Brand: Toyota IST
Year of Manufacture: 2005
Engine capacity: cc 1290
Transmission: Automatic
Price: 6M
Location: Dar es salaam
Mwenye gari anahitaji pesa ya haraka na hakuna udalali. Unaweza...
Karibuni TABORA wilaya ya URAMBO
Ujipatie asali mbichi safi kabisa....lita moja tsh7000/= gharama ya usafiri na kibali juu yako,
Ukitaka nikuletee mzigo ukapokee kwenye ofisi za mabasi...
Lengo langu ni kupata hayo makopo madogo ya gas ya Butane.
Ila nmeulizia pia majiko sababu ninaamini nikipata sehemu wanayouza hayo majiko huenda wakawa wanauza pia hizo gas au wakawa...
Habari wakuu...
Natafuta paka breeds kubwa na wenye manyoya kwa ajili ya kufuga. Ambaye anajua namna gani nitawapata naomba anijulishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu habari
Msaada: Naweza wapi nikapata aina hii ya mifuko kwa jumla na bei yake ikoje kwa hapa Dar....imeandikwa AL KHALEEJ SUGAR na mengine inaitwa WFP
Nawasilisha
TRUCK INA SIFA ZIFUATAZO
Mwaka wa kutengenezwa 2001
Aina ya Injini 4D33
Uwezo wa Injini 4,210cc
Mileage 307,021 Km
Uwezo wa gari Tani 2
Manual transmission
Nyeupe
ACCESSORIES
AC, Power Window...
TUNAUZA ICE CREAM MASHINE(KONI)
Anza sasa Biashara hii uvune pesa,,,,,
Tunauza mashine za kutengeneza ICE CREAM(koni) pamoja na CHOSTICK
Gharama ni 2400000
mafunzo ya kutengeneza Ice Cream...
Boxer bm 150
namba B
iko vizuri na inatumika hadi sasa
engine haijawahi kushushwa
kadi yake ipo
biashara mnaandikishana mpaka kwa mwanasheria, polisi na serikali za mitaa
haijawahi piga boda...
Uzi huu ni maalum kwa wadau wa Jf
Wanaotarajia kujenga Fensi
Nitakutajia idadi ya Vifaa pamoja na gharama za Ufundi
Chakufanya nitajie ukubwa wa eneo lako
Na Mahali unakotaka kujenga Fensi...
Mbezi Aluminium and Glass, Wataalamu na wabobezi wa kutengeneza madirisha ya aluminium aina zote, milango ya Aluminium aina zote, Office partition, Balusters, Kitchen cabinets. Pia tuna ofa...
Core i5
Ram gb
2.5processor
Backlight keyboards
500hhd
2hrs
Note
Q&W button key not working
Spiker volume nayo ni ya chini sana
Contacts
0774236427
Seriously buyers only price 300000tsh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.