Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari za wakati huu wakuu, Tunakodisha gaming consoles, bei ni kama ifuatavyo 15,000/= Kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 3 usiku, 10,000/= Kuanzia saa 3 usiku mpaka saa 3 asubuhi, 30,000/= Kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ofa, ofa, ofa yako sasa! Jipatie pad za ps4 za wireless kwa bei ya sawa na bure! Pad ya wireless mtumba tsh 65000 tu. Wasiliana nasi au tucheki whastup kwa namba! (0777821973 au +255777821973)...
0 Reactions
0 Replies
988 Views
Habari ya weekend wakuu! Husikeni na tangazo hapo juu, Mapazia 6 used kidogo yanauzwa 4 ni rangi ya maroon 2 meupe yanafaa kuwekwa sitting room au bedroom nk. Huwa yanawekwa Mapazia 3 dirisha 1...
10 Reactions
51 Replies
6K Views
Habari za mchana huu wakuu, Kama kichwa kinavyojieleza pilipili kichaa inahitajika kwa wingi Sana zaidi ya tani kumi na tano. Kama wewe ni mkulima wa pilipili kichaa au unafahamu mahali...
4 Reactions
11 Replies
3K Views
Body nzima kabisa Picnic car Engine issues Petrol engine 3000 CC 2004 YOM Makumbusho Dar es salaam Nipe offer yako +255714908121
0 Reactions
4 Replies
975 Views
Habari wadau naomba mwenye namba ya mtu wa Vingunguti nipate nyama kwa bei ya machinjioni kwa ajili ya biashara
0 Reactions
19 Replies
3K Views
KUKU AINA YA BLACK AUSTRALORP ( HUFAAMIKA KAMA KUKU WA MALAWI) - hutaga mayai mengi 280-300 kwa mwaka - hupevuka mapema ndani ya miezi 4.5 tangu kifaranga - hutumia wastani wa gramu 125 za chakula...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
IPO:MWANZA MJINI BEI:MILIONI 3.5 GARI HAINA TATIZO LOLOTE GEARBOX:SAFI ENGINE:650cc,INJECTION TRANSMISSION MANUAL SERIOUS BUYER ONLY: CONDITION:EXCELLENT CALL/SMS/WHATSAPP0784399081/0754405179
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Msaada Wakuu wapi naweza kupata jenereta ndogo za ku-pump maji kwaajili ya kumwagilia kwa maeneo ya Moshi au Arusha na bei zake zipoje Pia naomba msaada ni vitu gani vya kuangalia kabla...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kama unajijua ni mahiri wa kucheza ps 4&5 game tofauti tofauti hii ni fursa kwako. Njoo ucheze na ulipwe. Umri uwe ni kati ya miaka 10-25. Hakuna kiingilio ni bure. Eneo ni Arusha Remote...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa usawa huu wa Tozo..hapa ndio Nyumbani...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Ipo Dar es salaam Airport Bei 4.9 Gari haina tatizo lolote Gear box safi Engine:1290cc,VVTI Year:2004 Full AC/Haidaiwi Serious buyer: CALL/SMS/WHATSAPP0784399081/0754405179
0 Reactions
6 Replies
2K Views
NAHITAJI KIBANDA CHA M PESA BEI ISIOZIDI 200,000/=. Wakuu mambo vipi? Nahitaji kununua kibanda cha m pesa kiwe cha chuma au mbao. Bei isizidi 200,000/= Kama unauza au unafahamu anae uza...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Kama kichwa kinavyoelezea hapo juu, Kwa upande wa Mobile Application iwe Android au iOS platform , Katika mifumo miwili hiyo hapo juu unaweza kujipatia App za mifumo App za kioffice App za...
0 Reactions
0 Replies
580 Views
Habari wadau wa jukwaa hili adhimu!. Gari lenye ujazo mdogo aina ya Ist, Passo na Vits zinatafutwa. Moja kati ya aina hizo tatu linatakiwa liwe katika hali nzuri na usajili uwe T... D... Bajeti...
0 Reactions
0 Replies
962 Views
Habari wadau, Nahitaji kuku wa nyama tani 2.5. Hata kama una kuku ambao bado hawajawa processed ila wanaweza kutoa tani hizo tajwa hapo Juu Basii njoo tuifanye biashara Serious seller Dm me your...
2 Reactions
10 Replies
887 Views
Habari wana JF Natafuta laptop kwa anayeuza laki na nusu.. iwe na vigezo vyote muhimu kwa aliye tayari kuuza..nipo Dar es salaam Ubungo.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Redio inauzwa ni sony hometheater 1000w dz950 Bei laki 7 redio ipo Mbeya Mawasiliano 0652 064 936
1 Reactions
3 Replies
692 Views
Nunua spare za Magari, tembelea kwa elimu ya spare zamagari kutoka nje jinsi yakuagiza namna yakusafiri nakuchagua spare,Agiza na; Macha Dubai used car spare parts MWANANYAMALA KOMA KOMA KARIBU NA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cruise auto spare ni wauzaji wa spare party za magari Jeep, BMW, Audi, Land rover, Porsche, Volkswagen, Chrysler, Range/Land rover Duka linapatikana MAKAO MAPYA,EDEN ROAD jirani na cafe laziz...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom