Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari!! Kiwanja kinauzwa kigamboni mwembe mdogo karibia na chuo cha afya cha kigamboni kimebaki kimoja mitaa 35 kwa 35 bei ni million 4.5 (4,500,000) kutoka ferr mpk kona ya chuo ni km 22...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
NAHITAJI NAME TAG Natumai ni wazima wa Afya, kwa wagonjwa Allah awape uzima. Ndugu zanguni nina shida kubwa sana , nahitaji kununua "Name Tag" Yoyote anaweza kunisaidia wapi nitapata naomba...
2 Reactions
2 Replies
535 Views
Simu inauzwa, ni Xiaomi Poco M3 RAM:4GB ROM: 64GB RESOLUTION:2040X1080(full HD) Camera:Nyuma 48mp Mbele:16mp Betri:6000mAh Simu imetumika miezi minne tu! Ni nzima haina Tatizo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa! Kama kichwa kinavyojieleza.niko mwanza nahitaji creti zikiwa na chupa zake tupu Kati ya 150-200. Ofa tutaongea Mana biashara ni maelewano
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Mzan aina ya Galaxy mpya unauzwa elf 80 tu...Upo kigoma mjin Mawasiliano: 0762990097
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Chumba Choo ndani (Masta) na Sebule. Maji ya dawasa/bomba, Umeme luku watatu. Mahali: Mbezibeach Makonde Kodi ya Mwezi: Tshs 100,000 Maelezo Zaidi: 0716442950
0 Reactions
66 Replies
8K Views
Our company was founded in January, 2019 on the principle of warm, friendly, and efficient service. Our staff knows how to get the job done, and we often exceed the expectations of our clients. We...
0 Reactions
0 Replies
376 Views
Natafuta gari kati ya aina ya corola (toleo lolote zile old model), toyota duet, carina old model, vitz zile za zamani au aina yoyote ile namba A, B au C itakayokua ya bei rahisi (3-2 mil), kwa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wadau, Natumai nyinyi ni wazima nna mdogo wangu hapa yupo interested sana kuwa chef ila changamoto kubwa ni wapi pa kuanzia; matokeo yake ya kidato cha nne hayakuwa mazuri kwaio...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Bei ni fixed Suzuki beba iko vizuri. Haina tatizo lolote bei 3.5mil Ipo Dar
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Karibu ujipatie kaunda suit na senator suit kwa bei rahisi kabisa kutoka kwangu fundi wako ENSETH TAILORING.(Bei ni Elf 55)kwa kitambaa super no 1 na 35 kwa namba 2.karibu sana na natuma mikoa...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu Nahitaji saa za ukutani zenye marembo, ni wapi hapa Dar es salaam nitazipata?
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Model 2006 1490 cc Price 12.5 Inamiezi 6
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Shamba lenye ukubwa wa ekari 4 linauzwa. Shamba liko Kimbiji wilaya ya Kigamboni, Dsm. Shamba liko mita 800 kutoka barabara kubwa ya Kigamboni Pembamnazi. Bei ni mil 7 kwa kila eka. Umeme upo...
5 Reactions
62 Replies
9K Views
Habari wadau, nna 6.5M ila nahitaji gari mpya within 6-12 months niwe nimekamilisha mkopo kama kuna mtu anafahamu napoweza kupata hii huduma msaada tafadhali! NB:Nahitaji IST specifically for...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
iphone 7 plus 32 gb 570,000 iphone 7 plus 128 gb 620,00 warraty mwaka mmoja free 1 original battery by apple Mawasiliano piga 0652472486
1 Reactions
0 Replies
795 Views
Leo nna mzigo mwingine... Huu unaitwa MSR X6 Bluetooth Deftun. Huu unausika na kutengeneza Door Lock zenye high security zinazotumia smart credit card [emoji388] Kama za Bank kufugulia milango...
0 Reactions
3 Replies
917 Views
Hello Wadau, Niko Dar. Natafuta tab 8 mpya. Isizidi laki 4. Au Tab T. Nishtue inbox. niko Dar mpaka kesho jioni
0 Reactions
6 Replies
913 Views
Habari za asubuhi waungwana; Kama tunavyofahamu changamoto ya ajira ni dhahiri kwamba ipo na kwamba hali ya uchumi bado ni tete na fursa zinaendelewa kuwa adimu.Hata hivyo tusife moyo kwani maisha...
1 Reactions
1 Replies
749 Views
Subject:Website Design and Hosting Proposal About Us TZHSOSTS.COM offers digital marketing services which include website,social media,email and erp systems for management of small and medium...
0 Reactions
3 Replies
587 Views
Back
Top Bottom