninaitaji simu used anaeuza please anatafute kwa namba hii 0620860951 shart awe mtu Wa njombe. Natanguliza shukrani
1 Reactions
1 Replies
753 Views
Sisi wataalam katika kuandaa na kuandika maandiko miradi, maandiko ya kuomba ruzuku/Grants, na pia kukuwezesha kupata volunteers/interns kutoka nje (USA na Canada). Karibu tuzungumze! Pia...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari zenu wandugu? Ninazo tiles zitokanazo na mawe halisi ya Tanga stone (slate stone) yanapatikana kwa kiasi chochote na ninauza kwa squre meter. Vile vile ninapokea oder kwa design (cutting...
0 Reactions
24 Replies
18K Views
Ninatafuta fundi mzuri wa nguo za kike. Hasa kushona vitenge. Mishono simple inayowwza kuvaliwa ofisini na kanisani. Kwa Dar.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari ndugu, nauza kiwanja kipo maeneo ya mji mpya kimara B dar es salaam maarufu "kwa senga" Kiwanja hakiko square hivyo urefu na upana hauko sawa . Kwa urefu upande mmoja ni 63ft na mwingine ni...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu Habari. Kama kichwa cha habari kinavyoonekana, bajeti yangu ni milion 22 Na naitaji Gari aina ya Fuso Kwa yeyote anaeuza basi anidm tufanye biashara NB: Itapendeza kama biashara itatoka...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom