Mazda ya 2008,
CC2000,
KM 122000,
Full AC,
Insurance hadi February 2022,
Tairi zote nne mpya zikiwa na sports rims,
Full music system ikiwa na subwoofer ya 1800wts,
Aplefire,
Android na...
Habari ndugu, nina miaka 24, elimu yangu kidato cha sita, pia ni dereva nina leseni inamadaraja yote isipokua c kavu, nahitaj mwenye kujua boss au connection gar la uber/bolt naombeni msaada wanu...
Nakumbuka mwaka 2014 wakati nafanya biashara ya mtandao na kampuni moja kubwa tuu nilikuwa napata shida sana ya kuweza kuongea na wateja niliokuwa nawapata kupitia simu yangu.
Unakuta unapata...
IST,
YOM: 2004
CC 1290
COLOUR:
silver
Engine iko poa
Some small scratches kwenye body hakuna changamoto zaidi.
karibu tumalize biashara: 0683011003
0683011003
Habari wanajamvi.Nilikuwa naomba msaada kwa yoyote mwenye namba ya agent wa freedom stationary kwa upande wa Tanzania au hata kama ukinipatia location ya ofisi zao kwa hapa Tanzania nitashukuru...
Viwanja vilivyopimwa vinauzwa jijini mbeya. Maeneo ya Isyesye na Iwambi Maeneo ya karibu kabisa na City Center.
Viwanja vipo vya matumizi mbalimbali kama vile makazi, makazi biashara, na biashara...
Kiwanja cha kwanza kipo mnada mpya barabara ya Singida Road kina ukubwa wa 39*36 hiki kinataka milioni 22mil kimepimwa hati bado.
______
Update
Njoo ulipie 15mil badala ya 22mil
Picha yake...
Habari ,ninauza mchele super kwa 1700, hakuna haja ya kuuchambua ni wakuosha tu na kupika ,pia unanukia na kuchambuka vizuri ukipikwa.Ninakufikishia mzigo kokote ndani ya dar es salaam kuanzia...
Shamba limelimwa mara mbili ni safi
hati ipo ya kimila.
kila eka ni laki 5 na nusu
MAELEZO YA SHAMBA
wilaya ya morogoro liko mvuha njia panda kusini kwenda ngerengere chalinze Dar Masaa ma4...
Habari Wakuu!
Nahitaji Gari (SUV) preferred Toyota Rav4 J (zinajulikana zaidi kama Kill Time) au Nissan Xtrail..
Sina Cash ya kulipa kwa pamoja but nina uwezo wa kutanguliza 4M kwanza then niwe...
Beach plot for sale Kigamboni Darajani
Eneo linaukubwa wa heka 2
Bei milion 200
Eneo ni Skwata
Kwa maelezo zaid call 0718606739
0685752509
Full documents
Habari zenu.
Nina vitabu kadhaa,nimeuza kwa online nchini,ninapenda Sasa niuze Amazon na sites zingine.
Hivyo naomba mwenye uzoefu, anipe darasa full kwa malipo
Simu: 0713039875
Nauza Line za uwakala zote 5 Voda, Tigo, Halotel, Airtel, TTCL zote zina jina moja na documents zipo km lesseni na Tin. Nipo Songea 0717802341
Bei ya jumla 350,000/= tu...
Nipigie tujadili
"IPILIMO TUAGIZE MAGARI" business under IPILIMO BUSINESS SOLUTIONS... tunakuagizia gari yoyote kutoka Japan, kupitia washirika kampuni tunazofanya nazo kazi ili Kupata Gari nzuri, ya Bei nafuu kwa...
AFRICAN HANDMADE SANDALS
TUNATHAMINI PESA ZA WATANZANIA KWA KUTENGENEZA SANDALS IMARA KWA ZA KIPEKEE KWA BEI POA
Bei ya jumla 10000
Rejareja 13000
Kwa MAWASILIANO ZAIDI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.