Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Natafuta wino unaotumika kuprint maneno kwenye mifuko ya nylon kwenye viwanda vya packaging kama inavoonekana kwenye picha Ni Aina ya gani ya wino uliotumika andika kwenye mifuko naweza upata wapi?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza account ipo fully approved na ina $8. Hakuna fixed price, napokea offers ikija offer nzuri biashara inafanyika. Bid now!
0 Reactions
0 Replies
320 Views
Ugumu wa safari ya maisha ya huyu mwanamke ulianza sekende chache tu kabla ya kuzaliwa kwake, alikinusa kifo akiwa yeye pamoja na mama yake. Hali iliyopelekea kutokupewa jina lolote kwa sababu...
1 Reactions
1 Replies
582 Views
Habari wandugu. Napenda kuwataarifu ya kwamba nauza Asali kwa Bei ya jumla. Ninauza Hadi madumu hamsini ya Lita ishirini. kwa atakayehitaji tuwasiliane. Bei ya dumu moja la Lita ishirini ni...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauza maharage ya njano, yapo Dar kwa bei ya 1650 kwa bei ya jumla. Ya yale gololi ndogo. Mawasiliano 0657561168
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Una Vits au Porte Bajeti isizidi milion tano. Siangaliii number. Engine na body viwe vimetulia. Vits iwe piston 4 Piga simu 0652733426
1 Reactions
4 Replies
559 Views
Namba DQG 850.vibali vyote hai.tairi mpya.bima hai nk.imefungwa injini mpya 35.ipo njiani KARIAKOO KITUNDA SHULE.BII 15M HAIPUNGUI HATA MIA. DALALI
1 Reactions
3 Replies
783 Views
Wakuu nauza hii cover.. niliagiza ila kwenye gari haijatosha.. Kwa Saloon Car inafit vizuri.. Bei 80,000 tu Location kimara.. Mwenye uhitaji anipm Asante..
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Karibuni wadau Supu Mbavu Maini Miguu Mikono Kichuri Nk Ila bia ndogo local 2,000 Usiulize viti vitupu kumejaa ila watu hawataki kupigwa picha.
7 Reactions
33 Replies
3K Views
Bei ni 320,000/= 64gb|4gb RAM In a very Good condition ▪︎Doted (ina kidoti kidogo kwa juu) ▪︎Haina mchubuko wala mkwaruzo ▪︎Nakupa wire na earphone ▪︎Sehemu yoyote unayoitaka tunaeza fanyia...
0 Reactions
0 Replies
589 Views
Habari Wakuu. Kuna hizi loud speaker ndogo ya kushika mkononi ambazo kwa mfano ukienda sokoni wafanyabiashara huzitumia kutangazia bidhaa zao au wengine hupita nazo mitaani kutangaza kwa mfano...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MITSUBISH CANTER INAUZWA DAR ES SALAAM. Model ya 2001, Tani 2, no BMU, Diesel, injini 4M51A, Ipo katika hali nzuri/inambea. Haina changamoto. Melewano yapo kidogo. Gari ipo katika hali nzuri...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Pata huduma za serikali zaidi ya 130 kama vile Kupata cheti cha kuzaliwa, kupata namba ya nida, kutuma maombi ya mkopo wa elimnu ya juu, kutuma maombi ya chuo TCU, kutengeneza tin number, kuhakiki...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari natafta mashine ya kuchongea thread za bomba, inayoishia inch nne. 4" Unaweza nielekeza duka, au kama unayo waweza kuja pm. Mfano wa hizo mashine ni hizo pichani
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Ndugu mteja, Kkaribu tukuhudumie katika masala yanayohusu ufungaji wa mifumo ya umeme wa majumbani na viwandani. Tunapatikana Mbezi Beach Dar Es Salaam, na tunafika popote mikoani. Tuwasiliane...
0 Reactions
0 Replies
529 Views
Habari ndugu nahitaji kioo cha Samsung note 10 plus,mwnye nacho anichek Inbox whatsapp 0744481066,Location Mwanza
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Najidakia wanakuletea mashine za tofali aina mbali mbali Tunazitengeneza sisi wenyewe JIDAKIE SASA Huduma kwa wateja 0762612213 Email najidakiaonline@gmail.com Au sales@najidakia.com Application...
0 Reactions
19 Replies
7K Views
Na Smartdunia. Habari za wakati huu ndugu zangu wanajamii forum. Awali ya yote nipende kutoa pongezi za dhati kwa majukumu ya kila siku yanayotujenga sisi wenyewe na jamii kiujumla pia napenda...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Ipo Dar. Kila kitu kipo sawa haina changamoto yoyote. PIGA SIMU SASA: 0683011003 KWENYE COMMENTS
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wanajf kiwanja kinauzwa maeneo ya chanika nguvu kazi,upande ule wa pili wa hospital karibu na mjasiriamali (mfugaji wa kuku) Mwendo wa nusu saa kutoka barabarani Urefu 70 upana 35 Bei ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom