Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Jamani naombeni msaada kwa yeyote yule, tarehe 16/07/21 nilibiwa begi yangu ya mgongoni kwenye bus ya BM ya sa 3 asubuhi iliyokuwa inatokea Dar kuelelea Dodoma ndani ya begi yangu kulikuwa na...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Chakula cha mifugo imekuwa changamoto na hivyo kupunguza faida kwa wafugaji, lakini ukiwa na azolla mambo ni tofauti. Unapanda mara moja unavuna kwa mwaka mzima. Wasiliana nasi tukupatie mbegu za...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Double watch Haiingii maji Mikanda ya plastic Haipauki Piga 0755 655516 Kwa sh. 45000 tuu Dar free delivery Mikoani unatumiwa
2 Reactions
5 Replies
921 Views
Habari zenu wakuu, baada ya kuungaunga visenti vyangu kwenye kazi zangu za uwakala na ukodishaji wa mitumbwi(ngalawa au vikwalukwalu) nimepata wazo la kufungua duka la jumla la urembo. Duka la...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Bila shaka mpo salama. Nipo mkoani na nahitaji kwa bajet tajwa hapo juu, aina ya gari iwe Corola, Carina, Cresta na zingine zenye muundo huo. Kwa mwenye nalo ani pm. NB: Wakosoaji endeleeni...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kiwanja kipo kigamboni maeneo ya dege kuna ukubwa wa sqm 1900 kimeshapimwa kabisa na kina hati tayari. Kimezungukwa na barabara pande zote kipo mazingira mazuri sana. Price 70mil Negotiations...
0 Reactions
0 Replies
613 Views
Je unafahamu social Media zina nguvu kubwa kwenye ulimwengu wa sasa wa kidijitali, na kama una biashara social media ni muhimu iwe imetengenezwa vizuri ili ivutie na kutangaza vizuri biashara yako...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habai wakuu Natafuta soko la chainizi kwa wenye kuhitaji shamaba lipo Morogoro, Berega ,na Nalenga kupata wateja toka sehemu za jirani kama Singida, Dar, Dodoma na Morogoro Mjini. Shambani...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Aman kwenu wakuu Kuna hizi kampun mbili kutoka huku kandaziwa batco na ftester hawa jamaa wameshindikana aisee Huyu batco ana bus kama Mbuz yaan ni utitiri aisee, ukisimama pale nyakato utakuwa...
4 Reactions
17 Replies
6K Views
RAM 2GB STORAGE 16GB CAMERA QALI SANA 0625692602 140,000/= (inapoa kidogo)
0 Reactions
1 Replies
483 Views
Ndugu wanajamii natafuta mbegu ya mbuzi aina ya (Bore Goat ) , kwa yoyote anayeweza kunisaidia naomba msaada wenu. Kama mbuzi wanapatikana au wapi ninaweza kupata mbegu za kupandishia.
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Habari Wana JF Mwenye uelewa napataje apartment za national housing hizi za bei ya kawaida chin ya laki tano ila nzuri ambazo unakuta mtu anatoka unaingia.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kifaa hiki ni Full HD 1080P Android 4.0 Media Player Smart Google TV Box Stick with Wifi, HDMI + USB Interface, Support USB Flash Disk / USB Mouse / USB Keyboard / USB HUB Unachotakiwa...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma katikati ya mji maeneo ya majengo kina ukubwa wa 35 kwa 17, kina offer. Bei ni 230mil mwenye kuhitaji tafadhari tuwasiliane kwa namba 0622723082, naamini hutojuta...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Tupo kwenye nyakati ngumu sana. Corona imeathiri kila nyanja ya maisha yetu. Na kwa kuwa bado hatuna uhakika na mwenendo wake, ni vyema tukaendelea kujilinda na kuepuka maambukizi. Nasi kama...
0 Reactions
0 Replies
546 Views
  • Closed
Tunachukua order za kutengeneza Milango ya Mbao,Imara na Misafi toka Urambo Tabora. Mbao Maarufu za Mninga ,Mkongo na Mbanda. Inapatikana. Kwa order kuanzia milango 5 na kuEndelea. Karibuni Kwa...
3 Reactions
34 Replies
22K Views
Wapi naweza pata mkopo wa laki mbili na nusu itakuwa vizuri zaidi kama kuna site za online zinaweza toa mkopo maana sitarajii kukaa na mkopo huo kwa muda mrefu ni kitu fulani tu nakikamilisha...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Jabari wana JF... Karibuni mjipatie begi nzuri begi kwa matumizi yako kila siku kwa Tsh 35000 kwa begi 1(3 in 1) Na kwa Tsh 30000 kuanzia begi tatu na kuendelea, mikoani pia tunatuma bila shaka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MYU Capital is analytics and investment research company, develop data science system. We Assist enterprise to develop data science system for different purpose you will pay zero in acquisition...
0 Reactions
0 Replies
896 Views
Back
Top Bottom