Jamani naombeni msaada kwa yeyote yule, tarehe 16/07/21 nilibiwa begi yangu ya mgongoni kwenye bus ya BM ya sa 3 asubuhi iliyokuwa inatokea Dar kuelelea Dodoma ndani ya begi yangu kulikuwa na...
Chakula cha mifugo imekuwa changamoto na hivyo kupunguza faida kwa wafugaji, lakini ukiwa na azolla mambo ni tofauti. Unapanda mara moja unavuna kwa mwaka mzima.
Wasiliana nasi tukupatie mbegu za...
Habari zenu wakuu, baada ya kuungaunga visenti vyangu kwenye kazi zangu za uwakala na ukodishaji wa mitumbwi(ngalawa au vikwalukwalu) nimepata wazo la kufungua duka la jumla la urembo.
Duka la...
Bila shaka mpo salama.
Nipo mkoani na nahitaji kwa bajet tajwa hapo juu, aina ya gari iwe Corola, Carina, Cresta na zingine zenye muundo huo. Kwa mwenye nalo ani pm.
NB: Wakosoaji endeleeni...
Kiwanja kipo kigamboni maeneo ya dege kuna ukubwa wa sqm 1900 kimeshapimwa kabisa na kina hati tayari.
Kimezungukwa na barabara pande zote kipo mazingira mazuri sana.
Price 70mil
Negotiations...
Je unafahamu social Media zina nguvu kubwa kwenye ulimwengu wa sasa wa kidijitali, na kama una biashara social media ni muhimu iwe imetengenezwa vizuri ili ivutie na kutangaza vizuri biashara yako...
Habai wakuu
Natafuta soko la chainizi kwa wenye kuhitaji shamaba lipo Morogoro, Berega ,na Nalenga kupata wateja toka sehemu za jirani kama Singida, Dar, Dodoma na Morogoro Mjini. Shambani...
Aman kwenu wakuu
Kuna hizi kampun mbili kutoka huku kandaziwa batco na ftester hawa jamaa wameshindikana aisee
Huyu batco ana bus kama Mbuz yaan ni utitiri aisee, ukisimama pale nyakato utakuwa...
Ndugu wanajamii natafuta mbegu ya mbuzi aina ya (Bore Goat ) , kwa yoyote anayeweza kunisaidia naomba msaada wenu. Kama mbuzi wanapatikana au wapi ninaweza kupata mbegu za kupandishia.
Habari Wana JF
Mwenye uelewa napataje apartment za national housing hizi za bei ya kawaida chin ya laki tano ila nzuri ambazo unakuta mtu anatoka unaingia.
Kifaa hiki ni
Full HD 1080P
Android 4.0 Media Player Smart Google TV Box Stick with Wifi,
HDMI + USB Interface,
Support USB Flash Disk / USB Mouse / USB Keyboard / USB HUB
Unachotakiwa...
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma katikati ya mji maeneo ya majengo kina ukubwa wa 35 kwa 17, kina offer.
Bei ni 230mil mwenye kuhitaji tafadhari tuwasiliane kwa namba 0622723082, naamini hutojuta...
Tupo kwenye nyakati ngumu sana. Corona imeathiri kila nyanja ya maisha yetu. Na kwa kuwa bado hatuna uhakika na mwenendo wake, ni vyema tukaendelea kujilinda na kuepuka maambukizi.
Nasi kama...
Tunachukua order za kutengeneza Milango ya Mbao,Imara na Misafi toka Urambo Tabora. Mbao Maarufu za Mninga ,Mkongo na Mbanda. Inapatikana.
Kwa order kuanzia milango 5 na kuEndelea. Karibuni Kwa...
Wapi naweza pata mkopo wa laki mbili na nusu itakuwa vizuri zaidi kama kuna site za online zinaweza toa mkopo maana sitarajii kukaa na mkopo huo kwa muda mrefu ni kitu fulani tu nakikamilisha...
Jabari wana JF...
Karibuni mjipatie begi nzuri begi kwa matumizi yako kila siku kwa Tsh 35000 kwa begi 1(3 in 1)
Na kwa Tsh 30000 kuanzia begi tatu na kuendelea, mikoani pia tunatuma bila shaka...
MYU Capital is analytics and investment research company, develop data science system.
We Assist enterprise to develop data science system for different purpose you will pay zero in acquisition...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.